Zanzibar: Makamu wa Kwanza wa Rais, Maalim Seif Sharif Hamad, Mkewe Bi Awena waambukizwa virusi vya Corona

Wacha kumsingizia Mungu kwenye mambo yenu ya kipuuzi ya siasa.
Mkuu, unanionea. Mimi sio muasisi wa uamini huo unaonikaripia juu yake, labda kosa langu ni kutoyaweka maneno hayo katika 'quotation marks' ili yaonekane kuwa siyo yangu.
Wiki hii tu nimezika watu wangu wa karibu wanne na wengine wa mbali 6 kwa Corona. Endeleeni kutania. Makaburi bado hayajajaa . Puuzeni huu ugonjwa, ubadilisheni majina.
OOooh, POLE SANA mkuu! Hali ni mbaya kiasi hicho, huku tukiambiwa tupo salama?
Toeni vitisho Leteni Jokes lkn Kifo ndio msema kweli.
Binafsi siyo sehemu ya hao unaowasema hapa, kwa sababu naelewa vizuri kabisa makosa wanayoyafanya hawa watu.

Naona maana ya bandiko langu imepotea katika kosa nililolitaja hapo juu! Niliuliza kwa maksudi mazima 'incubation period' ya gonjwa hilo na uhusiano wake na safari alizozifanya mgonjwa hivi karibuni - 'all that was lost in translation'!
 
January 30, 2021
Nimeguswa kuona mkutano huu wa kampuni tanzu ya Barrick hapa Tanzania watu asilimia kubwa yaani 95% wamevaa barakoa na kujiwekea nafasi baina ya mtu na mtu kipindi hiki cha Corona
Source : Mwananchi digital
 
umeongea ishu ya msingi sana hata mm huwa ninashangaa hata mambo ya kitaifa utasikia sante sana chama cha mapinduzi
 
Asalam alaykm warahmatullah wabarakatuh. Pole.sana mkuu
 
Ila hata ule waraka wa maaskofu katoliki nao ulisema corona ilipungua mwaka jana na walihusisha Mungu,nafikiri ndio maana hata kampeni zilifanyika bila tahadhari kwa imani ya kwamba corona ilipungua.
 
Je ni kwa nini wazee wote kuanzia miaka 65 wasipewe chanjo???
 
Mkuu wa nchi ana Ph.D ya Chemistry, atakuwa kashaipitia hiyo. Anajua mpaka boiling point ya Silver kichwani.

Kama hujaelewa, sema tu wewe hujaelewa. Usimsingizie mkuu.
Anaelewa mengi sana ya kisayansi huyo bwana. Hata kule kujifukizia kakuelezea kisayansi, kwamba mvuke ule una joto kali sana kiasi cha kumbabua virus yule akiyeko ndani ya 'cells' za binaadamu bila kuidhuru 'cell' husika!

Hakuishia hapo, akaamuru uhakiki wa vipimo vya COVI-19 ufanywe kwa kutumia mapapai, kondoo, mbuzi,n.k., na vikaonekana havifai kabisa kwa kuwa vitu hivyo vilionekana kuwa na corona.

Huo ukawa ndio ushahidi wa Tanzania kusitisha kupima na kutangaza idadi ya maambukizi ya ugonjwa huo, kabla ya kugundua kwamba maombi yetu kwa Mungu yalikuwa ndio kinga ya kipekee kabisa. Mungu wetu katuondolea kabisa corona, na hatukusita kuitangazia dunia juu ya matokeo ya maombi yetu hayo.

Uchunguzi wa dawa yetu ya Madagascar unaendelea? Pengine matokeo yake ndio sababu ya sisi kutohitaji hii chanjo hatari inayolenga kuwamaliza watu weusi, kwa sababu tu ya utajiri wetu tulionao nchini mwetu.

Mwanasayansi wetu huyu anajua mengi sana. Tumsikilize kwa makini.
 
Nadhani wamesahau kuwa huyo ni Makamu wa Kwanza wa Rais,

Hivi vyama bado ni vichanga mno vikishika dola tutashuhudia maajabu zaidi ya haya.
Kwani ugonjwa ni aibu !!. Wafuasi wa u dictator mnatupeleka wapi ?!

Odhis *
 
Unajua maana ya chama kushika hatamu au unabwabwaja tu ?
 
Dogo inakuwaje kumbe bado hupo?
 
Nadhani wamesahau kuwa huyo ni Makamu wa Kwanza wa Rais,

Hivi vyama bado ni vichanga mno vikishika dola tutashuhudia maajabu zaidi ya haya.
Stroke umechongoka mdomo sana siku hizi. Utadhani mzaramo
 
Hii CORONA naona inagonga nyavu za pembeni na kutoka nje, inabidi itumbie golini kabisa watu tuinuke, ebo!
Waziri wa mambo ya nje wa China si alinidunga chanjo kule nyumbani kwangu chatle?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…