Tetesi: Zanzibar Kwachafuka,..

Tetesi: Zanzibar Kwachafuka,..

Kwani unguja sio zanzibar au?
Hakuna cha haki wala uzanzibari hapo Bali upemba na uoman tu,
Waambie hayo wale wasioelewa kiini, pia wewe tangu lini UKAWA ikawa zanzibar na sio monduli?
Kwa vile tanganyika yenu mlikubali itolewe roho mbichi tena mchana kweupe kwa amri ya mtu mmoja usidhani na zanzibar itakubali mauaji hayo,zanzibar itabaki kuwa zanzibar ukipenda usipende,dhambi ya kiuwa tanganyika yenu itendelea kuwatafuna milele watanganyika.
 
Kwa vile tanganyika yenu mlikubali itolewe roho mbichi tena mchana kweupe kwa amri ya mtu mmoja usidhani na zanzibar itakubali mauaji hayo,zanzibar itabaki kuwa zanzibar ukipenda usipende,dhambi ya kiuwa tanganyika yenu itendelea kuwatafuna milele watanganyika.

Mpewe kisiwa chenu mbaguane
maana hamnafaida yoyote na Tanganyika
kwanza ni mzigo tu
 
"Abeid aman karume aliingia choo cha kike katika kuingia ubia"
luba amewashika hawafurukuti, wakubaliane tu na matokea! inshaallah.
 
Hahaha unafurahisha vichaa wenzie
mimi sitafuti kick kama mlivyo nyie majuha
mnapongezana humu jf mnajiona vidume kumbe kundi la vibogoyo

Lolote la hovyo mkipost humu lazima tuwakemee kunguni nyie
Ukimuona poyoyo kama wewe anapongezwa na poyoyo mwenzie
ujue Mna laana na ningumu kupona
Unatafuta kick na huna kazi masikini Mkubwa wewe unayenuka Lana...
 
Wa Zanzibar Mbaya wetu ni CCM
Sio JWTZ wala Vikosi vya SMZ,hawa wanatumwa tu.
Sisi tuta Deal na adui yetu Kimya Kimya.
Mengi Mazuri yatawaijia.
Kuweni na Subira tu
 
Hahaha polesana
sina haja ya kupigishana kelele na kichaa
anae kalili na kuotea upumbavu
Kuotea nini kwani wewe si fukara? Au ushasahau tulivyojitolea ulipofyekwa mapanga?

Laana sana wewe
 
Kuotea nini kwani wewe si fukara? Au ushasahau tulivyojitolea ulipofyekwa mapanga?

Laana sana wewe
Mlijitolea!!!?
Kweli wewe kichaa
Na akiliyako ndogo
unamjua fukara
fukara anavamiwa usiku
fukara anamiliki Nyumba Dar
Fukara Mpaka sasa sipo Tanzania kweli huyo fukara

Ndio maana nakuita kichaa
unajaribu kuotea
Pole sana
 
CCM ndio chanzo cha yote yanayotokea kule ZANZIBAR ,...
Point of correction: CCM ya wakata maji Zanzibar ndio chanzo yanayotokea.

Inaniuma sana kusikia watumbatu wakigombana na kutiliana moto maskani au nyumba zao.

Watumbatu ndio chimbuko la wazanibari kabala hatakuhamia kisiwa kikuu Unguja. Malikia wa mwanzo aliokuwa mtawala wa Zanzibar, Mwana wa mwana ni mtumbatu. mzanzibari wa kweli kindakindaki hawezi kujivuna kama hakukusa au kuchanganya na mtumbatu.

Watumbatu ni watu walioshikamana sana na ni mabaharia asili.
Kisiwa cha Tumbatu ni kitakatifu na hata ukakitembelea basi kwanza utie tohara kabla hujaingia kisiwa hicho. Wanawake wakiwa kwenye siku zao hawaingii Tumbatu.

Mtumbatu popote alipo lazima akakoge mwaka Tumbatu.
Leo inasikitisha watu kugombanishwa na watu ambao hawana asili ya Zanzibar kabisa. Ama kweli akheri zamani imefika
 
Siro anawaonya wanasiasa Dar....ati hajui nani anasababisha kuvurugika amani. amani kwao ni ccm kutawala kwa mabavu.
 
RAIS MAGUFULI NA UTAWALA WAKE UNACHAFUKA BURE BURE SASA, KIMATAIFA.
HILI LITAPELEKEA KUFUTA MAZURI YAKE YOTE MDA SI MREFU.
 
Wewe ndo ujiulize nguvu unayotumia kuandika utumbo na Ku quote watu hovyo hovyo kila thread inakusaidia nini fukara wewe
Kizazi cha kupotea Tanzania
Mlitaka kuiharibu nchi kwa upumbavu wenu
kupotosha
ilibidi kuwe na Id itakayo kwenda sambamba kuzuia Taifa kwenda kwa Vichaa

Tuta quote upumbavu wowote jf
 
Hao watoto wa kiume watarudi tanganyika kwenye masanduku,mark my words.
Unakumbuka mwaka 95 tulivyowadumbuza habarini wengine wapo kenya mpaka leo hawajarudi sasa ile cha mtoto mwaka huu itakuwa zaidi ya hapo ingizeni mguu muone jpm ni zaidi ya mkapa.
 
Back
Top Bottom