Zanzibar inastahili 50% ya Muungano

Zanzibar inastahili 50% ya Muungano

Ningelikushauri kwanza usome historia kabla ya kuropokwa hapa. Muungano wa zanzibar na wadanganyika ulifanyika baada ya sisi kumpindua sultani. Ukumbuke kuwa nyinyi mmepewa uhuru wenu kwa karatasi. Siku karatasi yenu ikiliwa na mchwa msishangae mzungu kurudi kukutawalieni tena. Sisi tumepata uhuru wetu kwa kupindua serikali!

Kuhusu kujitenga kwa nini kwanza huwaulizi viongozi wenu ni kwa nini hawataki tujitenge? Toka enzi za nyerere tumelianza hilo na mpaka leo mnakataa? Kama kweli tunawarudisha nyuma na ni mzigo kwenu kwa nini viongozi wenu bado wangangania muungano huu? Kwa nini viongozii wenu walikataa kuonyesha mkataba wa makubaliano ya muungano yaliotiwa sahihi na nyerere pamoja na karume?

Usije kunipa jawabu eti sisi ndugu, sisi tuna udugu wa kweli wa wakenya kuliko nyinyi watanganyika.

Hivi wewe kama una mke ambae hana afanyalo la kukusaidia katika maisha ye nu zaidi ya hasara na madeni kila siku, na kila kukicha anadai talaka yake, hivi kweli utabaki nae au utamfungia mabegi na kumfukuza kwako? Sasa kama kweli sisi tunawaletea hasara na kukurudisheni nyuma, kwa nini mnangangania kubaki nasi?
Huyo Sultan koko si mlimpundua kwa msaada wa 100% kutoka Bara na yule Mganda John Okello! Mngekuwa peke yenu, mngeweza? Na wakati muda wote mnashinda tu vijiweni kula urojo. Halafu eti mnataka usawa!!
 
Huyo Sultan koko si mlimpundua kwa msaada wa 100% kutoka Bara na yule Mganda John Okello! Mngekuwa peke yenu, mngeweza? Na wakati muda wote mnashinda tu vijiweni kula urojo. Halafu eti mnataka usawa!!
Usijidanganye hapa, wabara hamjasaidia mapinduzi ya zanzibar. Naona wabara mnawashwa sana na namna wazanzibari wanavyo enjoy vyakula vyao. kila kukicha mnaimba urojo urojo, kwa nini hamji zanzibar tukakulisheni badala ya kukaa huko kila siku kula sembe na maharagwe, chakula cha wafungwa?
 
Nayakumbuka maneno ya mwalimu eti ' mbona tunachoma nyumba za wapemba lakini za wachaga hatuchomi'
 
Back
Top Bottom