Anonymeous
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 275
- 484
Zimbabwe kununua mkate mpaka ubebe ROBA la hela za kwao VIKWAZO hivyo mzee, cku hizi wanatumia dola kununua mahitaji yao. Wanaona bora na Tanzania iwe kama wao wagawane mateso ya vikwazo. Maana yake wako wapweke kwa muda mrefuZimbabwe wanashukuru kupata pacha wao.