Zanzibar msiposimama imara kuendelea kulinda mila na tamaduni zenu, heshima yenu duniani itashuka

Unawapinga wabusu jiwe wenzako

Unajiona wewe ndio unajua kubusu jiwe kuliko wao?
How can you deny Allah? You were lifeless and He gave you life, then He will cause you to die and again bring you to life, and then to Him you will ˹all˺ be returned??
 
Hakika umesema kweli kabisa,kinachowafanya wazungu kuja zanzibar siyo beaches pekee,ni pamoja na huu utamaduni wao ambao wameendelea kuudumisha miaka na miaka,sasa wasipo ulinda thamani ya zanzibar itaonekana vipi??
 
Wana roho mbaya sana wale wazanzibar wanajiona kama sio watanzania na wangeendelea na ujinga wao tungewapiga mawe pale kkoo
 
Hiyo midebwedo ina heshima gani duniani. Huo utamaduni wa waarabu waliouiga? Kweli we ni bwege.
 
Dini ni utamaduni unaokoleza ujinga kwa mtu mweusi

Dini ni ustarabu na upendo kwa wote kama aishivyo Mungu, huwapenda wema na wabaya, huwanyeshea mvua wema na wabaya! Huwapa chakula wanaomwamini na wasiomwamini

Huwapa mahitaji yao bila kubagua

Ujinga kwa anayejiita ni mfuasi wa Allah, anamwombea njaa na kila ubaya kwa aliyetofauti na imani yake

Atataka kulazimisha afunge kwa sababu tu yeye kafunga! Huu ndio upumbavu na ujinga kabisa!

Mungu angekuwa hivyo kama mfuasi wake huyu, si angeliwauwa tu ili wasimsumbue mfuasi wake huyo?

Lakini huwezi kuta anawakinahi wabaya na kuona hawastahili kuishi kwa sababu tu hawamtii! Bado atawapenda na kuwapenda!

Sasa wewe mwenzangu na mimi, ni roho mbaya, ulafi tu na ujinga umekujaa, usikute hata huyo Mungu anakuhesabia kuwa ni mpagani usiye na maana, Maana kama ungelimtii, ungekuwa na upendo mfano wake

Hayupo Mungu anayeruhusu waja wake wawe watesaji wa wengine!

Hukumu ni juu yake yeye Mwenyezi
 
Hawataki kugundulika kuwa wamezibuliwa mitaro
 
Nani kanyimwa uhuru wa kuabudu Zanzibar, ingekuwa ni hivyo umaarufu huu wa Zanzibar kama ni sehemu karim Kwa wageni ungekuwapo?

Hizo ni chuki tuh za makafiri nyinyi wa huku bara.
Dini isipokufanya uwe mtu Bora achana nayo
 
How can you deny Allah? You were lifeless and He gave you life, then He will cause you to die and again bring you to life, and then to Him you will ˹all˺ be returned??
Ata nzi hawezi kuumba, yeye amebakia kujisifu kwamba yeye ni mbora wa waumbaji , Yani kapita waumbaje wengine

Koran 37:125
: Do you call upon Ba'l and leave the best of creators -
 
Tamaduni za Zanzibar ndio zipo hizo?
Kuna kipi cha asili pale Zanzibar?
Karibu kila kitu hapa Zanzibar ni kitu cha kuletwa na majahazi.

Kwa Zanzibar:
Dini zililetwa na majahazi
Mavazi yaliletwa na majahazi
Watu waliletwa na majahazi.
Mbegu za karafuu zililetwa na majahazi
Mchele (ubwabwa) mpaka leo unashushwa na majahazi
Pombe zimeletwa na majahazi
Sigara zimeletwa na majahazi
Shisha zimeletwa na majahazi
Cocaine zimeletwa na majahazi
Ushoga umeletwa na majahazi
Hata Rais wa Zanzibar inasemekana ni wakuletwa na jahazi!
 
Mzee wewe ni mwanasheria?
 
Ndomana hamuendelei, bila bara mngekufa njaa nyambafu...
 

Attachments

  • IMG-20240403-WA0001.jpg
    43 KB · Views: 2
Dini ya kobazi ni ya kijima sana! Mtu akila mbele yako wewe inakuathiri nini kama si kujiendekeza?

Hao wazungu wasipokuja kutalii thamani ya Zanzibar itakua nini? Ile minyoo mnayosoma imewaharibu sana akili!
Mwehu wewe. Kwani ukiingia ikulu utaathiri nini?.lkn mbona husogei? Makafiri yanaumia sana wakisikia Zanzibar ramadhani inanoga
 
Mwarabu+Uislamu= USHENZI...
 
icho kitu munakariri nyinyi tu, hakukua na makubaliano hayo
Nadhani kwasababu Karume alikuwa ana hofu ya kuvamiwa na Waarabu ndio maana Muungano ukafanywa haraka haraka mambo yatawekwa sawa tu.
 
Nadhani kwasababu Karume alikuwa ana hofu ya kuvamiwa na Waarabu ndio maana Muungano ukafanywa haraka haraka mambo yatawekwa sawa tu.

Hakuna kitu icho, Muungango ulitokana na Janjajanja ya Nyerere, Kwa kifupi alim blackmail Mzee Karume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…