Ajabu Zanzibar haina mwenyewe hao wote wanaopiga kelele ni wahamiaji, wengine walihamia kama watumwa,wengine kama washihiri na wengine kama wavuvi, narudia tena wote ni wahamiaji pale Zanzibar kuna watu wana asili ya Malawi, Tanganyika, Congo, Comoro,China,Oman,India etc. Ila kwa sasa mazingira yamebadirika ilitakiwa waachiwe kijiji chao.Mimi naaamini Nyerere alikosea sana kuwaunganisha wazenji na watanganyika kaipa Tanganyika mzigo mzito.hii nchi ingejitenga wafanye yao kwa maendeleo ya watu wao
Ohoo! Hapa ndipo mnapojifanya hamuelewi na tulishawapa solution zamani tu. Serikali ya Zanzibar ni serikali ya wananchi wa zanzibar,nyinyi si wazanzibari. Serikali ya Tanzania ni wa wananchi wa Tanzania, sisi na nyinyi ni watanzania. Tumekuambieni zamani tu kuweni na serikali ya Tanganyika kwa ajili ya wananchi wa tanganyika, lakini hamtaki,, sasa unataka upewe madaraka katika serikali isiyokuhusu kwa sababu gani hasa?Na kule Zanziberi mteue 50/50 watanganyika tuwemo serikali ya mapinduzi
Mbona sijawahi ona mtanganyika kateuliwa Zanzibar? Mtanganyika hata ardhi Zanzibar hapati! Hiyo 50 50 ya wapi? Kunjueni nyanyueni jamvi kwa amani
Ajabu Zanzibar haina mwenyewe hao wote wanaopiga kelele ni wahamiaji, wengine walihamia kama watumwa,wengine kama washihiri na wengine kama wavuvi, narudia tena wote ni wahamiaji pale Zanzibar kuna watu wana asili ya Malawi, Tanganyika, Congo, Comoro,China,Oman,India etc. Ila kwa sasa mazingira yamebadirika ilitakiwa waachiwe kijiji chao.
Waziri wa Muungano tu labda ,unafaa, Ila mengine kila mtu ajitegemeeTukumbushane toka kuungana 1964 Kati ya Tanganyika na Zanzibar. Sehemu moja ilikua inavaa koti la Muungano kwa kudhulumu upande mwingine.
50-50 formula izingatiwe kuanzia Uteuzi (Mawaziri, N/Waziri, Makatibu Wakuu, Wakurugenzi, Wakuu wa Taasisi, Mabalozi pia hata Misaada toka nje, pasu-kwa-pasu)
Ningelikushauri kwanza usome historia kabla ya kuropokwa hapa. Muungano wa zanzibar na wadanganyika ulifanyika baada ya sisi kumpindua sultani. Ukumbuke kuwa nyinyi mmepewa uhuru wenu kwa karatasi. Siku karatasi yenu ikiliwa na mchwa msishangae mzungu kurudi kukutawalieni tena. Sisi tumepata uhuru wetu kwa kupindua serikali!Au bora hata angewaacha tu waendelee kuwa Watumwa wa yule Sultan wao. Hawa watu ni zaidi ya mizigo.
Wazanzibar walio wengi, wanapenda sana kudeka na kunung'unika kwa kisingizio cha kero za Muungano! Nitafurahi sana kuona siku moja wanajitenga na kujitegemea kwa kila kitu! Badala ya kutupigia pigia kelele kila siku za kututishia nyau.
I hope wadanganyika wote hawana akili kama zako, na angalau wanajua historia yao. Hivi tanganyika ni ya akina nani? Hebu nenda kasome historia ya afrika na tanganyika kwanza nautajua wapi babu wa mababu zako walikotokea na vipi walifika sehemu hizi za afrika ya mashariki.Ajabu Zanzibar haina mwenyewe hao wote wanaopiga kelele ni wahamiaji, wengine walihamia kama watumwa,wengine kama washihiri na wengine kama wavuvi, narudia tena wote ni wahamiaji pale Zanzibar kuna watu wana asili ya Malawi, Tanganyika, Congo, Comoro,China,Oman,India etc. Ila kwa sasa mazingira yamebadirika ilitakiwa waachiwe kijiji chao.
Tukumbushane toka kuungana 1964 Kati ya Tanganyika na Zanzibar. Sehemu moja ilikua inavaa koti la Muungano kwa kudhulumu upande mwingine.
50-50 formula izingatiwe kuanzia Uteuzi (Mawaziri, N/Waziri, Makatibu Wakuu, Wakurugenzi, Wakuu wa Taasisi, Mabalozi pia hata Misaada toka nje, pasu-kwa-pasu)
Ikiwa hatuleti kitu kwa nini mnangangania muungano, kwa nini hamkubali kuuvunja muungano? Sema tu ni nini Tanganyika mnachokipa kisirisiri katika muungano huu?Kwenye Muungano mnacontribute nini.
Nyie leteni fyokofyoko.
Tutaifanya unguja na Pemba mikoa na nyodo zenu zitai siri kuwa zimeisha
Yah right........ Na kwenye bajeti wachangie 50 % pia .....!!Tukumbushane toka kuungana 1964 Kati ya Tanganyika na Zanzibar. Sehemu moja ilikua inavaa koti la Muungano kwa kudhulumu upande mwingine.
50-50 formula izingatiwe kuanzia Uteuzi (Mawaziri, N/Waziri, Makatibu Wakuu, Wakurugenzi, Wakuu wa Taasisi, Mabalozi pia hata Misaada toka nje, pasu-kwa-pasu)
Hilo haliwezekani kamwe. Msimharibie SSHTukumbushane toka kuungana 1964 Kati ya Tanganyika na Zanzibar. Sehemu moja ilikua inavaa koti la Muungano kwa kudhulumu upande mwingine.
50-50 formula izingatiwe kuanzia Uteuzi (Mawaziri, N/Waziri, Makatibu Wakuu, Wakurugenzi, Wakuu wa Taasisi, Mabalozi pia hata Misaada toka nje, pasu-kwa-pasu)
Kwa sasa hakuna,ila wakati ule tulipoungana tuliwafanya kama ngao ya mashambulizi toka bahari si unajua Tanganyika ilikuwa makao makuu ya ukombozi wa Afrika.Ikiwa hatuleti kitu kwa nini mnangangania muungano, kwa nini hamkubali kuuvunja muungano? Sema tu ni nini Tanganyika mnachokipa kisirisiri katika muungano huu?
ok ok hebu natuangalie kwa upande huuKasome katiba hatujaungana kila kitu.
Ardhi mfano sio jambo la muungano lakini wazanzibar mumejaaa kibao Tanzania bara mnamiliki mashamba na majumba subiri Taanganyika mtuamshe tukiamka tutawakimbiza mchana kweupe mrudi kwenu.
Biashara sio jambo la muungano lakini mumejaza maduka na vitega uchumi vyenu kibao bara.
Afya si sehemu ya muungano kutwa mnajazana hospitali zetu kutibiwa vipindupindu vyenu nk.
Tulikubaliana mambo machache tu lakini nyie wazanzibari munatuingilia hadi kwenye uvuvi kuvua kwetu na kuuza kwetu soko la ferry nk wakati uvuvi sio jambo la muungano nk.
Good point na kweli ilikuwa inafahamika sana wakati ule wa east and west block, tanganyika ilihitaji zanzibar ili kujiliannda na mashambuli ya baharini. Lakini kwa sasa kwa nini bado watu wangano?angania huu muungKwa sasa hakuna,ila wakati ule tulipoungana tuliwafanya kama ngao ya mashambulizi toka bahari si unajua Tanganyika ilikuwa makao makuu ya ukombozi wa Afrika.
Hata 20-80 hamstahili kbs.
Kwanini iwe 50 kwa 50 na sio kulingana na percantage ya idadi ya watu?50-50 formula izingatiwe kuanzia Uteuzi (Mawaziri, N/Waziri, Makatibu Wakuu, Wakurugenzi, Wakuu wa Taasisi, Mabalozi pia hata Misaada toka nje, pasu-kwa-pasu)
🤣🤣🤣Tukumbushane toka kuungana 1964 Kati ya Tanganyika na Zanzibar. Sehemu moja ilikua inavaa koti la Muungano kwa kudhulumu upande mwingine.
50-50 formula izingatiwe kuanzia Uteuzi (Mawaziri, N/Waziri, Makatibu Wakuu, Wakurugenzi, Wakuu wa Taasisi, Mabalozi pia hata Misaada toka nje, pasu-kwa-pasu)