Simiyu Yetu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 18,949
- 4,639
Hatuandiki mashairi hapa wala nyimbo za kwaya kwamba tunatafuta vina.Kwani hamuwezi kuandika sentensi bila ya kuinyongorota? "Hao wahuni"... halafu "mtaisoma namba" mbona inaleta mikingamo hadi sentensi inakosa muwala?