Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Zanziba ilitakiwa kuwe na wabunge 8 basi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hakuna kitu kinanikera na kunichefua kama Muungano na Zanzibar.
kama kuna kitu namlaani Nyerere mpaka kufa ni kutumezesha li-muungano na Zanzibar
Nyerere alituuza wazima wazima kwa kutaka sifa za kuwa unifying agent wa Waafrika...
Hakuna anaekerwa zaidi na muungano kama wazanzibari. Jitathamini upya, sie ni watu wenye utamaduni na utambulisho wetu ambao tunajivunia kuitwa wazanzibari. Leo tumevishwa vilemba vya kitanzania, wee acha mazee. Vunjeni tuu, go ahead we got nothing to loose here.hakuna kitu kinanikera na kunichefua kama Muungano na Zanzibar.
kama kuna kitu namlaani Nyerere mpaka kufa ni kutumezesha li-muungano na Zanzibar
Nyerere alituuza wazima wazima kwa kutaka sifa za kuwa unifying agent wa Waafrika...
Jambo likifanywa na ccm inaonekana ccm ni tatizo ila ikitokea jambo hilo hilo kufanywa na chama pinzani utaambiwa mbona ccm anafanya/alifanya.Bahati nzuri mambo haya yote yanafanywa na serikali yako sikivu ya CCM! Kakumbushaneni huku sisi tumekaa kimya tu tunaisikiliza serikali sikitu sorry sikivu.
Mfano?Jambo likifanywa na ccm inaonekana ccm ni tatizo ila ikitokea jambo hilo hilo kufanywa na chama pinzani utaambiwa mbona ccm anafanya/alifanya.
Kazi rahisi sana, hebu fanyeni tuone kama tutashindwa 😀Ila watambue kuwa muungano ukivunjika, wanzazibar wote shuruti kurudi kwao! hata makaburi ya ndugu zao ni budi wafukue waondoke na mifupa yao.
Mtu akiwa masikini au dhaifu inabidi umpambe pambe ili nae ajisikie vizuri. Kadhalika mzazi hawezi kumuacha mwanaye ilihali anajua hajafika umri wa kujitegemea atakae chekwa ni mzazi sio mtoto.Tanganyika tunaihitaji Zanzibar kuliko Zanzibar inavyoihitaji Tanganyika..
Hatuna jinsi inabidi tuwape wa Zanzibar nafasi ya kula cake ya taifa sana.. ili wasiupinge Muungano
Pia kumbuka Zanzibar sio mkoa ama wilaya kama Kinondoni na Temeke, Zanzibar ni taifa kamili ambalo lina Rais wake na lina native land yake...lazima tuwape nafasi nyingi maana bila Zanzibar hakuna Tanzania.. ila bila Temeke ama Kinondoni Tanzania bado inakuwepo
Kama unaona hasara wabunge 50 basi wa majimbo basi vunja Muungano, maana sisi ni Nchi kamili tulioungana,na Nchi ya Tanganyika.Nimeshtushwa na idadi ya wabunge 75 kuwakilisha wakazi wasiofika million huko Zanzibar wakazi wanaozidiwa na mbunge mmoja tu Arusha,Temeke,Ubungo,Mbeya mjini, Kigoma mjini nk ikiwa ni sawa na uwakilishi wa mbunge kwa wakazi 106669 huku ni kuchezea pesa wa walipa kodi.
Kinachoumiza zaidi ni vyama vya siasa vimeweka viwango vya mabilion kufanya kampain eneo ambalo hata mguu au baiskeli unafika hapa naona kunavichwa haviko sawa kabisa hapa ilifaa kuwa na wabunge watano au watatu .
Kuna haja ZEC kuwa makini na uchezeaji wa pesa huu
USSR
Ni hasara kubwa sana kwa Tanzania kuacha Zanzibar iwe nje ya Muungano.hakuna kitu kinanikera na kunichefua kama Muungano na Zanzibar.
kama kuna kitu namlaani Nyerere mpaka kufa ni kutumezesha li-muungano na Zanzibar
Nyerere alituuza wazima wazima kwa kutaka sifa za kuwa unifying agent wa Waafrika...
Zanziba ilitakiwa kuwe na wabunge 8 basi
Mimi kinachonikera wazanzibar ni kama wake wenza yaani kutwa kulalamika japo naumia kuipoteza Tanzania lakini wanakera sana hao watu
You have tons to lose!Hakuna anaekerwa zaidi na muungano kama wazanzibari. Jitathamini upya, sie ni watu wenye utamaduni na utambulisho wetu ambao tunajivunia kuitwa wazanzibari. Leo tumevishwa vilemba vya kitanzania, wee acha mazee. Vunjeni tuu, go ahead we got nothing to loose here.
Mimi kinachonikera wazanzibar ni kama wake wenza yaani kutwa kulalamika japo naumia kuipoteza Tanzania lakini wanakera sana hao watu
Kiongozi naona kama umewapunguzia hadhi ACT wazalendo. Maana upepo unaonyesha kwamba ACT wazalendo ndio watakao unda serikali ya mapinduzi ya Zanzibar ili watuonyeshe taifa na serikali ya Tanganyika iliyo jificha nyuma ya JMT.
Ama una maanisha watatoa KUB katika bunge la Tanganyika?
Hebu imagine, Mtanganyika haruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar!
Hicho kitu kinanikondesha kupita maelezo na ninamlaani Nyerere kwa kila mvuto wa pumzi ya uhai wangu
Sasa kwanini ikawa muna ulinda mungano kwa mtutu wa bundukiNimeshtushwa na idadi ya wabunge 75 kuwakilisha wakazi wasiofika million huko Zanzibar wakazi wanaozidiwa na mbunge mmoja tu Arusha,Temeke,Ubungo,Mbeya mjini, Kigoma mjini nk ikiwa ni sawa na uwakilishi wa mbunge kwa wakazi 106669 huku ni kuchezea pesa wa walipa kodi.
Kinachoumiza zaidi ni vyama vya siasa vimeweka viwango vya mabilion kufanya kampain eneo ambalo hata mguu au baiskeli unafika hapa naona kunavichwa haviko sawa kabisa hapa ilifaa kuwa na wabunge watano au watatu .
Kuna haja ZEC kuwa makini na uchezeaji wa pesa huu
USSR
Duh... Wadanganyika wanahitaji znz kwa lipi?!Tanganyika tunaihitaji Zanzibar kuliko Zanzibar inavyoihitaji Tanganyika..
Hatuna jinsi inabidi tuwape wa Zanzibar nafasi ya kula cake ya taifa sana.. ili wasiupinge Muungano
.......
Kama siyo hili li-muungano Tanganyika isingekuwa masikini hiviHakuna kitu kinanikera na kunichefua kama Muungano na Zanzibar.
Kama kuna kitu namlaani Nyerere mpaka kufa ni kutumezesha li-muungano na Zanzibar
Nyerere alituuza wazima wazima kwa kutaka sifa za kuwa unifying agent wa Waafrika...