Zanzibar: Kanisa la T.A.G pamoja na makazi ya Mchungaji wake Daudi Suna, yamebomolewa na wanaodaiwa ni wakazi wa eneo hilo

Zanzibar: Kanisa la T.A.G pamoja na makazi ya Mchungaji wake Daudi Suna, yamebomolewa na wanaodaiwa ni wakazi wa eneo hilo

Kanisa la t.a.g pamoja na makazi ya Mchungaji wake Daudi Suna yamebomolewa na wanaodaiwa ni wakazi wa eneo hilo wakishinikiza kuwa hawataki Kanisa katika eneo lao.

Zanzibar kuna kirusi cha ubaguzi wa kidini, lakini isifike huku. hii ni kunyume kabisa na sheria za nchi zinazoruhusu Uhuru wa Kuabudu. Kama jambo halitafanyika uzoefu huo unaweza kutumika kuwaonea wakristo hapo Zanzibar.



Pia miezi michache ijayo kipindi cha mfungo kikianza huwa ni marufuku kwa wakristo kula sehemu za wazi, ukikutwa unafungwa mpaka mfungo uishe, wengine huwa wanapigwa sana, sasa hapa ni kwamba mtu kama umeamua kufunga kwa imani yako iwaje hutaki kuona wenzako hawali, ni kwamba imani yako no nyepesi sana kuisimamia, kama ni hivyo kuna haja gani ya kufunga.

View attachment 2146523

View attachment 2146509
Aione FaizaFoxy Mohamed Said na Ritz je, mna nyongeza?
 
Hahahaha wafia dini sijui mna kichaa gani na dini zenu hizo za kuletewa na wadhungu na waarabu

Mnajifanya mnajua sana dini wkt watoto wa kaka Enu hwn ada,majirani Zenu mwaka wa 10 hamuongei,kanisani majungu,misikiti majungu halafu mpo busy kutetea dini

Aliyewaambia Mungu anapenda unafiki na roho mbaya ,nani??????[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
 
Kwann dini ya kiislamu huwa inaogopa Sana competition ya kiimani. Je ni dhaifu dhidi ya imani zingine?
Maana ni nature imani yeyeto dhaifu huwa inamezwa na imani imara.
Mfano dini za weupe zilikuwa na nguvu zaidi hadi zikazimeza dini za asili.
😀😀😀😀😀😀😀 kwa ukikaa na wenzako ndo mnavyodanganyana............ kimsingi ni kwamba habari haijakamilika .....sidhani kama inawezekana tu watu wajichukulie maamuzi ya kuvunja kanisa......
 
Nitajie kanisa lililowahi kujengwa na Yesu japo moja tu.
Kwakuwa umeuliza huku dhamira yako ikiwa tofauti moyoni mwako acha nikuelekeze kidogo.

Matayo 16:18-19

18 “Nami nakuambia, wewe ni Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu ambalo hata nguvu za kuzimu haziwezi kulishinda. 19 Nitakupa funguo za Ufalme wa mbinguni na lo lo te utakalolifunga duniani litakuwa limefungwa mbinguni na lo lote utakalofungua duniani litakuwa limefunguliwa mbinguni.”

Hili ni Agizo lake Yesu kwa Petro Na Sasa Jukumu la Petro juu ya mitume 12 linaonekana wazi mbeleni na hapo ndipo mwanzo wa kujengwa kwa Makanisa. Swali lingine...​

 
😀😀😀😀😀😀😀 kwa ukikaa na wenzako ndo mnavyodanganyana............ kimsingi ni kwamba habari haijakamilika .....sidhani kama inawezekana tu watu wajichukulie maamuzi ya kuvunja kanisa......
Basi saidia umma kwa Kuikamilisha.
 
Awamu ya nne ilikua hivi hivi, wakachoma makanisa na kuwamwagia tindikali mapadri, baada ya muda walilia kisiwa chote msiba kila nyumba, hakuna wa kulivunja kanisa akabaki salama, hapo unakua unapambana na mwenye mbingu na nchi, waacheni waanze hila zao wakijua aliyepo madarakani yu upande wao, ila nina uhakika asilimia zote kua kwa hiki kitendo lazima watalia tuu waache wajione wameshika nchi
Uamsho Zanzibar wamerudi kazini baada ya mashehe wa uamsho kuachiwa labda
 
Sasa watu wanapita na majini yao mazuri nyie mnayakemea!!!


Hahahaha wafia dini sijui mna kichaa gani na dini zenu hizo za kuletewa na wadhungu na waarabu

Mnajifanya mnajua sana dini wkt watoto wa kaka Enu hwn ada,majirani Zenu mwaka wa 10 hamuongei,kanisani majungu,misikiti majungu halafu mpo busy kutetea dini

Aliyewaambia Mungu anapenda unafiki na roho mbaya ,nani??????[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]

Haya karibuni mbishane ujinga humu
HUITAJI KUMPA MTU BANGI AU COCAINE AWE SOBBER ILI UMTAWALE, thats why Marx akasema
Religion is an Opium of the People
Mmebaki kuchinjana kwa Alshaaabab, Boko Haram, Ant Baraka nk nk kwa kwa Opium ya Kuran na Biblia. Tuna laaaana sisi ngozi nyeusi
 
Kwann dini ya kiislamu huwa inaogopa Sana competition ya kiimani. Je ni dhaifu dhidi ya imani zingine?
Maana ni nature imani yeyeto dhaifu huwa inamezwa na imani imara.
Mfano dini za weupe zilikuwa na nguvu zaidi hadi zikazimeza dini za asili.
Issue ni kwamba ni waoga .Wanahisi wakiruhu uhuru watu wakijua ukweli wa upande wa pili watahama .Hivyo huwa wanaforce watu wasisikilize upande wa pili

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
😀😀😀😀😀😀😀 kwa ukikaa na wenzako ndo mnavyodanganyana............ kimsingi ni kwamba habari haijakamilika .....sidhani kama inawezekana tu watu wajichukulie maamuzi ya kuvunja kanisa......
Kwani ni jipya hili huko visiwani?
 
Mm Ni mkiristo sioni sababu huyo mtumishi kwenda kufanya ujenzi ktk maeneo ya wanao ishi waislmu yaani unakwenda uarabuni kufungua kanisa hapan aise. usijaribu Imani za watu haondoke Hapo kbsa Tena ashukuru ajapigwa kipigo kikali mnk hvyo yey ndie mchokozi ..watu wasitafute usaw wa kidini hapa
Kenya umewahi sikia muslami kaw rais au hata kiongoz mkuu hkn hvyo vitu sas na huku iwe Hvyo uwez kwenda kufanya ibada Zanzibar Tena siku hz wamestarabika zamani waliwamwagia tindikali .....
 
Habari haijakamilika hii isije ikawa kanisa la kukanyagana kama yule mama
Makanisa ya ajabu yanaibuka kila kukicha
Hebu andika kinachoendelea
 
Kwann dini ya kiislamu huwa inaogopa Sana competition ya kiimani. Je ni dhaifu dhidi ya imani zingine?
Maana ni nature imani yeyeto dhaifu huwa inamezwa na imani imara.
Mfano dini za weupe zilikuwa na nguvu zaidi hadi zikazimeza dini za asili.
umeongea uongo mzeee
 
Issue ni kwamba ni waoga .Wanahisi wakiruhu uhuru watu wakijua ukweli wa upande wa pili watahama .Hivyo huwa wanaforce watu wasisikilize upande wa pili

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Adhabu ya kuuacha uislamu ni kifo.So wengi wamelazimishwa kuwa si kwa hiari bali kwa lazima uwe unataka utakuwa uwe hautaki utakuwa.
 
Back
Top Bottom