Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulianza kwa kusema nikupe evidence. Nimekupa evidence kwamba meli hio imetoa mizigo Zanzibar.LOL Mbona hutaki kuelezea hiyo video uliodai ya transhipment from Zanzibar? Kwanza Zanzibar ina mzigo gani wa kubabaisha?
Yaani toka lamu imekua ndio meli ya 3?🤣🤣🤣🤣
White elephant is real
Mtwara meli zinapishana kama rally
Mtwara bandari ambayo imekuwa ikifanya kazi kwa zaidi ya miaka kumi ndio unataka kulinganisha na Lamu ambayo hata haijafanya kazi kwa miezi miwili? Desperation is real.LOL Mbona hutaki kuelezea hiyo video uliodai ya transhipment from Zanzibar? Kwanza Zanzibar ina mzigo gani wa kubabaisha?
Yaani toka lamu imekua ndio meli ya 3?🤣🤣🤣🤣
White elephant is real
Mtwara meli zinapishana kama rally
Shukuruni magu kafariki tumebaki na wapumbaavu la sivyo msinge tuweza kwa namna yoyoteKuna Mbongo fulani Mr Wivu alikuwa anasema kwamba Tanzania kamwe haiwezi kutumia Lamu port kama transhipment hub. Nadhani mnamjua huyo mtu. Jina lake linaanza na herufi G na linaishia na herufi e. Sasa amebaki kimya baada ya kuona Tanzania ndio nchi ya kwanza kuwa customer ya Lamu port transhipment business.
he's dead, his legacy is garbage at best, oh! MATAGA died with him too.Shukuruni magu kafariki tumebaki na wapumbaavu la sivyo msinge tuweza kwa namna yoyoteView attachment 1857554
Ikwapi hiyo evidence kwa hiyo meli meli imetoka Zanzibar?Ulianza kwa kusema nikupe evidence. Nimekupa evidence kwamba meli hio imetoa mizigo Zanzibar.
Lamu inajengwa huu ni mwaka wa 15 and still is a white elephantMtwara bandari ambayo imekuwa ikifanya kazi kwa zaidi ya miaka kumi ndio unataka kulinganisha na Lamu ambayo hata haijafanya kazi kwa miezi miwili? Desperation is real.
MV spirit of Dubai imewasili leo Lamu port kutokea Russia kuchukua transhipment cargo iliotokea Zanzibar ili kuipeleka Saudi Arabia. Mr Wivu, Naton Jr toa maoni yakoLamu inajengwa huu ni mwaka wa 15 and still is a white elephant
Traditional dance welcoming the ship MV spirit of Dubai
MV spirit of Dubai imewasili leo Lamu port kutokea Russia kuchukua transhipment cargo iliotokea Zanzibar ili kuipeleka Saudi Arabia. Mr Wivu, Naton Jr toa maoni yako
Cc Geza Ulole
Wacha ujinga. Kama hujui kitu nyamaza. Neno transhipment kwani unadhani lazima mtu awe na PhD ili alifahamu?Hii ngalawa ndio neo panamax? 🤣🤣🤣🤣
Unajua maana ya transhipment wewe?
Jibu swali!Wacha ujinga. Kama hujui kitu nyamaza. Neno transhipment kwani unadhani lazima mtu awe na PhD ili alifahamu?
Ndio hio nimejibu swali. Cargo imetokea Zanzibar hadi Lamu. Kisha meli ya pili ikaja kuichukua na kuipeleka Saudi Arabia.Jibu swali!