beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Kuelekea Oktoba 28, Kamishna Mkuu wa Jeshi la Polisi-Kamisheni ya Zanzibar, CP Mohamed Haji Hassan ameonya kuhusu uvunjifu wa amani visiwani humo
Amesema, "Baadhi ya Wagombea wa Vyama vya Siasa wamesikika wakitamka maneno kama vile 'wataingia barabarani', 'watalinda kura', 'mwaka huu lazima kieleweka'. Jeshi la Polisi linaona matamshi haya ni maandalizi ya uvunjifu wa amani"
Ameongeza kuwa, kwasababu matamshi hayo yanakiuka kanuni na miongozo ya Uchaguzi Mkuuu iliyotolewa na ZEC pamoja na NEC, Jeshi kwa kushirikiana na Vyombo vya Ulinzi litachukua hatua kali kuhakikisha amani ya nchi inalindwa.
Msikilize hapa:
Amesema, "Baadhi ya Wagombea wa Vyama vya Siasa wamesikika wakitamka maneno kama vile 'wataingia barabarani', 'watalinda kura', 'mwaka huu lazima kieleweka'. Jeshi la Polisi linaona matamshi haya ni maandalizi ya uvunjifu wa amani"
Ameongeza kuwa, kwasababu matamshi hayo yanakiuka kanuni na miongozo ya Uchaguzi Mkuuu iliyotolewa na ZEC pamoja na NEC, Jeshi kwa kushirikiana na Vyombo vya Ulinzi litachukua hatua kali kuhakikisha amani ya nchi inalindwa.
Msikilize hapa: