Simple, wajitoe kwenye muungano kama kwa wazanzibari OIC ni muhimu kuliko muungano na kuna maslahi zaidi bora waende...Zanzibar asilimia 99 ni Waislamu, na wanapenda kuwa wanachama wa OIC. Sasa kwanini Tanganyika iwazuie.
..Mimi ni Mtanganyika na sioni shida kama Tanzania ikijiunga na OIC ili kutimiza ndoto ya ndugu zetu wa Zanzibar.
Huyo Paschal Mayalla ndio mmoja wa watakaokuwa wazee wa hovyo wa CCM, hawataki kusema kweli CCM inapokosea. Hawezi kutamka katiba ina mapungufu na huu ndio wakati sahihi wa kuandika katiba mpya kwa ustawi wa Tanzania.paschal mayalla atakwambia inamanufaa lakini hawezi kukueleza kinagaubaga ni jinsi gani watanufaika zaidi kuliko ilivyo Sasa. Binafsi ninaona ni upuuzi mwingine miongoni mwa choko choko nyingi walizonazo wazanzibar pindi Rais wa JMT anapokuwa muisilamu.
Atakuwa pro CCM huko ndiko kuna majuha wa aiba hiiHata hajui kuwa Kuwa mwarabu ni swala la "race" ... yaan sijui anahisi kuwa africa kigezo uwe mweusi .. huyu kweli hata geography ya primary schools alisona kweli..
Sitashangaa akiwaweka Iran kundi la waraabu au Turkey akiwaweka Mashariki ya kati
Simple, wajitoe kwenye muungano kama kwa wazanzibari OIC ni muhimu kuliko muungano na kuna maslahi zaidi bora waende.
Kwa nini tusigine katiba? Nimekuuliza nini dhamira ya OIC na jamhuri ya muungano ya Tanzania inafit hapo? Na inayojiunga ni nchi au hata kakikuni tu? kama ni nchi haiwezekani , tatizo umejaa hisia badala ya uhalisia. Kutimiza ndoto kwa kuvunja katiba?
Na kwa nini Tanzania kama nchi ambayo haifuati misingi ya dini yeyote ijiunge na jumuia ya kidini?..Zanzibar haiwezi kujiunga peke yake, tukijiunga kama Tanzania hatutakuwa tumevunja katiba.