Uchaguzi 2020 ZANU-PF: Marekani achaneni na Tanzania ya Magufuli

Uchaguzi 2020 ZANU-PF: Marekani achaneni na Tanzania ya Magufuli

Sasa Zimbabwe inaitetea Tanzania, ni dhahiri kuwa nchi yetu inapitia kibano kikali toka Jumuiya ya Kimataifa.

Ndani ya muda mfupi tutaanza pia kusikia kelele za maumivu toka kwa kina Palamagamba Kabudi, Polepole, Katibu wa Mambo ya Nje wa CCM kanali mstaafu Ngemela Lubinga.

..source ya hii habari ni gazeti la serikali ya Tanzania, Daily News.

..maana yake ni kwamba serikali hii imeingia katika vita ya wazi ya kidiplomasia na Marekani.

..but, WHY? tumefika vipi hapa? kuna faida gani kuwa na migogoro ya aina hii? Tunatoka vipi?

cc MALCOM LUMUMBA
 
Naona Hawa wazimbabwe wanawachochea marekani wanataka na Sisi tupigwe vikwazo Kama wao ili uchumi wetu uparaganyike Kama wao. Ni vizuri tukawajibu kwa busara Hawa Marekani maana wakiamua kukomaa na Sisi hali itakuwa mbaya.
 
Safi sana, tunataka na mataifa mengine ya Afrika yamuunge mkono Magufuli.

N mwendo wa kuunga mkono juhudi tu.
Wananchi na wanachama wa ZANU PF wanaofahamu Serikali yao ndo waliomtukana Magufuli alipomsifia Rais hivyo wa Zimbabwe mbele yao ikabidi akimbie kwa Dreamliner leo akijua adhari za vikwazo kwa watu wake Rais wa Zimbabwe anawakoromea Wamarekani ili tuwekewe vikwazo.

Kama viongozi wa nchi huru ruksa kufanya lolote kwa wananchi wao bila nchi nyingine kukemea, basi Tanzania ni nchi huru na yeye asiingilie mambo ya ndani ya nchi yetu yeye apambane kuondoa vikwazo nchini mwake alivyoshindwa Magufuli akiwa Mwenyekiti wa SADC. Magufuli is a failure everywhere!
 
Naona Hawa wazimbabwe wanawachochea marekani wanataka na Sisi tupigwe vikwazo Kama wao ili uchumi wetu uparaganyike Kama wao. Ni vizuri tukawajibu kwa busara Hawa marekani maana wakiamua kukomaa na Sisi Hali itakuwa mbaya
Mkuu wengi kwa hili tunajitoa ufaham, watatuzabua Sasa hivi,et ZIMBABWE nayo Ina jeuri ya kumkoromea MMarekani, wakati ipo ICU, china mwenyewe kwa MMarekani inaufyata sembuse Zimbabwe ambao hata kiwanda Cha kutengeza toothstick hakuna,
 
Chama tawala nchin Zimbabwe cha ZANU PF kimeitaka nchi ya Marekani kuacha kuingilia mambo ya Tanzania kwani nchi hiyo ni huru.

Source: CRI kiswahili

========

ZIMBABWE ruling party ZANU-PF has called the US to stop issuing threats of imposing sanctions against Tanzania and not to interfere with the East African country’s internal affairs.

The stern warning was issued this week by ZANUPF Acting National Spokesperson, Mr Patrick Chinamasa.
“We unequivocally call upon the US and its allies, who have started threatening imposing sanctions on Tanzania to stop their unbridled interference into the affairs of our sister republic. Winning the trust of the people through such a decisive (election) victory is not a crime,” Mr Chinamasa told ‘New Zimbabwe.com’. On October 28th, 2020 Tanzania held presidential and parliamentary elections, which saw Dr John Magufuli being re-elected president for his second and final term.

However, the main opposition party, Chadema has contested the results arguing the vote was rigged and is demanding a rerun.
Commenting on the election result, the US said it noted credible allegations of significant election-related fraud and intimidation.
The US is also accused of having threatened against the Tanzanian government. However, Zanu PF has stepped in and has advised Magufuli’s government to be strong, resilient and steadfast against US’s machinations.

“We implore our colleagues to take lessons and courage from us Zanu PF and the people of Zimbabwe who have stood resilient and steadfast against such machinations. The West has no colonial responsibility for Tanzania and, therefore, cannot prescribe its path to development,” he said.

Zimbabwe has been under US trade sanctions since the turn of the millennium with the West insisting the restrictive measures will only be removed when Harare implements political, economic and electoral reforms.

Speaking during the swearing-in ceremony of Dr Magufuli for his second five-year term in office at the Jamhuri Stadium in Dodoma, Zimbabwe’s President Emmerson Mnangagwa expressed gratitude to Tanzania, for leading the call to lift international sanctions against his country.

The sanctions, imposed over alleged human- rights abuses during the reign of former President Robert Mugabe, who was removed from power in 2017, are still in place despite a democratic change of leadership.

“We are also grateful because it was during that time when SADC countries declared October 25 as solidarity day against illegal sanctions imposed on Zimbabwe and resolved to conduct various activities in their respective countries on that day to resoundingly call for the immediate removal of the sanctions,” he noted.

Tanzania played a big role throughout its chairmanship of the South African Development Community (SADC) by prioritising efforts to push the international community to lift the sanctions against Zimbabwe.

SOURCE: Daily News
Mnangagwa aliwekwa madarakani na mabeberu, ngazi aliyopandia anaipiga teke?


Ok
 
..source ya hii habari ni gazeti la serikali ya Tanzania, Daily News.

..maana yake ni kwamba serikali hii imeingia katika vita ya wazi ya kidiplomasia na Marekani.

..but, WHY? tumefika vipi hapa? kuna faida gani kuwa na migogoro ya aina hii? Tunatoka vipi?

cc MALCOM LUMUMBA
Kweli Mkuu wakuu wa vyombo vya magazeti ya serikali na chama, radio ya Taifa, MAELEZO kimataifa wanapwaya.

Tanzania kupitia gazeti la serikali limekosa mhariri mkuu kuweza kuandika mada hii mpaka kutafuta mchezaji wa kukodi ambaye ni msemaji wa ZANU-PF aisemee serikali ya CCM Mpya katika uwanja wa kimataifa, aibu kubwa hii. Na hili halipo tu kwa gazeti la serikali bali hata msemaji Mkuu wa serikali ya Tanzania anapwaya kimataifa. Mkurugenzi za TBC Dr. Rioba pia hana ubavu kucheza Kimataifa kwa kutumia lugha ya Kiingereza. Waziri wa Mambo ya Nje balozi namba 2 Kimataifa baada ya balozi

Waziri wa Mambo ya Nje atayeteuliwa atakuwa na kazi nzito ya kuzunguka nchi za SADC na Ulaya, Marekani ya Kaskazini, China na Japan kuomba vikwazo vinavyotarajiwa visiungwe mkono ktk mabaraza ya vikao vya UN na EU.

Hapo itabidi ateuliwe mwanadiplomasia mahiri zaidi ya Augustine Philip Mahiga ili aweze kufanya ushawishi wa kimataifa sifa ambayo Palamagamba John Aidan Kabudi hana. Pia nchi kama Tanzania ktk miaka 5 iliyopita ilijitoa ktk anga ya kimataifa kwa kuendekeza lugha ya Kiswahili.

Sasa itabidi wamtafute mwanadiplomasia mahiri, mshawishi ndani na nje ya Tanzania mwenye uwezo mkubwa wa matumizi ya Lugha ya Kiingereza kurejesha ushawishi kimataifa.
 

Mtetezi wa CCM Mpya toka ZANU - PF ya Zimbabwe comrade Patrick Chinamasa

October 2020

Harare, Zimbabwe

Britain & America must apologise to Zimbabwe says Zanu PF acting national spokesperson Patrick Chinamasa

 
Zimbabwe wamechoka kuona ni wao tu ndio wanaoteseka na vikwazo, wameshaona dalili za Tanzania kuingia kundini, wameona waongoze chumvi.
Na CCM walivyo wajinga hawawezi kung'amua kuwa hawa jamaa wanawaongezea nuksi kwa ku-attract unecessary attention ya mataifa makubwa. Kijijini inapotekea wizi halafu mtuhumiwa akatetewa sana na mwizi hufanya watu wengi wajiulize kulikoni....
 
Hicho chama kimeipeleka Zimbabwe gizani, nchini iliyokuwa na utajiri wa kulisha Afrika leo hii imekuwa fukara...

Nchi za Afrika chini ya Jangwa la Afrika hazina jipya,Waafrika Hisia zimewatala,..

Waache watafute njia ya kuitoa Zimbabwe kwenye janga la ufukara Halafu ndio watume maneno ya kinafiki..
 
Back
Top Bottom