Zanzibar: Makamu wa Kwanza wa Rais, Maalim Seif Sharif Hamad, Mkewe Bi Awena waambukizwa virusi vya Corona

Zanzibar: Makamu wa Kwanza wa Rais, Maalim Seif Sharif Hamad, Mkewe Bi Awena waambukizwa virusi vya Corona

Watu wote waliokuwa karibu na Maalim Seif,wakamatwe na wawekwe karantini.

This is according to the rules of covid-19.
 
It can go beyond 6 days best.
Mwanzo watu walikaa self isolation kwa siku 14. Baada ya kufahamu incubation period ni 5-6 days, siku hizi self isolation ni siku saba.
 
Hili jambo la kujitangaza Jiwe litamkera atawanunia wiki nzima.
 
Kwa kuanika ugonjwa wa Seif Sharif Hamad mtaokoa wengi.Hongereni sana kwa hilo!!
 
Seif Sharif Hamad kapata corona. Huko ni Zanzibar.

Muungano wetu jambo la Afya si la muungano.

Hivyo corona itaishia hukohuko maana serikali ya muungano ilishasema corona haipo na afya si jsmno la muungano
 
Seif Sharif Hamad kapata corona. Huko ni Zanzibar.

Muungano wetu jambo la Afya si la muungano.

Hivyo corona itaishia hukohuko maana serikali ya muungano ilishasema corona haipo na afya si jsmno la muungano
Tutakufa kwa ujinga was CCM
 
Tembelea bandarini uone maboti yanavyo peleka watu sehemu zote za muungano halafu useme corona sio suala la muungano
 
Back
Top Bottom