Zanzibar: Hotel tano za Jambiani, zateketea kwa moto

Zanzibar: Hotel tano za Jambiani, zateketea kwa moto

Economical Hitmen.

Wanatibua ndoto za rais Mwinyi
 
Mshafanya uchunguzi tayari sio? Polisi wenu hawakua na taarifa? Intelijensia yenu haikuwadaka
Imagine polisi wa Tabora wanaweza kujua mtu anayetaka kujinyonga lakini polisi wa zanzibar hawawezi kumgundua mtu anayetaka kuchoma moto mali
 
Imagine polisi wa Tabora wanaweza kujua mtu anayetaka kujinyonga lakini polisi wa zanzibar hawawezi kumgundua mtu anayetaka kuchoma moto mali
Hahahaaha kuna wale wengine waliwaombea marehemu wapone haraka waweze kurejea kwenye majukumu yao
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tumebaki na vichekesho tupu huko. Ile intelligence iliyokuwepo enzi za nyerere hadi Mkapa haipo kabisa. Sasahv tunajiendea tu
Adui yao siku hizi sio maradhi na umaskini tena, ni Upinzani! Taifa la wajinga kabisa kupata kutokea
 
Adui yao siku hizi sio maradhi na umaskini tena, ni Upinzani! Taifa la wajinga kabisa kupata kutokea
Na wanaona sifa kusifiana hadi kwenye ujinga. Angalau kikwete alijitahidi kidoooooogo enzi zake.lakini huyu wa sasa ndio kabisa. Wanajazana makada wa ccm kwenye taaaisi nyeti ambazo zinahitaji kutumia akili na sio hisia
 
Na wanaona sifa kusifiana hadi kwenye ujinga. Angalau kikwete alijitahidi kidoooooogo enzi zake.lakini huyu wa sasa ndio kabisa. Wanajazana makada wa ccm kwenye taaaisi nyeti ambazo zinahitaji kutumia akili na sio hisia
Umesahau safari ya Zambia kumuapisha Rais? Alienda hadi na Mwenyekiti wa CCM Tanga, imagine
 
Duuh jinamizi hilo...kuna watu walikua wanahujumi wenzao kwa moto kisiasa naona sasa pepo la moto linasambaa
Kwangu naona moto unao teketeza vibanda vya wamachinga na masoko kadhaa ndio upo kimkakati zaidi.
 
Mambo ya Insurance hayo, kinaunguzwa ktu cha milioni 100 wanaenda kudai bilion 10. Wahindi na waarabu wanapenda sana hii michezo
 
Moto moto[emoji28][emoji28]serikari ina nyota ya moto ila kwa style ya hayo majengo yalivyo ka mbona kama kuna mtu alkua ana tia kiberiti kwenye jengo moja moja[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Back
Top Bottom