antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Mbona Kuna wahindi wazawa wengi Tanzania, na hakuna muungano kati ya Tz na India??Ila watambue kuwa muungano ukivunjika, wanzazibar wote shuruti kurudi kwao! hata makaburi ya ndugu zao ni budi wafukue waondoke na mifupa yao.
Hiyo hasara kubwa ni ipi?Ni hasara kubwa sana kwa Tanzania kuacha Zanzibar iwe nje ya Muungano.
Hata kama Zanzibar wataongozwa na serikali ya ACT wazalendo kuwaruhusu Zanzibar watoke kwenye Muungano ni uhaini kwa nchi.
Ndiyo maana sisi CHADEMA hata siku moja hatutaruhusu Muungano uvunjike ila tuko tayari kutatua changamoto za Muungano zitakazojitokeza.
Wapo milioni ngapi?SUALA LA KUSEMA ZANZIBAR INA WAKAAZI LAKI 8 SIO KWELI NA NIUPOTOSHAJI WA KIWANGO CHA WAZI KABISA
Moderator Active Maxence Melo Naomba mumpige hata BAN ya mwezi mmoja huyu kwa nia yake ovu ya kupotosha Umma na kutaka kusababisha vurugu hapa.. au hamuoni !!!!
Znz ni kupe, wanyonyaji kwa Tanganyika.. periodYou have tons to lose!
Hauko mkweli.
Ukisema umepoteza identity yako ya Uzanzibari, na kwamba ina thamani kuliko chochote mnachopata Tanganyika ntakuelewa na nakubali, hapo mmepoteza. Lakini ukijifanya huoni namna Zanzibar inavyofaidika na upendeleo wa Muungano unakuwa unasema uongo!
Wazanzibar wanakula pesa ya Watanganyika bure bure, wamejaa nchini kwetu wanafanya biashara, wabunge 75 wa Zanzibar wanatu cost mabilioni na mabilioni, umeme tunawagawia bure, nafasi za masomo, za ubalozi, na mambo mengine kibaaao, Wazanzibari wanapeteshwa kupita maelezo.
Yale maghorofa ya Kariakoo naskia asilimia kubwa ni ya Wapemba!Hebu imagine, Mtanganyika haruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar!
Hicho kitu kinanikondesha kupita maelezo na ninamlaani Nyerere kwa kila mvuto wa pumzi ya uhai wangu
Sheria yao hairuhusu.. inabagua WatanganyikaWewe lina ukweli hili? Ulikuwa na pesa na umekosa mtu wa kukuuzia shàmba lake?
Siyo kweli, labda huijui Tanzania. ila bila Temeke ama Kinondoni Tanzania bado inakuwepo
Si unapenda kufukiziwa udi na asumini, sisi si ndio munatuita wake zenu/You have tons to lose!
Hauko mkweli.
Ukisema umepoteza identity yako ya Uzanzibari, na kwamba ina thamani kuliko chochote mnachopata Tanganyika ntakuelewa na nakubali, hapo mmepoteza. Lakini ukijifanya huoni namna Zanzibar inavyofaidika na upendeleo wa Muungano unakuwa unasema uongo!
Wazanzibar wanakula pesa ya Watanganyika bure bure, wamejaa nchini kwetu wanafanya biashara, wabunge 75 wa Zanzibar wanatu cost mabilioni na mabilioni, umeme tunawagawia bure, nafasi za masomo, za ubalozi, na mambo mengine kibaaao, Wazanzibari wanapeteshwa kupita maelezo.
Mbona mnatawaliwa na Tanzania bara sasa?Hivi mnaakili kweli!! (sijakusudia kutusi ila imenibidi tuu niulize)
Zanzibar hata kabla ya Muungano ni nchi kamili na yenye Mamlaka yake yote..
Je mumewahi kusikia neno JAMHURI YA WATU WA ZANZIBAR !!?
Hivi tunafaidika nini na Zanzibar sisi kama Tanganyika?Tanganyika tunaihitaji Zanzibar kuliko Zanzibar inavyoihitaji Tanganyika..
Hatuna jinsi inabidi tuwape wa Zanzibar nafasi ya kula cake ya taifa sana.. ili wasiupinge Muungano
Pia kumbuka Zanzibar sio mkoa ama wilaya kama Kinondoni na Temeke, Zanzibar ni taifa kamili ambalo lina Rais wake na lina native land yake...lazima tuwape nafasi nyingi maana bila Zanzibar hakuna Tanzania.. ila bila Temeke ama Kinondoni Tanzania bado inakuwepo
Kumbe wakazi wa Zanzibar ni chini ya idadi ya wakazi wa tabata?basi hawa walihitaji mbunge mmoja tu au wawili mmoja pemba mwingine unguja basiNimeshtushwa na idadi ya wabunge 75 kuwakilisha wakazi wasiofika million huko Zanzibar wakazi wanaozidiwa na mbunge mmoja tu Arusha,Temeke,Ubungo,Mbeya mjini, Kigoma mjini nk ikiwa ni sawa na uwakilishi wa mbunge kwa wakazi 106669 huku ni kuchezea pesa wa walipa kodi.
Kinachoumiza zaidi ni vyama vya siasa vimeweka viwango vya mabilion kufanya kampain eneo ambalo hata mguu au baiskeli unafika hapa naona kunavichwa haviko sawa kabisa hapa ilifaa kuwa na wabunge watano au watatu .
Kuna haja ZEC kuwa makini na uchezeaji wa pesa huu
USSR
Laki 8 ni takwimu ya mwaka gani?Nimeshtushwa na idadi ya wabunge 75 kuwakilisha wakazi wasiofika million huko Zanzibar wakazi wanaozidiwa na mbunge mmoja tu Arusha,Temeke,Ubungo,Mbeya mjini, Kigoma mjini nk ikiwa ni sawa na uwakilishi wa mbunge kwa wakazi 106669 huku ni kuchezea pesa wa walipa kodi.
Kinachoumiza zaidi ni vyama vya siasa vimeweka viwango vya mabilion kufanya kampain eneo ambalo hata mguu au baiskeli unafika hapa naona kunavichwa haviko sawa kabisa hapa ilifaa kuwa na wabunge watano au watatu .
Kuna haja ZEC kuwa makini na uchezeaji wa pesa huu
USSR
Hata iwe na wakazi chini kuliko kariakoo, ila kihadhi, huwezi fananisha Zanzibar na Tanzania bara yote kwa ujumla.Kumbe wakazi wa Zanzibar ni chini ya idadi ya wakazi wa tabata?basi hawa walihitaji mbunge mmoja tu au wawili mmoja pemba mwingine unguja basi
Hadhi gani unaizungumzia mkuu?Hata iwe na wakazi chini kuliko kariakoo, ila kihadhi, huwezi fananisha Zanzibar na Tanzania bara yote kwa ujumla.
Hadhi ya kuwa nchi..... Mumeikuta Zanzibar ikiwa na serikali yake na ikitambulikana kimataifa. Unapolalamika idadi ya wabunge Zanzibar, utambue kuwa Zanzibar ni nchi na sio kama eneo lolote Tanzania bara.Hadhi gani unaizungumzia mkuu?
Bara ina nini kuhusu nini?be specific unavyouliza maswaliHadhi ya kuwa nchi..... Mumeikuta Zanzibar ikiwa na serikali yake na ikitambulikana kimataifa. Unapolalamika idadi ya wabunge Zanzibar, utambue kuwa Zanzibar ni nchi na sio kama eneo lolote Tanzania bara.
- Ina Rais wake
- Ina baraza la wakilishi
- Ina vikosi vya ulinzi vyake
- ina mahakama yake
- ina Bendera yake
Sasa achilia mikoa, Tanzania Bara ina nini?
Context ya tunachozungumza ni HADHI, sasa Tanzania Bara in hadhi gani?Bara ina nini kuhusu nini?be specific unavyouliza maswali
HuelewekiContext ya tunachozungumza ni HADHI, sasa Tanzania Bara in hadhi gani?
In short sasa ushatambua kuwa malalamiko yako ya idadi ya wabunge Zanzibar ni hoja iliofilisika. Hapo ulipo unjarabi kutafakari Hadhi ya eneo unapoishi 🙂Hueleweki