Zanzibar: Makamu wa Kwanza wa Rais, Maalim Seif Sharif Hamad, Mkewe Bi Awena waambukizwa virusi vya Corona

Je ! Ni kweli hii taarifa ni feki au la ❓
Hata kama ni kweli ACT-WAZALENDO wamekosea kutangaza kuwa Maalim Seif anamepatikana na Corona; kwa sababu ni haki ya serikali kusema kuwa mhe.Maalim ana Corona kweli au la❗
Kimsingi ACT Wazalendo walipaswa kuvuta subira kwa kufahamu wa kutoa maelezo ni serikali katika kudumisha umoja wa kitaifa na si chama kama inavyonekana video katika mitandao ya jamii.

 
Is this where we at?

Mtu anaweza akafa mkasema hajafa huyo... , ni stunt tu ya kitu fulani ?
Easy bro, no harm meant. I didn't anticipate someone taking my comment that far.

President Mwinyi ni mtu mwenye kumheshimu sana President Magufuli. I expect him to pull off a stunt like that if he doesn't reiterate with Magu's current stand on the pandemic, in his quest to excuse Zenji from the said stand.
 
Mkiambiwa hamjafika umri wa kushika dola mnajaa mapovu.Maalimu Seif akubali tu arudi cuf hivi vyama vya wavuta bangi aachane navyo.Yaani chama kimejigeuza madaktari,
 
Nimekuelewa and will be a calculated clever and helpful tactic..., but with propaganda and controlling media and people unaweza kushangaa muhusika mwenyewe anakana kwamba huo ni uzushi I was Okay...
 
Anaelewa mengi sana ya kisayansi huyo bwana. Hata kule kujifukizia kakuelezea kisayansi, kwamba mvuke ule una joto kali sana kiasi cha kumbabua virus yule akiyeko ndani ya 'cells' za binaadamu bila kuidhuru 'cell' husika!......
I am not sure if you are being sarcastic or hagiographic.
 
Kipi Cha ajabu?
Mbona makamu wa pili Seifu Iddi aliwahi kujifungia.
 
Haya ndio madhara ya kuruhusu Wapinzani kuingia kwenye serikali, wanatoa siri za kambi!!!

Magufuli huko alipo atakuwa amenuna vibaya.
 
Nimekuelewa and will be a calculated clever and helpful tactic..., but with propaganda and controlling media and people unaweza kushangaa muhusika mwenyewe anakana kwamba huo ni uzushi I was Okay...
Zanzibar ni muhimu sana kwa utalii, binafsi ningependa irudi kwenye miongozo ya kisayansi hata kwa kuzuga tu ili kuwapa imani wateja wetu.

Hili jambo halina faida yoyote kulifanyia propaganda. But I trust President Mwinyi, he seems to be a visionary leader and Zanzibar will be ok
 
And Proffesionally ni Daktari sio Mganga wa Kienyeji......
 
Corono ipo haipo!?😷😷
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…