Zanzibar: Balozi Mohammed Mzale ateuliwa kuwa Kamishna wa Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Rais Hussein Ali Mwinyi amemteua Balozi Mohammed Mwinyi Mzale kuwa Kamishna wa Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma katika Ofisi ya Rais; Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora

Uteuzi wa Balozi Mzale umeanza leo Februari 18, 2022

 
Kazi kubwa ya rais NI kuwapa watu kazi au Ajira wakapate posho
 
Mambo ya nchi nyingine hayana maana kwetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…