Zanzibar kuwa ya kwanza kutumia bandari ya Lamu kupokeza/transhipment mizigo ya kwenda Ughaibuni

Zanzibar kuwa ya kwanza kutumia bandari ya Lamu kupokeza/transhipment mizigo ya kwenda Ughaibuni


LOL Mbona hutaki kuelezea hiyo video uliodai ya transhipment from Zanzibar? Kwanza Zanzibar ina mzigo gani wa kubabaisha?

Yaani toka lamu imekua ndio meli ya 3?🤣🤣🤣🤣

White elephant is real
Mtwara meli zinapishana kama rally
 
LOL Mbona hutaki kuelezea hiyo video uliodai ya transhipment from Zanzibar? Kwanza Zanzibar ina mzigo gani wa kubabaisha?

Yaani toka lamu imekua ndio meli ya 3?🤣🤣🤣🤣

White elephant is real
Mtwara meli zinapishana kama rally
Ulianza kwa kusema nikupe evidence. Nimekupa evidence kwamba meli hio imetoa mizigo Zanzibar.
 
LOL Mbona hutaki kuelezea hiyo video uliodai ya transhipment from Zanzibar? Kwanza Zanzibar ina mzigo gani wa kubabaisha?

Yaani toka lamu imekua ndio meli ya 3?🤣🤣🤣🤣

White elephant is real
Mtwara meli zinapishana kama rally
Mtwara bandari ambayo imekuwa ikifanya kazi kwa zaidi ya miaka kumi ndio unataka kulinganisha na Lamu ambayo hata haijafanya kazi kwa miezi miwili? Desperation is real.
 
Kuna Mbongo fulani Mr Wivu alikuwa anasema kwamba Tanzania kamwe haiwezi kutumia Lamu port kama transhipment hub. Nadhani mnamjua huyo mtu. Jina lake linaanza na herufi G na linaishia na herufi e. Sasa amebaki kimya baada ya kuona Tanzania ndio nchi ya kwanza kuwa customer ya Lamu port transhipment business.
Shukuruni magu kafariki tumebaki na wapumbaavu la sivyo msinge tuweza kwa namna yoyote
 
Mtwara bandari ambayo imekuwa ikifanya kazi kwa zaidi ya miaka kumi ndio unataka kulinganisha na Lamu ambayo hata haijafanya kazi kwa miezi miwili? Desperation is real.
Lamu inajengwa huu ni mwaka wa 15 and still is a white elephant
 
Traditional dance welcoming the ship MV spirit of Dubai
 
MV spirit of Dubai imewasili leo Lamu port kutokea Russia kuchukua transhipment cargo iliotokea Zanzibar ili kuipeleka Saudi Arabia. Mr Wivu, Naton Jr toa maoni yako





Cc Geza Ulole

Hii ngalawa ndio neo panamax? 🤣🤣🤣🤣

Unajua maana ya transhipment wewe?
 
Hii ngalawa ndio neo panamax? 🤣🤣🤣🤣

Unajua maana ya transhipment wewe?
Wacha ujinga. Kama hujui kitu nyamaza. Neno transhipment kwani unadhani lazima mtu awe na PhD ili alifahamu?
 
Back
Top Bottom