Zanzibar kujiunga OIC ni lazima, si la Mzee wa CHADEMA tu. Dr. Salmin Amour alipokuwa Rais alishalipitisha na kugonga Mhuri. Muda utaongea

Zanzibar kujiunga OIC ni lazima, si la Mzee wa CHADEMA tu. Dr. Salmin Amour alipokuwa Rais alishalipitisha na kugonga Mhuri. Muda utaongea

..Zanzibar asilimia 99 ni Waislamu, na wanapenda kuwa wanachama wa OIC. Sasa kwanini Tanganyika iwazuie.

..Mimi ni Mtanganyika na sioni shida kama Tanzania ikijiunga na OIC ili kutimiza ndoto ya ndugu zetu wa Zanzibar.
Simple, wajitoe kwenye muungano kama kwa wazanzibari OIC ni muhimu kuliko muungano na kuna maslahi zaidi bora waende.

Kwa nini tusigine katiba? Nimekuuliza nini dhamira ya OIC na jamhuri ya muungano ya Tanzania inafit hapo? Na inayojiunga ni nchi au hata kakikuni tu? kama ni nchi haiwezekani , tatizo umejaa hisia badala ya uhalisia. Kutimiza ndoto kwa kuvunja katiba?
 
paschal mayalla atakwambia inamanufaa lakini hawezi kukueleza kinagaubaga ni jinsi gani watanufaika zaidi kuliko ilivyo Sasa. Binafsi ninaona ni upuuzi mwingine miongoni mwa choko choko nyingi walizonazo wazanzibar pindi Rais wa JMT anapokuwa muisilamu.
Huyo Paschal Mayalla ndio mmoja wa watakaokuwa wazee wa hovyo wa CCM, hawataki kusema kweli CCM inapokosea. Hawezi kutamka katiba ina mapungufu na huu ndio wakati sahihi wa kuandika katiba mpya kwa ustawi wa Tanzania.

Kama akina Wassira mzee wa hovyo, akina Makamba watatetea na kuipamba CCM na kuwakosoa wapinzani
 
Hata hajui kuwa Kuwa mwarabu ni swala la "race" ... yaan sijui anahisi kuwa africa kigezo uwe mweusi .. huyu kweli hata geography ya primary schools alisona kweli..

Sitashangaa akiwaweka Iran kundi la waraabu au Turkey akiwaweka Mashariki ya kati
Atakuwa pro CCM huko ndiko kuna majuha wa aiba hii
 
Simple, wajitoe kwenye muungano kama kwa wazanzibari OIC ni muhimu kuliko muungano na kuna maslahi zaidi bora waende.

Kwa nini tusigine katiba? Nimekuuliza nini dhamira ya OIC na jamhuri ya muungano ya Tanzania inafit hapo? Na inayojiunga ni nchi au hata kakikuni tu? kama ni nchi haiwezekani , tatizo umejaa hisia badala ya uhalisia. Kutimiza ndoto kwa kuvunja katiba?

..Zanzibar haiwezi kujiunga peke yake, tukijiunga kama Tanzania hatutakuwa tumevunja katiba.
 
..Zanzibar haiwezi kujiunga peke yake, tukijiunga kama Tanzania hatutakuwa tumevunja katiba.
Na kwa nini Tanzania kama nchi ambayo haifuati misingi ya dini yeyote ijiunge na jumuia ya kidini?
 
Back
Top Bottom