Zanzbar pia kuna tozo la miamala?

Zanzbar pia kuna tozo la miamala?

robinson crusoe

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2020
Posts
762
Reaction score
1,236
Naona matatizo ya Muungano na hasa tunapokuwa na Rais kama huyu anayetokea Z'bar. alipoingia alianza ku-balance mambo; Meli nyingine itapelekwa Z'bar, kila kitu akisema pesa nyingine ipelekwe Z'bar.

Sasa hili la tozo na malengo yake tunataka kujua kama hata Z'bar kuna makato ya miamala. Kama hakuna, kwa nini makato ya bara yapelekwe Z'bar?
 
Kwani hii mitandao ya simu si inapatikana pande zote mbili za Muungano? Bila shaka na wenyewe watakuwa nazo tu.
 
Zantel ni sehemu ya serikali ya mapinduzi ya Zanzibar na pia Mic Tanzania! Sasa Kama subsidiary company ya Mic (Tigo) upande mmoja tozo ni kubwa kuliko upande mwengine hii maana yake hizi ni Nchi mbili tofauti (Baraza la wakilishi Zanzibar sijawahi kusikia kwenye budget Yao wakipitisha hizi Tozo)
 
Zantel ni sehemu ya serikali ya mapinduzi ya Zanzibar na pia Mic Tanzania!!...sasa Kama subsidiary company ya Mic (Tigo) upande mmoja tozo ni kubwa kuliko upande mwengine hii maana yake hizi ni Nchi mbili tofauti (Baraza la wakilishi Zanzibar sijawahi kusikia kwenye budget Yao wakipitisha hizi Tozo)
Mbaya zaidi Wizara ya Fedha inasemekana ni ya muungano. Kwa hapa sasa inafanyakazi upande mmoja kunapokuwa na tozo, na usawa unatafutwa kunapokuwa na mgao wa fedha.
 
Good question..

Huyu mama kuna watu wanashiriki kumpa taarifa zisizo

Nilishangaa alivyosema wananchi walikubali hizo tozo unabaki unajiuliza je ilifanyika hata survey ya population ya walau watu 1000 na maoni yakawa published?

Jibu ni kuwa walikaa juu kwa juu orders zikatoka na watu wakaanza kufanyiwa double taxation..

It's high time for Madam President to start taking notes, The so called "Tozo za Kizalendo" was never a popular opinion to begin with and the one who initiated it we must take his/her views as just that . Period!
 
Good question..

Huyu mama kuna watu wanashiriki kumpa taarifa zisizo

Nilishangaa alivyosema wananchi walikubali hizo tozo unabaki unajiuliza je ilifanyika hata survey ya population ya walau watu 1000 na maoni yakawa published?

Jibu ni kuwa walikaa juu kwa juu orders zikatoka na watu wakaanza kufanyiwa double taxation..

It's high time for Madam President to start taking notes, The so called "Tozo za Kizalendo" was never a popular opinion to begin with and the one who initiated it we must take his/her views as just that . Period!
Kuna jambo wengi hawalijui (Baraza la mawaziri,wabunge,wakuu wa Idara, wakurugenzi,maRC,wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama) hawa wote ukichukua maoni Yao na familia zao huwezi kukuta wanalalamikia hizi tozo!!...
 
Kati ya vitu sivielewagi ni huu muungano.

Halafu wajameni achaneni na mawazo ya kua mama anadanganywa sijui anashauriwa vibaya. Kwanini mwendazake mlikua hamsemi hivyo, anaepitisha haya mambo ni yeye mwenyewe kwa akili zake binafsi. Hakuna kushauriwa sijui kudanganywa ni yeye ndo ashakua raisi sasa mtamwambia nn, kiti kinalevya kile. Tusubiri tu mpaka 2025 tutaona mengi na tutanyooka zaidi ya mwendazake.
 
Good question..

Huyu mama kuna watu wanashiriki kumpa taarifa zisizo

Nilishangaa alivyosema wananchi walikubali hizo tozo unabaki unajiuliza je ilifanyika hata survey ya population ya walau watu 1000 na maoni yakawa published?

Jibu ni kuwa walikaa juu kwa juu orders zikatoka na watu wakaanza kufanyiwa double taxation..

It's high time for Madam President to start taking notes, The so called "Tozo za Kizalendo" was never a popular opinion to begin with and the one who initiated it we must take his/her views as just that . Period!
Bila kuficha yeye mwenyewe ni mwenye mapungufu. Hiyo siyo nafasi ya mtu asiye na maono. Urais siyo nafasi ya mtu anayetafuta ushauri kila wakati. Angalia hata aina ya watu aliowateua kama washauri wake wa uchumi, utakuta alikuwa anawinda anaofahamiana nao huko kwenye NGO. Mtu anajivunia research ya PhD yake na hana la maana alilowahi fanya ktk uchumi.
 
Kati ya vitu sivielewagi ni huu muungano.

Halafu wajameni achaneni na mawazo ya kua mama anadanganywa sijui anashauriwa vibaya. Kwanini mwendazake mlikua hamsemi hivyo, anaepitisha haya mambo ni yeye mwenyewe kwa akili zake binafsi. Hakuna kushauriwa sijui kudanganywa ni yeye ndo ashakua raisi sasa mtamwambia nn, kiti kinalevya kile. Tusubiri tu mpaka 2025 tutaona mengi na tutanyooka zaidi ya mwendazake.
Eti anashuriwa vibaya, kwani nani anamtafutia washauri? Kwani aliapa kutumia washauri?
 
Eti anashuriwa vibaya, kwani nani anamtafutia washauri? Kwani aliapa kutumia washauri?
Hata mi hapo ndio huwa nawashangaa wanaomkingia kifua kua anashauriwa vibaya wakati yeye ndo final say na hata akishauriwa maamuzi ya mwisho yapo kwake.
 
Hata mi hapo ndio huwa nawashangaa wanaomkingia kifua kua anashauriwa vibaya wakati yeye ndo final say na hata akishauriwa maamuzi ya mwisho yapo kwake.
Siku chache baada ya kuapishwa kuwa rais, kuna mtu hapa JF aliandika mstari mmoja tu akisema ... hatuna rais, it is a matter of time.
Time imefika tunajionea wenyewe na bado.
 
Siku chache baada ya kuapishwa kuwa rais, kuna mtu hapa JF aliandika mstari mmoja tu akisema ... hatuna rais, it is a matter of time.
Time imefika tunajionea wenyewe na bado.
Mwanzo mimi nilisema apewe muda walau siku zake 100 za mwanzo tumtathmini. Ila kwa sasa sina imani nae kabisa aisee.
 
Back
Top Bottom