Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inafanya mageuzi makubwa ya mfumo wa elimu kuanzia sasa hivi. Watakuwa na mpango wa muda mfupi, muda wa kati na muda mrefu. Katika mipango hiyo kuna mitihani ya Taifa ambayo itafutwa kabisa. Hawaoni sababu ya kuwepo kwa mfumo wao mpya wa elimu.
Jinsi nilivyolisikiliza tamko hili (video chini) la awali, inaonesha kama ni mipango mizuri. Watakuwa na mafunzo ya amali kuanzia mapema, yaani wanafunzi watafundishwa fani mbali mbali za kazi wakati wanaendelea na masomo yao mengine, na si kama ilivyo sasa kwa Zanzibar, kuwa mwanafunzi mpaka amalize kwanza form four ndiyo aweze kwenda vyuo vya kazi. Jisikilizie ufafanuzi zaidi:
Hii mbona ilishatangazwa na waziri wa Elimu Wa JMT alisema pia Kwa sasa Shule za Msingi watasoma mpaka Darasa la sita na Kuingia moja kwa moja Form one.
Pia alisema kuwa kutakuwa na mafunzo ya amali kama muziki na elimu ya kazi secondary na hakuna haja ya mtu kusma ma Physics wala ma Chemistry wala ma history.
Kama huu mtaala utafanikiwa nitakuwa wa kwanza kuipongeza Serikali ya CCM rasmi
Hii mbona ilishatangazwa na waziri wa Elimu Wa JMT alisema pia Kwa sasa Shule za Msingi watasoma mpaka Darasa la sita na Kuimgia moja kwa moja Form one..
Pia alisema kuwa kutakuwa na mafunzo ya amali kama muziki na elimu ya kazi secondary na hakuna haja ya mtu kusma ma Physics wala ma Chemistry wala ma history..
Kama huu mtaala utafanikiwa Nitakuwa wa kwanza kuipongeza Serikali ya CCM rasmi
Ukweli kwa hili lakumfanyia assessment mwanafunzi badala ya kumpima kwa siku moja naunga mkono 100% baada ya miaka 10 Zanzibar itakuwa mbali sn kwenye ujuzi badala ya kukaririshana, kwenye mazuri tupongeze hata sisi Tanganyika tuige hiki kitu.
Mtihani utakuwepo kwenye darasa la 10 au form four au elimu ya chini ya secondary pitia wizara ya elimu kuna huo mtaala since may na mapendekzo yake yote aliyotoa adolf mkenda.
Mtihani utakuwepo kwenye darasa la 10 au form four au elimu ya chini ya secondary pitia wizara ya elimu kuna huo mtaala since may na mapendekzo yake yote aliyotoa adolf mkenda
Shule za Zanzibar kwa miaka nenda rudi zimekuwa za mwisho kwenye mitihani ya taifa, suluhisho si kukimbia na kutafuta namna ya kuwalegezea watoto wao bali wazazi waweke mkazo kwenye elimu dunia pia wajifunze kuumia pindi watoto wao wanapofeli.
Shule za Zanzibar kwa miaka nenda rudi zimekuwa za mwisho kwenye mitihani ya taifa, suluhisho si kukimbia na kutafuta namna ya kuwalegezea watoto wao bali wazazi waweke mkazo kwenye elimu dunia pia wajifunze kuumia pindi watoto wao wanapofeli.
Waangalie kilicho bora kwao, mimi nadhani kwa udogo wao wa kijiografia, idadi ya watu na harakati zao za kiuchumi wala hawahitaji wasomi wengi ki vile watasababisha tatizo la ajira bure! watafika tu, hata sisi wenyewe pamoja na makelele yote haya hatujafika mbali!... eti nchi ya watu milioni 65 tunajilinganisha na Zanzibar kielimu badala ya KENYA au UGANDA, GHANA SOUTH AFRICA etc. Utamsikia msomi 'shule za Zanzibar ni za mwisho kimatokeo sisi tunafanya vizuri' what a shame!
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inafanya mageuzi makubwa ya mfumo wa elimu kuanzia sasa hivi. Watakuwa na mpango wa muda mfupi, muda wa kati na muda mrefu. Katika mipango hiyo kuna mitihani ya Taifa ambayo itafutwa kabisa. Hawaoni sababu ya kuwepo kwa mfumo wao mpya wa elimu.
Jinsi nilivyolisikiliza tamko hili (video chini) la awali, inaonesha kama ni mipango mizuri. Watakuwa na mafunzo ya amali kuanzia mapema, yaani wanafunzi watafundishwa fani mbali mbali za kazi wakati wanaendelea na masomo yao mengine, na si kama ilivyo sasa kwa Zanzibar, kuwa mwanafunzi mpaka amalize kwanza form four ndiyo aweze kwenda vyuo vya kazi. Jisikilizie ufafanuzi zaidi: