Anonymeous
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 275
- 484
Zimbabwe kununua mkate mpaka ubebe ROBA la hela za kwao VIKWAZO hivyo mzee, cku hizi wanatumia dola kununua mahitaji yao. Wanaona bora na Tanzania iwe kama wao wagawane mateso ya vikwazo. Maana yake wako wapweke kwa muda mrefuZimbabwe wanashukuru kupata pacha wao.
Waanze kupunguza posho za wabunge.Nchi inapitia wakati mgumuZimbabwe wanashukuru kupata pacha wao.
Zitaongezwa badala ya kupunguzwaWaanze kupunguza posho za wabunge.Nchi inapitia wakati mgumu
Sisi tayari ni pacha wao mzuri(Kulwa na Dotto)Zimbabwe kununua mkate mpaka ubebe ROBA la hela za kwao VIKWAZO hivyo mzee, cku hizi wanatumia dola kununua mahitaji yao. Wanaona bora na Tanzania iwe kama wao wagawane mateso ya vikwazo. Maana yake wako wapweke kwa muda mrefu
Hao ni wapya na sio waliokuwapo, hata pompeo anaweza kutupwa nje na makonda akaenda marekani.Ina maana hawakuwasiliana na mkulu wakati wanatoa kauli hiyo? Mbona yeye amewapongeza Rais na makamu wake wateule wa Marekani, iweje wazimbabwe waseme waachane naye?
Huyu comrade siku hizi ameadimika humu.. au ana id ingine?!cc @MALCOM LUMUMBA
Hawa majamaa yameamua kuwakumbusha USA kuwa mbona kama mnaisahau TZUrafiki wa Mashaka huu, kwa kauli hizi Zimbabwe inachochoea moto wa Vikwazo.
US Kuachana na Serikali ya CCM maana yake tufanane nao Zimbabwe.
Chochea Zimbabwe Chochoeaa!