Zanzibar msiposimama imara kuendelea kulinda mila na tamaduni zenu, heshima yenu duniani itashuka

Zanzibar msiposimama imara kuendelea kulinda mila na tamaduni zenu, heshima yenu duniani itashuka

Hakuna kitu icho, Muungango ulitokana na Janjajanja ya Nyerere, Kwa kifupi alim blackmail Mzee Karume
Sidhani kama Karume mwenyewe angefurahi kwa Ndugu zake wa Bara wangekuwa wanachapwa Mijeledi kwa sababu tu ya kula chakula na kushushia Balimi kadha za baridi
 
Sidhani kama Karume mwenyewe angefurahi kwa Ndugu zake wa Bara wangekuwa wanachapwa Mijeledi kwa sababu tu ya kula chakula na kushushia Balimi kadha za baridi

Mkuu Karume ndio alitoa decree ya kukamatwa anaekula hadharani ambayo ndio inayotumika mpaka sasa.
 
Mkuu Karume ndio alitoa decree ya kukamatwa anaekula hadharani ambayo ndio inayotumika mpaka sasa.
Nina imani angekuwepo leo angeshabadilisha Mtizamo waangalie akina Fatuma Karume wamekuwa ni English Family Mini skirts na Whiskey kwenda mbele.
 
Nina imani angekuwepo leo angeshabadilisha Mtizamo waangalie akina Fatuma Karume wamekuwa ni English Family Mini skirts na Whiskey kwenda mbele.

Mwanawe Amani Karume alikuwepo na hakuiondoa. Fatma Karume amepunga akili hayupo sawa yule
 
Mwanawe Amani Karume alikuwepo na hakuiondoa. Fatma Karume amepunga akili hayupo sawa yule
Fatuma Karume msomi yule unasema ni punguani?

Wakati Mababu zetu wanasombwa na Mwarabu kupelekwa Zanzibar Utumwani hawakuwa Waisilamu msifosi Dini ya kuja na Majahazi.
 
Fatuma Karume msomi yule unasema ni punguani?

Wakati Mababu zetu wanasombwa na Mwarabu kupelekwa Zanzibar Utumwani hawakuwa Waisilamu msifosi Dini ya kuja na Majahazi.

Mkuu Islamic ipo Zanzibar for more than 1000 years. Punguza mihemko mkuu, hao mababu zenu waliposombwa wakapelekwa kule waliukuta.
 
Dini ya kobazi ni ya kijima sana! Mtu akila mbele yako wewe inakuathiri nini kama si kujiendekeza?

Hao wazungu wasipokuja kutalii thamani ya Zanzibar itakua nini? Ile minyoo mnayosoma imewaharibu sana akili!
Unataka mgeni aharibu tamaduni ya wenyeji?. Hivi wewe utakubali mgeni wako atowe amri ya muda wa kula na kulala ndani ya nyumba yako?.
 
Kweli serikali ya Zanzibar inajichanganya saana na kuogopa sura za watu.mimi ni mkristo lakini nikienda Zanzibar inabidi nitii Sheria ya kutokula mchana hadharani wakati wa ramadhani vinginevyo nikamatwe.serikali ya Zanzibar simamia mnachoamini bila woga.sasa mtu anapigaje msosi wakati wenzako wamefunga wakamatwe msiwadekeze kaza uzi wazee.
 
😂😂😂😂😂😂
Daah watu wana hasira sana yani jamaa hadi anajuta kuanzisha uzi wake huu..
Halafu lakuskitisha zaidi wanao mshambulia sana hapa niwale wapumbavu kabisa wanao amini mungu alikuja kama mtu Hapa duniani ilikukomboa watu harafu watu hao hao wakamchalaza bakora namakonde😂😂😂
Nambaya kabisa wakamuweka dhalili mbele ya hadhara akiwa uchi kabisa harafu juu yamti🤔
Kweli Upumbavu ni mzigo mkubwa Wa Afrika tujitambue.
 
Back
Top Bottom