Tetesi: Zanzibar Kwachafuka,..

Tetesi: Zanzibar Kwachafuka,..

Kwani hamuwezi kuandika sentensi bila ya kuinyongorota? "Hao wahuni"... halafu "mtaisoma namba" mbona inaleta mikingamo hadi sentensi inakosa muwala?
Hatuandiki mashairi hapa wala nyimbo za kwaya kwamba tunatafuta vina.
 
Maskan za ccm za chomwa moto kisiwa kidogo cha TUMBATU.




Chanzo: Muhusika aliyepo Zanzibar.
kina gogo la shamba tulishayasema hayo ubaya wa ccm na viongozi wa serikali hii badala ya kufanyia kazi mawazo yanayotolewa na wananchi wao wanawaandama wanaotoa mawazo,hapo utasikia wanafungia magazeti yanayohabarisha hizo habari badala ya kuangalia tatizo
 
Unakumbuka mwaka 95 tulivyowadumbuza habarini wengine wapo kenya mpaka leo hawajarudi sasa ile cha mtoto mwaka huu itakuwa zaidi ya hapo ingizeni mguu muone jpm ni zaidi ya mkapa.
Dahhh!hivi vitisho unadhani wazanzibar watarudi nyuma?safari hii kikinuka zanzibar na tanganyika haitobaki salama,mark my words.
 
Mh Mizengo Pinda uje huku kuyarudia yale maneno yako
 
Unakumbuka mwaka 95 tulivyowadumbuza habarini wengine wapo kenya mpaka leo hawajarudi sasa ile cha mtoto mwaka huu itakuwa zaidi ya hapo ingizeni mguu muone jpm ni zaidi ya mkapa.
Tuilinde amani sio kuleta maneno ya kufarakanisha
 
Hebu nyie jamaa zangu acheni kumtajataja Lowassa,hatuko kwenye kipindi cha kampeni.
 
acheni ujinga wenu kwani ccm si ndio wanaofanya ubabe zanzibar wangeacha cuf si ndio mshindi au nyani haoni kundule mnakuja na propaganda zenu acha nao waisome no.
 
Back
Top Bottom