Zanzibar bila Tanganyika

Zanzibar bila Tanganyika

Watanganyika wenyewe tumewachoka wazanzibar maana hamkui kila siku ni kudeka tuu kama watoto wadogo.
Tumechokana sote na mke na mume kwa kukaa pmj huchokana ila maisha yao huendeshwa na kuvumilian tu lkn wakitafakari wakiangalia jirani walivo achana na kusambaratika familia zao ndio huona umuhim kuendelea kukaa pamoja km umechoka muungano hama tzn katafute nchi isokua na muungano uishi
 
Watanganyika wenyewe tumewachoka wazanzibar maana hamkui kila siku ni kudeka tuu kama watoto wadogo.
Tumechokana sote na mke na mume kwa kukaa pmj huchokana ila maisha yao huendeshwa na kuvumilian tu lkn wakitafakari wakiangalia jirani walivo achana na kusambaratika familia zao ndio huona umuhim kuendelea kukaa pamoja km umechoka muungano hama tzn katafute nchi isokua na muungano uishi
 
Zanzibar hatuutaki kuusikia huo Muungano jina. Bora tuungane na Oman
 
Tumechokana sote na mke na mume kwa kukaa pmj huchokana ila maisha yao huendeshwa na kuvumilian tu lkn wakitafakari wakiangalia jirani walivo achana na kusambaratika familia zao ndio huona umuhim kuendelea kukaa pamoja km umechoka muungano hama tzn katafute nchi isokua na muungano uishi
Yaani wewe mzanzibari unihamishe mimi mtanganyika kisa kisiwa? 🤣
Muungano gani huu wa kukilea kitoto kisichokua.
 
Back
Top Bottom