Jumuia yangu ya Tanzania inajua niliyofanya. Jumuia ya Ununio Dar inajua nayofanya hivyo usidandie usiyo yajuwa. Bila mitihani viwango vya elimu vitashuka.Oooh hodari sana wewe. Kusoma kwako kumeisaidia nini jamii inayokuzunguka?
Hata mimi kufanya vizuri form 6 ndiyo imenipa visa sasa ningepata zero njia ya kuja ni kama za ndugu zetu ukimbizi na kuzamia