Nakumbuka aliwaudhi sana wabunge wa Zenji ati anasema majimbo yao ni madogo sana ukisimama ukapiga filimbi Wananchi wote wanakusikia. Wakaungana wabunge wa vyama vyote kumletea noma na wakamwambia ukikanyaga Zanzibar lazima utage.Ally Kessy aliposemaga bungeni Zanzibar ni ndogo unaweza zunguka kwa baiskeli na ukipiga filimbi watu wote wanasikia. Kumbe alikuwaga muongo mzee Kessy.
Siasa hizi, sijui yupo wapi Ally Kessy mbunge wa Nkasi huko Sumbawanga.
Tatizo hatupendi kuambiwa ukweliNakumbuka aliwaudhi sana wabunge wa Zenji ati anasema majimbo yao ni madogo sana ukisimama ukapiga filimbi Wananchi wote wanakusikia. Wakaungana wabunge wa vyama vyote kumletea noma na wakamwambia ukikanyaga Zanzibar lazima utage.
Ni habari njema. Tunasubiri kwa hamu.“Serikali tunataka kubadilisha taratibu za usafiri ndani ya Mji wa Unguja, tunataka kuleta mabasi ya kisasa yanayotumia gesi au umeme ili kupunguza kuchafua hewa.
“Tunataka kuendelea ili tusiwe tunapakiwa kama mizigo, duniani kote mambo yamebadilika hasa katika miji mikubwa, wanaleta mabasi ya kisasa.
"Abiriwa wanatwakiwa kuingia bila ya fujo wala vurugu, lakini kwa sasa wenye biashara ya mabasi wasiwe na wasiwasi kwa kuwa tutayaondoa mjini tu mabasi yao yaliyopo lakini bado yataendelea kufanya kazi maeneo mengine, mji huu ni mkubwa, kuna maeneo mengi
"Mjini lazima magari yawe ya kisasa, anapokuja mtu baada ya miaka mitatu hadi mitano aone kuna mabadiliko Zanzibar,” Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na wanahabari leo Februari 28, 2022.
Kwani kuna tatizo gani?Pesa itatoka bara kama kawa
Kenya wanayo mabasi yanayotumia umeme pamoja na vituo vya kuchaji.“Serikali tunataka kubadilisha taratibu za usafiri ndani ya Mji wa Unguja, tunataka kuleta mabasi ya kisasa yanayotumia gesi au umeme ili kupunguza kuchafua hewa.
“Tunataka kuendelea ili tusiwe tunapakiwa kama mizigo, duniani kote mambo yamebadilika hasa katika miji mikubwa, wanaleta mabasi ya kisasa.
"Abiriwa wanatwakiwa kuingia bila ya fujo wala vurugu, lakini kwa sasa wenye biashara ya mabasi wasiwe na wasiwasi kwa kuwa tutayaondoa mjini tu mabasi yao yaliyopo lakini bado yataendelea kufanya kazi maeneo mengine, mji huu ni mkubwa, kuna maeneo mengi
"Mjini lazima magari yawe ya kisasa, anapokuja mtu baada ya miaka mitatu hadi mitano aone kuna mabadiliko Zanzibar,” Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na wanahabari leo Februari 28, 2022.
Alafu umeme wanategemea TanganyikaUmeme wenyewe wa mgao, abiria watajikuta safari ya dakika 10 wanatumia masaa 6.
Zanzibar ni nchi ndani ya Jamhuri ya Muunguno wa TanzaniaZanzibar wako mbele sana kimaendeleo
cc: FIFA
Ndiyo maana hamtaki muungano uvunjike maana mnanufaika snKwani kuna tatizo gani?
Hiyo ndicho dr. Mwinyi ameona kuwa kuna tatizo, na wewe mara mwisho kuja Unguja ni lini?.Uko Zanzibar hizo Daladala tu zinafanya kazi Kwa zamu, Unakuta Gali inaingia barabarani Mara 2 au 3 kwa wiki.
Kuna ukweli fulani kwa Zanzibar wala hakuwa nahitaji lile baraza la mawaziri sijui na makamu wawili wa Rais nafasi za kula kisiasa tu. Nchi Rais tu anatosha na makatibu wa kuu basi pesa zingeenda kwenye maendeleo lakini wamejazana serikalini nchi yenyewe na bodaboda tu mchana umeimaliza. Najuwa wa zzzzzzzzzzz watakuja na matusi humu ila ndio ukweli huku Diwani kwao ndio Mbunge utakuta mbunge wa mtaa tu huku mwenyekiti wa nyumba kumi.Ally Kessy aliposemaga bungeni Zanzibar ni ndogo unaweza zunguka kwa baiskeli na ukipiga filimbi watu wote wanasikia. Kumbe alikuwaga muongo mzee Kessy.
Siasa hizi, sijui yupo wapi Ally Kessy mbunge wa Nkasi huko Sumbawanga.
Kwani hata wanautakaebu tuwaalize wa Zenji, muungano unalipa au auwalipi??
Huyu jamaa toka siku ya kwanza aliyotangazwa kuwa rais anapiga mdomo tu ukimuuliza nini umewajengea zanzibar atakwamba tumewaunganisha wazanzibari., hana jipya - muda utafika wazanzibar wataelewa siasa zake na watafanya maamuzi magumu“Serikali tunataka kubadilisha taratibu za usafiri ndani ya Mji wa Unguja, tunataka kuleta mabasi ya kisasa yanayotumia gesi au umeme ili kupunguza kuchafua hewa.
“Tunataka kuendelea ili tusiwe tunapakiwa kama mizigo, duniani kote mambo yamebadilika hasa katika miji mikubwa, wanaleta mabasi ya kisasa.
"Abiriwa wanatwakiwa kuingia bila ya fujo wala vurugu, lakini kwa sasa wenye biashara ya mabasi wasiwe na wasiwasi kwa kuwa tutayaondoa mjini tu mabasi yao yaliyopo lakini bado yataendelea kufanya kazi maeneo mengine, mji huu ni mkubwa, kuna maeneo mengi
"Mjini lazima magari yawe ya kisasa, anapokuja mtu baada ya miaka mitatu hadi mitano aone kuna mabadiliko Zanzibar,” Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na wanahabari leo Februari 28, 2022.
Hapa kuna uhusiano gani na muungano?Ndiyo maana hamtaki muungano uvunjike maana mnanufaika sn
WASWAHILI WALIVYO NA ROHO ZA KUTUUUUU!! HEEE!!...... WATAWAKATIA UMEME MAKSUDI TUU!!..... HATA KM AKIFUKUZWA KAZI NI SAWA TU ILI MARADI AHARIBU!!....Umewahi kuishi Zanzibar mkuu? Mgao wa umeme huaga upo huku bara, sio kule. Remember sisi ndio tunawapa