Zanzibar imefika huku! Kunani?

Unaleta udini
We ukienda hospitali utadai utibiwe na mwanaume au mwanamke?
 
Paja la bacca linasuguliwa mpaka anakuwa makodinda makostamina
 
Zanzibar kiswahili wanakielewa sidhani kama watakuwa wamekosea pengine hilo neno Lina maana nyingi wataalam wa kiswahili tunaomba ufafanuzi.

Neno tanzia lina tafsiri moja tu, nayo ni kuhusiana na msiba/kifo...

tanzia

1. taarifa ya kifo inayotangazwa ili iwafikie watu walio mbali

2. tukio linaloweza kuleta maafa au msiba

#KamusiYaKiswahili #KiswahiliKitukuzwe
 
Muda mwingine wanaosema kuwa muislamu ni kuwa taahira wapo sahihi kwa kiasi fulani...sasa uteuzi wa huyo mwanamke umefanywa na wayahudi na hao wakristo?
 
Sasa si bora wachuliwe na mwanamke kuliko WAKIJICHUA WENYEWE
 
Hao si waTz bwanshee.
 
Mimi ningekua mchezaji ningetaka kuchuliwa misuli na mwanamke.

Yaani niende leo massage spa halafu nichague mwanaume anifanyie massage?

Mleta uzi una akili?
 
Mimi ningekua mchezaji ningetaka kuchuliwa misuli na mwanamke.

Yaani niende leo massage spa halafu nichague mwanaume anifanyie massage?

Mleta uzi una akili?
Muislam harusiwi kufanya hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…