Ms Billionaire
JF-Expert Member
- Jul 18, 2020
- 2,452
- 4,955
Hapo kwenye kugharamiwa na muungano nimeshikwa na hasira ghafla. HiviWamekera sana, halafu utakuta eti huyo waziri anavuka maji kuambatana na mhe rais kwenye ziara za bara, ati waziri pacha, na anagharamiwa na muungano, je ni kwa sheria ipi.
Hata mimi nilipofikia, naona wawe na maisha yao tu. TumechokaHawa watu wana shida mahali! Siyo bure. Miaka nenda wenyewe wanataka Muungano wa kuwanufaisha wao tu.
Nitafarijika sana siku watakapo jitegemea kwa 100%, na hivyo Tanganyika nayo kuondokana na huu mzigo wa kuwabeba watu wasio na faida.
You scratch my back, I scratch your back!
Wazenj wanaielewa sana siasa ya Jino kwa jino!
Huu Muungano miaka nenda, unawanufaisha ccm na hao wazanzibari wao tu.Hata mimi nilipofikia, naona wawe na maisha yao tu. Tumechoka
Zaidi ya kutumikaHuu Muungano miaka nenda, unawanufaisha ccm na hao wazanzibari wao tu.
Kwa Tanganyika, ni takataka tu. Maana haujawahi kuwa na faida yoyote ile.
Wewe unaliita hili jambo "swala dogo."Kama kuna habari inakera, kufedhesha na kutia hasira wiki hii ni jinsi serikali ya Zanzibar ilivyoshughulikia suala la ndizi za mjane aitwaye Veronica Mwanjala.
Kosa la Veronica ni kupeleka ndizi Zanzibar ili ajikimu kimaisha yeye na watoto wake. Kilichotokea pale bandarini ni maelezo yanayo ashiria hisia za kibaguzi dhidi ya watu wa Bara.
Tunaambiwa eti Veronica ndizi zake hazihitajiki soko la Zanzibar, mara zina vidudu, mara hazina vibali, na faini ya elf 50 juu!
Suala hili ni dogo lakini limeleta hisia za kibaguzi kutoka kwa wazanzibari, tena serikali, dhidi ya Watanzania bara.
Wote tunaelewa jinsi wazanzibari na wapemba wanavyovumiliwa kwa mengi hapa Bara na hawachukuliwi kama raia wa nje kama ipasavyo.
Mnaya zaidi serikali ya Zanziba na waziri wake wamemfanyia uharamia mama mjane!
Hili halikubaliki!
Mwenye namba ya Veronica Mwanjala atupatie ili JF tuanze mchango wa kurejesha mtaji wa huyu mama aliyedhulumiwa.
Hapa huwa ninashindwa kabisa kukuelewa wewe ni binaadam wa namna gani. Unayo 'conflict' kubwa sana ndani yako.Pamoja na kumsapoti mama Samia, masuala haya ya unafiki wa wazi yaakera sana.
Inabidi huyo mama wamrudishie mtaji wake.
Katiba mpya ni Suluhu ya huu upuuzi. Muungano gani wa design hijHao ni viumbe wa changu changu, chako changu. Ukiwakuta huku Tanganyika wanavyoishi kwa uhuru, hata huwezi kuamini kama siyo kwao.
Usije kushangaa ukiambiwa ndiye 'kocha na mshangiliaji mkuu!Dada yao amekaa kimya kama hayupo
Nani anaimiliki AC hiyo kama Si mjane kama Kweli una huruma na wajane na uyasemayo ni Kweli tupu?Nmhurumia Mama Janeti, simhurumii yule jamaa mwenye akaunti ya "Plea Bargain" huko China kwa sasa!
Kweli kabisa !!Kama kuna habari inakera, kufedhesha na kutia hasira wiki hii ni jinsi serikali ya Zanzibar ilivyoshughulikia suala la ndizi za mjane aitwaye Veronica Mwanjala.
Kosa la Veronica ni kupeleka ndizi Zanzibar ili ajikimu kimaisha yeye na watoto wake. Kilichotokea pale bandarini ni maelezo yanayo ashiria hisia za kibaguzi dhidi ya watu wa Bara.
Tunaambiwa eti Veronica ndizi zake hazihitajiki soko la Zanzibar, mara zina vidudu, mara hazina vibali, na faini ya elf 50 juu!
Suala hili ni dogo lakini limeleta hisia za kibaguzi kutoka kwa wazanzibari, tena serikali, dhidi ya Watanzania bara.
Wote tunaelewa jinsi wazanzibari na wapemba wanavyovumiliwa kwa mengi hapa Bara na hawachukuliwi kama raia wa nje kama ipasavyo.
Mnaya zaidi serikali ya Zanziba na waziri wake wamemfanyia uharamia mama mjane!
Hili halikubaliki!
Mwenye namba ya Veronica Mwanjala atupatie ili JF tuanze mchango wa kurejesha mtaji wa huyu mama aliyedhulumiwa.
Katiba mpya !Huu muungano ni Agano la kale, ni wakati Sasa wa kupata Agano Jipya.