Zanzbar pia kuna tozo la miamala?

Zanzbar pia kuna tozo la miamala?

Mwanzo mimi nilisema apewe muda walau siku zake 100 za mwanzo tumtathmini. Ila kwa sasa sina imani nae kabisa aisee.
Boss! Baada ya siku 100 nilikata tamaa. Sikuona mwelekeo wake wa uchumi. Sikuona mwelekeo wake ktk elimu, afya, ajira nk. Alikuwa bize kuzungumza na makundi. Akina mama dodoma, vijana Mwanza, Wazee, nk. Wanasiasa njaa wakaamini anatafuta suluhu utadhani inatueletea maendeleo. akamuweka ndani Sabaya. Sasa Mbowe naye ndani! Yako wapi?
 
Boss! Baada ya siku 100 nilikata tamaa. Sikuona mwelekeo wake wa uchumi. Sikuona mwelekeo wake ktk elimu, afya, ajira nk. Alikuwa bize kuzungumza na makundi. Akina mama dodoma, vijana Mwanza, Wazee, nk. Wanasiasa njaa wakaamini anatafuta suluhu utadhani inatuelete maendeleo. akamuweka ndani Sabya. Sasa Mbowe naye ndani! Yako wapi?
Ndo ivo mkuu madaraka yanalevya mno.
Tusubiri 2025 atakuja na sera gani ashawishi apigiwe kura au avunje rekodi ya wizi wa kura kama mwendazake.
 
Naona matatizo ya Muungano na hasa tunapokuwa na rasi kama huyu anayetokea Zbar. alipoingia alianza ku-balance mambo; Meli nyingine itapelekwa Z'bar, kila kitu akisema pesa nyingine ipelekwe Z.bar. Sasa hili la tozo na malengo yake tunataka kujua kama hata Z'bar kuna makato ya miamala. Kama hakuna, kwa nini makato ya bara yapelekwe Z'bar?
Navojua mimi mitandao yote ya simu yanatoa huduma sawa nchi nzima yaani bara mpaka visiwani huko zanzibar inaoperate kama inavooperate kule kigoma na katavi
 
Kabla hamjampaka SAMIA tope jiulizeni nyie Wananchi mmefanya nini kupinga maamuzi ya watawala.

Tena hizo tozo azidieshe hata Mara 3,maana we are all stupid.
Umemaliza kila kitu, viongozi wa upinzani ambao ndio watetezi wananyanyaswa dhidi ya madhalim basi hata waonyeshe upinzani wao hawawezi waoga kupita maelezo [emoji16]
 
Naona matatizo ya Muungano na hasa tunapokuwa na rasi kama huyu anayetokea Zbar. alipoingia alianza ku-balance mambo; Meli nyingine itapelekwa Z'bar, kila kitu akisema pesa nyingine ipelekwe Z.bar. Sasa hili la tozo na malengo yake tunataka kujua kama hata Z'bar kuna makato ya miamala. Kama hakuna, kwa nini makato ya bara yapelekwe Z'bar?
Kula matunda ya Mwungano hayo. Magufuli alisema nchi ina hela nyingi tu. Huyu maa anadanganya watu wa Bara. She is not from this side, she doesn’t care. Miaka 15 ijayo ya upumbafu mtupu. Mwungano, we end up with morons!!
 
Zanzibar wana serikali yao na bajeti yao, kama hii tozo ya miamala haikupitishwa na bunge lao haiwezi kuwepo, huku kwetu ipo kwa sababu ilipitishwa na bunge la wahujumu uchumi then Samia akasaini.
 
Kabla hamjampaka SAMIA tope jiulizeni nyie Wananchi mmefanya nini kupinga maamuzi ya watawala.

Tena hizo tozo azidieshe hata Mara 3,maana we are all stupid.

Good observation! Ni kama ule mfano wa chura aliyewekwa kwenye maji yanayochemka. Aliendelea kutulia hadi maji yslipozidi kumuunguza ndio akaruka nje kujiokoa. Naungana na wewe, tozo ziongezwe kutuzibua akili.
 
Sheria ikipitishwa na bunge la jamhuri ya muungano wa tz inatumika pandezote za muungano

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
Kuna mambo yanaitwa Articles of Union kwenye Katiba ya JMT, kama hiyo tozo iko miongoni mwao hilo jambo litakuwa la pande zote, kama haipo hilo litabakia bara pekee, ndio maana kule juu umeambiwa kutumiana pesa ndani ya Znz haina makato, ila ukituma from Znz to bara unakatwa.
 
Naomba niulize swali la msingi hapa, naona kuna kitu sikielewi vizuri.

Nnavyofaham, nikiwa na line ya voda, tigo, airtel au mtandao wowote, nikituma au kupokea pesa nikiwa mahali popote, makato ni yale yale kwakuwa imewekwa hivyo kwenye system.

Kwa mjadala unavyoenda ni kama watu wa Zanzibar wakitumiana pesa hukohuko hawakatwi tozo la uzalendo, hii inawezekanaje?

Nikiambiwa mtandao wa Zantel haujafanya hayo mabadiliko, hiyo naweza kukubali lakini mitandao mingine haijalishi uko eneo gani la nchi, tozo iko pale pale.
 
Mbaya zaidi Wizara ya Fedha inasemekana ni ya muungano. Kwa hapa sasa inafanyakazi upande mmoja kunapokuwa na tozo, na usawa unatafutwa kunapokuwa na mgao wa fedha.
Wizara ya fedha sio ya Muungano.
Zanzibar wana wizara yao ya fedha na wa revenue authority ya kwao.

BOT pekee ndio moja na fedha/sarafu ni moja.

Ila huwa sielewi kwanini N/w wa Fedha anatokea Zbar wakati Wizara ya Fedha sio ya kimuungano.
 
Wizara ya fedha sio ya Muungano.
Zanzibar wana wizara yao ya fedha na wa revenue authority ya kwao.

BOT pekee ndio moja na fedha/sarafu ni moja.

Ila huwa sielewi kwanini N/w wa Fedha anatokea Zbar wakati Wizara ya Fedha sio ya kimuungano.
Ni kweli!
Z'bar wanadeka! Kuna wizara kadhaa siyo za muungano ambazo tuna mawaziri wa-zenj bila sababu! Tuna shida ya ajira, unakuta mtu toka zenj anaajiliwa bara lakini hakuna mtu wa bara anaajiliwa Zbar!

Hili la Makato ya miamala haifai kabisa! yaani maskini wa bara ndo anakatwa halafu pesa zitumike Zbar, tena kusimamiwa na rais mzanzibari!
 
Naomba niulize swali la msingi hapa, naona kuna kitu sikielewi vizuri.

Nnavyofaham, nikiwa na line ya voda, tigo, airtel au mtandao wowote, nikituma au kupokea pesa nikiwa mahali popote, makato ni yale yale kwakuwa imewekwa hivyo kwenye system.

Kwa mjadala unavyoenda ni kama watu wa Zanzibar wakitumiana pesa hukohuko hawakatwi tozo la uzalendo, hii inawezekanaje?

Nikiambiwa mtandao wa Zantel haujafanya hayo mabadiliko, hiyo naweza kukubali lakini mitandao mingine haijalishi uko eneo gani la nchi, tozo iko pale pale.
Swali zuri, lakini kwa teknolojia hii tunajionea mtu akiwa maeneo ya vyuo, bando na makato mengine yakitofautiana. Au kunakuwa na promosheni kwa mikoa fulani tu!
 
Kuna jambo wengi hawalijui (Baraza la mawaziri,wabunge,wakuu wa Idara, wakurugenzi,maRC,wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama) hawa wote ukichukua maoni Yao na familia zao huwezi kukuta wanalalamikia hizi tozo!!...
Ni kosa kubwa kwa kiongozi kuilalamikia serikali, akitaka kufanya hivyo ajiuzulu.
 
Back
Top Bottom