Mbona unaongea Kwa Jazba mkuu 😅Mpumbavu wewe nyie mnavotupigishia kelele na ving'ora vyenu asubuhi mnahubiria mtaa mzima
Watu wengine hovyo kweli. Na usikute eneo hilo hilo watu wanafungulia mziki mkubwa mpaka kero, unakuta eneo hilo hilo kuna disco na maclub ya ujinga. TAG ni kanisa la kiroho sio manabii matapeli
Mbona Zumaridi na wafuasi wake mmewakamata na kuwafunga kwa kuamini wanachokitaka?ww ni fara sanaa - Who are you to judge people kwa dini zao you stupid piece of shit
Makanisa ya kilokole haya, kupayuka na miujiza ya kitapeli wakiwinda sadakaSorry mkubwa hivi unayafahamu makanisa ya TAG namna yanavyendesha ibada zao???
Misikiti ushasikia inatapeli watu kuwa inafufua wafu na kuwajaza watu utajiri?Wao mbona misikiti inajengwa kila kona...tena kwenye makazi ya watu..lkn watu wala hawajali...
Zile kelele za vipaza sauti mbona tunskausha tu
Mbona nabii Tito na Zumaridi walikamatwa?Uhuru wa kuabubu ni takwa la kikatiba hakuna ajuaye dhehebu lipi ni sahihi mbele za Mungu, na iman ni hakika ya mambo yatarajiwayo hivyo tusiwanyoshe vidole wenye imani tofauti na sisi kwa kuwaona kuwa wafanyacho wamepotoka.
Ile ulikuwa uhalifu, mapadri wanaheshimika Sana ZanzibarYule padri mliemmwagia tindikali alikua mpentekoste?
Mbona unahalalisha haramu Kua halali?
Ni eneo la makazi ya watu,Mpumbavu wewe nyie mnavotupigishia kelele na ving'ora vyenu asubuhi mnahubiria mtaa mzima
Watu wengine hovyo kweli. Na usikute eneo hilo hilo watu wanafungulia mziki mkubwa mpaka kero, unakuta eneo hilo hilo kuna disco na maclub ya ujinga. TAG ni kanisa la kiroho sio manabii matapeli
Ulisikia wapi msikitini wanahubiri kufufua watu na kuwajaza utajiri kwa miujiza?Ila nyie huku bara mnajenga kila sehemu na asubuh mnatupigia kelele zenu na kutukera lakini tunavumila tu. Wakristo mfike mahala mbomoe hizo nyumba za hao wanaoamini kwenye majini wazuri na wabaya.
Hao waliofanya hayo walikuwa wahalifu, mapadri wanaheshimika Sana ZanzibarMngekuwa mnawaheshimu wakatoriki mngewapiga risasi mapadre wawili? Acha unafiki father mmoja mlimuua kabisa na 1 alipotea chupuchupu
Kwa io uzae watoto bila mpangilio wanaume wengine waje kumlipia ada. NonsenseHahahaha wafia dini sijui mna kichaa gani na dini zenu hizo za kuletewa na wadhungu na waarabu
Mnajifanya mnajua sana dini wkt watoto wa kaka Enu hwn ada,majirani Zenu mwaka wa 10 hamuongei,kanisani majungu,misikiti majungu halafu mpo busy kutetea dini
Aliyewaambia Mungu anapenda unafiki na roho mbaya ,nani??????[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
Imeandikwa kesheni mkiomba usiku na mchana Kwa maana hamjui siku wala Sana mwana wa adamu Kristo yesu atakaporud duniani kuwakomboa watu wake.Ulisikia wapi msikitini wanahubiri kufufua watu na kuwajaza utajiri kwa miujiza?
Ibada za Kiislam Zina muda maalum na zikiisha ni basi, hizo za kilokole ni masaa 24,
Hujui kuna mashekhe wanaotangaza kutoa utajiri kutumia vtabu na dua mbalimbali zinazoambatana na sadaka za kuchinja na kuvhoma ma udi.Misikiti ushasikia inatapeli watu kuwa inafufua wafu na kuwajaza watu utajiri?
Misikiti Ina muda wake maalum wa swala, muda ukiisha basi, hao walokole unakuta ni miziki na kupayuka masaa 24
Usilinganishe misikiti na huu ujinga
Wewe, Kanisa la TAG siyo la kitapeli, naomba ufute huo usemi. Kama huna cha kuposti ni bora ungepita kimya.Niliiona jana hii habari, sema Wahusika wametulia kwa sababu wanajua walichokuwa wakifanya sio sahihi
Huwezi ukaejenga makanisa na kwenye makazi ya watu na kuwapigia kelele usiku kucha kwa miujiza ya kitapeli
Zanzibar hawapendi ujinga
Yapo makanisa kama Katoliki ambayo tunaheshimu na kuishi nao kwa amani, ila haya makanisa ya kijasiriamali yaliyojaa utapeli hayawezi kuvumilika.
Hakuna uhuru wa kuabudu usio na miaka, ndio maana hata serikali ilimfungia Nabii Tito pia imefungia Zumaridi
Mbona misikit inajengwa huko mbeya sasa c kila mtu abaki kwaoMm Ni mkiristo sioni sababu huyo mtumishi kwenda kufanya ujenzi ktk maeneo ya wanao ishi waislmu yaani unakwenda uarabuni kufungua kanisa hapan aise. usijaribu Imani za watu haondoke Hapo kbsa Tena ashukuru ajapigwa kipigo kikali mnk hvyo yey ndie mchokozi ..watu wasitafute usaw wa kidini hapa
Kenya umewahi sikia muslami kaw rais au hata kiongoz mkuu hkn hvyo vitu sas na huku iwe Hvyo uwez kwenda kufanya ibada Zanzibar Tena siku hz wamestarabika zamani waliwamwagia tindikali .....
Hizo ndio sababu za wahusika kumvunjiia au umetunga wewe ?Niliiona jana hii habari, sema Wahusika wametulia kwa sababu wanajua walichokuwa wakifanya sio sahihi
Huwezi ukaejenga makanisa na kwenye makazi ya watu na kuwapigia kelele usiku kucha kwa miujiza ya kitapeli
Zanzibar hawapendi ujinga
Yapo makanisa kama Katoliki ambayo tunaheshimu na kuishi nao kwa amani, ila haya makanisa ya kijasiriamali yaliyojaa utapeli hayawezi kuvumilika.
Hakuna uhuru wa kuabudu usio na miaka, ndio maana hata serikali ilimfungia Nabii Tito pia imefungia Zumaridi
Ulikuwa ushazaliwa KIPINDI KILE CHA MIHADHARA YA KIDINI KUFANYWA KWENYE VIWANJA VYA WAZI..?!!Kwann dini ya kiislamu huwa inaogopa Sana competition ya kiimani. Je ni dhaifu dhidi ya imani zingine?
Maana ni nature imani yeyeto dhaifu huwa inamezwa na imani imara.
Mfano dini za weupe zilikuwa na nguvu zaidi hadi zikazimeza dini za asili.
Kwanini tupangiane mambo ya kuhubiri au masaa ya kuswali/kusali/kuabudu ili hali kila mtu ana imani yake? Mimi ambaye ni mpagani je huo muda mchache wenu huoni bado ni kero kwangu? Ishu ni moja tu kuwa tuvumiliane au tufunjane basi. Wazungumzia habari za mahubiri ya kufufua watu na kukashifu huku umesahau habari za majini wazuri na wabaya pamoja na kupewa mabikra kadhaaUlisikia wapi msikitini wanahubiri kufufua watu na kuwajaza utajiri kwa miujiza?
Ibada za Kiislam Zina muda maalum na zikiisha ni basi, hizo za kilokole ni masaa 24,