Zanzibar Kujiunga na Dubai (U.A.E)

Zanzibar Kujiunga na Dubai (U.A.E)

Naona Zanzibar ‘wanajiunga’ na Dubai hatimae


Update: 25/08/2021
Naona Dubai wameanza kuichukua taratibu, kampuni ya xCassia toka Dubai inatarajia kuanza ujenzi wa jengo refu zaidi la pilili kwa Afrika ili kukuza utalii Zanzibar


B79C4C1F-9036-41B5-B553-28700F2E54E1.jpeg

The Zanzibar domino tower
 
Nadhani siku ikitokea hivyo wazanzibari watafrai sana maana wanahisi hawafaidiki na lolote na huu Muungano wa kulazimishana, wanahisi huu Muungano umesimamishwa na kuwepo kwa nguvu za dola, sasa wakijiunga na Dubai alau watajikwamua kiuchumi
Tangu lini ukawa koloni la mtu mweusi hasa mwenye akili kama za CCM na ukafanikiwa?

Kwa CCM hii, hata ukionekana una mawazo ya kuwavusha kama taifa wao watakuua au kukubambikia mambo ya uongo ili ushindwe au ukimbilie huko.

Walianza kumfukuza Oscar Kambona miaka hiyo. Wakaua biashara zote za watu waliokuwa wamefanikiwa, wakawaita wahujumu uchumi. Wakaua siasa na mawazo mbadala, waliojaribu kulalamika wakapotezwa au kubambikiwa makesi ya kuwa siyo raia. Ukianza kusimulia hufiki mwisho.
 
Naona Zanzibar ‘wanajiunga’ na Dubai hatimae


Update: 25/08/2021
Naona Dubai wameanza kuichukua taratibu, kampuni ya xCassia toka Dubai inatarajia kuanza ujenzi wa jengo refu zaidi la pilili kwa Afrika ili kukuza utalii Zanzibar


View attachment 1907997
The Zanzibar domino tower
Hujapenda au umependa hilo?
 
Zanzibar wakijiunga na U.A.E bara tutafaidika sana, uwekezaji mkubwa utakaofanywa zenji utatunufaisha bara hasa kibiashara kutokana na close proximity. Kigamboni nayo itadevelop rapidly!

===============

Update: 25/08/2021

Naona Dubai wamefuata ushauri, wameanza ‘kuichukua’ taratibu, kampuni ya xCassia toka Dubai inatarajia kuanza ujenzi wa jengo refu zaidi la pilili kwa Afrika ili kukuza utalii


View attachment 1908001
The Zanzibar Domino tower
Njaa kitu kibaya. Hawa watumwa wa kujitakia. Wangejua waarabu wanavyodharau waswahili wala wasingepoteza muda. Je JMT itawaruhusu kufanya uhaini huu?
 
Itawaruhusu kwasababu ile ni nchi kamili.
Ilikuwa nchi kamili kabla ya muungano. Kuna haja ya kuacha kujidanganya na kujiridhisha. Ingekuwa nchi kamili isingepewa mgao wa bajeti yake badala ya kujiamulia itumie na kuweka kiasi gani. Zanzibar haina ubavu ndani ya Muungano kama nchi. Rejea baada ya Nyerere kuondoka na kutaka urais uwe wa zamu. Baada ya Mkapa si aliingia Kikwete na kufuatiwa na Magufuli? Na kama siyo kifo cha Magufuli huenda hata rais ajae angetoka Bara na bado Znz ikanywea na mwenyekiti wake wa BMZ ambaye hana seniority astahikiyo bara.
 
Muungano wetu unadumaza maendeleo kwa pande zote mbili.
Serikali ya Tanganyika irudi haraka ili sasa tuamue aina ya Muungano kama ni lazima uwepo au tutosheke na ushirikiano kama nchi jirani.
Kila nchi idemke kivyake
 
Huu muungano ni bure kabisa Tanganyika tunaihudumia zanzibar wakati bara changamoto ni nyingi
 
Tanganyika hatufaidiki na zanzibar..waende tu!! na kwetu watoke wote dadek...
 
Wajiunge tu ila na huo ndio uwe mwisho wa muungano, lakini huo uwekezaji wao sisi watanganyika autotufaidisha na lolote zaidi ya kulipuliwa na mabomu maana sasa watakuwa na wafadhili wa kutosha
Shida iko pale Loliondo na Ngorongoro, shida ipo pale tu
 
Zanzibar hawana lolote la kuitisha tz. kwani wanajivunia nini? utalii?

1. kwasababu ya kumwagia watu tindikali na kulipua mabom makanisa, utalii unazidi kuporomoka na mahotel yanafungwa

2. hata wakiweka bandari ya bure (free port), watakuwa wanapeleka mizigo wapi? they are an island, na sisi tz tunajenga bandari ya bagamoyo na ile ya mtwara kwahiyo bandari ya zanzibar itakuwa useless. so, kenya inaweza kuwa competitor mkubwa wa tz kuliko zenji, na tz hatutapata hasara sana kama zenji itatutosa.

muungano ni wa muhimu kuendelea nao kwasababu tumeshaishi nao na kutengana ni kitu kibaya, lakini kama tukishindwana kabisa, kila mtu achukue hamsini zake, wao watapoteza zaidi kuliko sisi.

hata wakijiunga na saudi arabia au UAE, sisi hatuna hasara, zaidi sana inaweza kuwa faida kwetu.

hata hivyo, ni rahisi zaidi zanzibar kujiunga na mababu zao WAOMAN kuliko DUBAI.
Hao Oman ndio wanapewa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo sasa kama hujui
 
Zanzibar wakijiunga na U.A.E bara tutafaidika sana, uwekezaji mkubwa utakaofanywa zenji utatunufaisha bara hasa kibiashara kutokana na close proximity. Kigamboni nayo itadevelop rapidly!

===============

Update: 25/08/2021

Naona Dubai wamefuata ushauri, wameanza ‘kuichukua’ taratibu, kampuni ya xCassia toka Dubai inatarajia kuanza ujenzi wa jengo refu zaidi la pilili kwa Afrika ili kukuza utalii


View attachment 1908001
The Zanzibar Domino tower
Roho zitawauma sana, Zanzibar itaendelea kuwa kaka zenu wakubwa, daima.
 
Watakuwa wanaendeleza utamu wa parasitic relationship waliouzoea katika muungno. Wamekuwa wanapewa ajira za chee, umeme tunawalipia, wabunge wao tunawalipa stahili zote hadi za kamati, wajumbe wa katiba tunawalipia 300,000 na wao wanajiongezea 120,000/=, tunawazawadia ardhi ingawa tuko tayari kujitoa EAC kwa kukatalia ardhi hiyo hiyo, tunaikataa Tanganyika yetu sisi wenyewe n.k. Bila shaka wakijiunga U.A.E watapata mengi katika kulinda muungano wao.
Wewe ndiyo wale mnaogawanywa mtawaliwe unachekelea. Zanzibar ndiyo lilikuwa taifa lako kabla ya kuja mzungu na kukugawa. Punguani wahed.

Hata Nyerere aliyetawala miaka 23 tu kwake analipiwa kila kitu, itakuwa waliokutawala miaka na miaka ya mamia kama si maelfu? Ilitakiwa hata usiliseme hilo.
 
Back
Top Bottom