figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Hapo Bima inatafutwa ama masharti ya mganga.Taarifa zilizotufikia muda huu ni kwamba Hotel 5 zilizopo Jambiani Zanzibar zinateketea kwa moto. Chanzo cha moto huo hakijafahamika na kwamba hoteli zilizoathirika ni pamoja na Villa de Coco, Sharazad, Spice island, Fun Beach na Cobe.
View attachment 2016710View attachment 2016711
Bora imekujaHii habar imechelewa Sana. Picha inaonesha ilikuwa mida ya jioni jioni. Hapo Bima inatafutwa ama masharti ya mganga.
πππamii,au ni mambo ya kampala
ππππ combo ya umeme + maji hakuna + joto = motoJua kaliii
Joto kaliii
Moto nao umepamba motoo
Watamsingizia huyu ndege maskiniJua kaliii
Joto kaliii
Moto nao umepamba motoo
Anaitwaje?Watamsingizia huyu ndege maskini
amii,au ni mambo ya kampala