Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waliomuua Mawazo walikuwa "Watu wasiojulikana" lakini linapokuja suala la maskani (Siyo ofisi, hivi ni vijiwe vya kupiga soga kusubiri kupewa chambi chambi na wanaowageuza Mazombie) kuchomwa moto inakuwa ni lazima wawe ni wapinzani wa CCM, kwa nini?sasa mkuu kwanini wachome ofisi za ccm
yeyote anayekaidi sheria au kuhatarisha amani na apigwe tu
Acha kudanganya, uko nyuma yao kivipi, sema uko nyuma ya keyboard.Safi sana Wazanzibar kwa kuakikisha nchi yenu amuirudishi kwa waarabu tena. Mapambano yaendelee wazalendo tupo nyuma yenu.
diplomasia inaposhindwa nini kinafuata kama si vita na machafuko?
WACHA GAME IENDELEE
Kupotezwa ni jambo la kusifiwa kweli na watu wenye akili timamu?... Leta fyokofyoko upotee.
Bila ya kumtaja Lowassa huwa haishuki?Tutulie, tujenge nchi.... Katulizwa Lowasa na katulia.
Waendelee kuleta fyokofyoko watakiona
diplomasia inaposhindwa nini kinafuata kama si vita na machafuko?
WACHA GAME IENDELEE
sasa mkuu kwanini wachome ofisi za ccm
Tz ndo itakuwa ya kwanzaWewe hakuna nchi jeshi lake lishawai kushinda wananchi walioamua