John Haramba
JF-Expert Member
- Feb 4, 2022
- 365
- 1,374
“Serikali tunataka kubadilisha taratibu za usafiri ndani ya Mji wa Unguja, tunataka kuleta mabasi ya kisasa yanayotumia gesi au umeme ili kupunguza kuchafua hewa.
“Tunataka kuendelea ili tusiwe tunapakiwa kama mizigo, duniani kote mambo yamebadilika hasa katika miji mikubwa, wanaleta mabasi ya kisasa.
"Abiriwa wanatwakiwa kuingia bila ya fujo wala vurugu, lakini kwa sasa wenye biashara ya mabasi wasiwe na wasiwasi kwa kuwa tutayaondoa mjini tu mabasi yao yaliyopo lakini bado yataendelea kufanya kazi maeneo mengine, mji huu ni mkubwa, kuna maeneo mengi
"Mjini lazima magari yawe ya kisasa, anapokuja mtu baada ya miaka mitatu hadi mitano aone kuna mabadiliko Zanzibar,” Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na wanahabari leo Februari 28, 2022.
“Tunataka kuendelea ili tusiwe tunapakiwa kama mizigo, duniani kote mambo yamebadilika hasa katika miji mikubwa, wanaleta mabasi ya kisasa.
"Abiriwa wanatwakiwa kuingia bila ya fujo wala vurugu, lakini kwa sasa wenye biashara ya mabasi wasiwe na wasiwasi kwa kuwa tutayaondoa mjini tu mabasi yao yaliyopo lakini bado yataendelea kufanya kazi maeneo mengine, mji huu ni mkubwa, kuna maeneo mengi
"Mjini lazima magari yawe ya kisasa, anapokuja mtu baada ya miaka mitatu hadi mitano aone kuna mabadiliko Zanzibar,” Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na wanahabari leo Februari 28, 2022.