ZANTEL wamepunguza bundle la Wiki kutoka GB 2.2 kwa Tsh 3,000 hadi GB 1.9 kwa Tsh 3,000

ZANTEL wamepunguza bundle la Wiki kutoka GB 2.2 kwa Tsh 3,000 hadi GB 1.9 kwa Tsh 3,000

Ila ujinga wao huwezi kuangalia Salio hadi upige customer care uongee na mhudumu akwambie Salio la bando, sms, muda wa maongezi na T-pesa maana menu yao ipo off mwezi sasa(sijuhi no makusudi au wamenunuliwa kuliua shirika!

Ila ujinga wao huwezi kuangalia Salio hadi upige customer care uongee na mhudumu akwambie Salio la bando, sms, muda wa maongezi na T-pesa maana menu yao ipo off mwezi sasa(sijuhi no makusudi au wamenunuliwa kuliua shirika!)
Jaribu *102#
 
Hili la gharama za bundle kupanda chanzo ni vita ya Ukraine pia? [emoji848]
 
Daahhh sisi tunaotegemea kujifunza, kufanya marketing na sales kwa njia ya mtandao gharama zimepanda tena. Leo naamka nakuta kifurushi cha Wiki cha ZANTEL ambacho ilikuwa unapewa GB 2.2 kwa Tsh 3,000 (Hapo kilipunguzwa pia kutoka GB 2.5) kwa sasa unapewa GB 1.9 tu. Sasa na haya mambo ya YouTube, Instagram na Streaming GB 1.9 ni kifurushi cha siku 3 tu.

Halafu haya makampuni ya simu ni wajanja kweli. Wao hawaongezi bei, bali wanapunguza ukubwa wa bundle/idadi ya GB. Maana wanajua wakiongeza bei mauzo yao yatapungua zaidi.

Huko VODACOM, HALOTEL, AIRTEL na TTCL Vipi?
Halotel hovyo kabisa wametoa lile bundle la Tshs 1,500/=
 
Kuwapata labda wakusogezee mnara
Swala la kasi ya Internet hutegemea 'location' yako - Hii kasi, 5Mbps, inakidhi mahitaji yangu kwa eneo nililopo.
1651308860390.gif
 
Oya wameambizana kote mpk Tigo nao wamepandisha gharama.
Tigo!!! Nimechoka customer care yao shida tupu, kuna vibinti vinaongea vimebana pua, utakachosikia ni "asante kwa kuchagua tigo vinakata simu"
 
Mbona kwangu naona salio vizuri tu, naangalia salio la kawaida kwa kubonyeza *102# then wananitumia meseji ya salio la bando.

Now niko Znz toka jana naona hakuna network, ningekuwa bara ninge screenshot uone.

MKuu unakula matunda ya Muungano
 
Back
Top Bottom