FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
- Thread starter
-
- #81
Kama yule wa leo pale ubalozi wa Ufaransa?Wajiunge tu.ila na huo ndio uwe mwisho wa muungano
lakini huo uwekezaji wao sisi watanganyika autotufaidisha na lolote zaidi ya kulipuliwa na mabomu maana sasa watakuwa na wafadhili wa kutosha
Tangu lini ukawa koloni la mtu mweusi hasa mwenye akili kama za CCM na ukafanikiwa?Nadhani siku ikitokea hivyo wazanzibari watafrai sana maana wanahisi hawafaidiki na lolote na huu Muungano wa kulazimishana, wanahisi huu Muungano umesimamishwa na kuwepo kwa nguvu za dola, sasa wakijiunga na Dubai alau watajikwamua kiuchumi
Hujapenda au umependa hilo?Naona Zanzibar ‘wanajiunga’ na Dubai hatimae
Update: 25/08/2021
Naona Dubai wameanza kuichukua taratibu, kampuni ya xCassia toka Dubai inatarajia kuanza ujenzi wa jengo refu zaidi la pilili kwa Afrika ili kukuza utalii Zanzibar
Zanzibar kujenga jengo refu zaidi Afrika Mashariki na kati, kubeba hoteli kubwa zaidi kwenye kanda
Ni jengo refu zaidi Afrika Mashariki na kati na linatarajiwa kubeba hoteli kubwa zaidi kwenye ukanda huu. Kampuni ya kitanzania ya AICL na Edinburgh Crowland wameingia makubaliano na msanifu wa majengo, xCassia kuja na jengo la ghorofa 70. Jengo hilo litaitwa 'Zanzibar Domino Commercial Tower...www.jamiiforums.com
View attachment 1907997
The Zanzibar domino tower
Njaa kitu kibaya. Hawa watumwa wa kujitakia. Wangejua waarabu wanavyodharau waswahili wala wasingepoteza muda. Je JMT itawaruhusu kufanya uhaini huu?Zanzibar wakijiunga na U.A.E bara tutafaidika sana, uwekezaji mkubwa utakaofanywa zenji utatunufaisha bara hasa kibiashara kutokana na close proximity. Kigamboni nayo itadevelop rapidly!
===============
Update: 25/08/2021
Naona Dubai wamefuata ushauri, wameanza ‘kuichukua’ taratibu, kampuni ya xCassia toka Dubai inatarajia kuanza ujenzi wa jengo refu zaidi la pilili kwa Afrika ili kukuza utalii
Zanzibar kujenga jengo refu zaidi Afrika Mashariki na kati, kubeba hoteli kubwa zaidi kwenye kanda
Ni jengo refu zaidi Afrika Mashariki na kati na linatarajiwa kubeba hoteli kubwa zaidi kwenye ukanda huu. Kampuni ya kitanzania ya AICL na Edinburgh Crowland wameingia makubaliano na msanifu wa majengo, xCassia kuja na jengo la ghorofa 70. Jengo hilo litaitwa 'Zanzibar Domino Commercial Tower...www.jamiiforums.com
View attachment 1908001
The Zanzibar Domino tower
Itawaruhusu kwasababu ile ni nchi kamili.Njaa kitu kibaya. Hawa watumwa wa kujitakia. Wangejua waarabu wanavyodharau waswahili wala wasingepoteza muda. Je JMT itawaruhusu kufanya uhaini huu?
Ilikuwa nchi kamili kabla ya muungano. Kuna haja ya kuacha kujidanganya na kujiridhisha. Ingekuwa nchi kamili isingepewa mgao wa bajeti yake badala ya kujiamulia itumie na kuweka kiasi gani. Zanzibar haina ubavu ndani ya Muungano kama nchi. Rejea baada ya Nyerere kuondoka na kutaka urais uwe wa zamu. Baada ya Mkapa si aliingia Kikwete na kufuatiwa na Magufuli? Na kama siyo kifo cha Magufuli huenda hata rais ajae angetoka Bara na bado Znz ikanywea na mwenyekiti wake wa BMZ ambaye hana seniority astahikiyo bara.Itawaruhusu kwasababu ile ni nchi kamili.
Kumbe upo hadi leo? Hii Covid mi nasemaga ni feki tu 😂😂😂Hujapenda au umependa hilo?
Shida iko pale Loliondo na Ngorongoro, shida ipo pale tuWajiunge tu ila na huo ndio uwe mwisho wa muungano, lakini huo uwekezaji wao sisi watanganyika autotufaidisha na lolote zaidi ya kulipuliwa na mabomu maana sasa watakuwa na wafadhili wa kutosha
Hao Oman ndio wanapewa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo sasa kama hujuiZanzibar hawana lolote la kuitisha tz. kwani wanajivunia nini? utalii?
1. kwasababu ya kumwagia watu tindikali na kulipua mabom makanisa, utalii unazidi kuporomoka na mahotel yanafungwa
2. hata wakiweka bandari ya bure (free port), watakuwa wanapeleka mizigo wapi? they are an island, na sisi tz tunajenga bandari ya bagamoyo na ile ya mtwara kwahiyo bandari ya zanzibar itakuwa useless. so, kenya inaweza kuwa competitor mkubwa wa tz kuliko zenji, na tz hatutapata hasara sana kama zenji itatutosa.
muungano ni wa muhimu kuendelea nao kwasababu tumeshaishi nao na kutengana ni kitu kibaya, lakini kama tukishindwana kabisa, kila mtu achukue hamsini zake, wao watapoteza zaidi kuliko sisi.
hata wakijiunga na saudi arabia au UAE, sisi hatuna hasara, zaidi sana inaweza kuwa faida kwetu.
hata hivyo, ni rahisi zaidi zanzibar kujiunga na mababu zao WAOMAN kuliko DUBAI.
Russia?bara tuungane na india tu au russia
Roho zitawauma sana, Zanzibar itaendelea kuwa kaka zenu wakubwa, daima.Zanzibar wakijiunga na U.A.E bara tutafaidika sana, uwekezaji mkubwa utakaofanywa zenji utatunufaisha bara hasa kibiashara kutokana na close proximity. Kigamboni nayo itadevelop rapidly!
===============
Update: 25/08/2021
Naona Dubai wamefuata ushauri, wameanza ‘kuichukua’ taratibu, kampuni ya xCassia toka Dubai inatarajia kuanza ujenzi wa jengo refu zaidi la pilili kwa Afrika ili kukuza utalii
Zanzibar kujenga jengo refu zaidi Afrika Mashariki na kati, kubeba hoteli kubwa zaidi kwenye kanda
Ni jengo refu zaidi Afrika Mashariki na kati na linatarajiwa kubeba hoteli kubwa zaidi kwenye ukanda huu. Kampuni ya kitanzania ya AICL na Edinburgh Crowland wameingia makubaliano na msanifu wa majengo, xCassia kuja na jengo la ghorofa 70. Jengo hilo litaitwa 'Zanzibar Domino Commercial Tower...www.jamiiforums.com
View attachment 1908001
The Zanzibar Domino tower
Mdosi kaanza kwenda Zenj kabla ya babu zako hawajaja kama manamba Tanganyika.Mu Imarat hatakagi ujinga mambo ya copy na paste hanaga imetoka hiyo check mdosi atakavyo mwagika zenji
Wewe ndiyo wale mnaogawanywa mtawaliwe unachekelea. Zanzibar ndiyo lilikuwa taifa lako kabla ya kuja mzungu na kukugawa. Punguani wahed.Watakuwa wanaendeleza utamu wa parasitic relationship waliouzoea katika muungno. Wamekuwa wanapewa ajira za chee, umeme tunawalipia, wabunge wao tunawalipa stahili zote hadi za kamati, wajumbe wa katiba tunawalipia 300,000 na wao wanajiongezea 120,000/=, tunawazawadia ardhi ingawa tuko tayari kujitoa EAC kwa kukatalia ardhi hiyo hiyo, tunaikataa Tanganyika yetu sisi wenyewe n.k. Bila shaka wakijiunga U.A.E watapata mengi katika kulinda muungano wao.