Zanzibar na ndizi za mjane!

Zanzibar na ndizi za mjane!

Muungano wa Tanganyika na Zanzibar naumithilisha na ndoa ya baina ya mwanaume (Tanganyika) na Mwanamke (Zanzibar) ambapo mwanaume ndio anaforce mahusiano na mwanamke ikiwa mwanamke hataki kuwa katika hiyo ndoa. Hatima yake sasa ni ndugu wa mume kudhalilishwa na upande wa mwanamke, mwanamke kujiona bora zaidi ya mwanaume.

Huu muungano umekaa kinafiki sana, ni wakati sasa kila mtu akashika hamsini zake tujue ni nchi mbili tofauti tu. Kuliko haya manyanyaso na kudhalilishana kunakofanywa na wazanzibari dhidi ya watanganyika.

Mtanganyika akiwa zanzibar anachukuliwa kama takataka lakini wenyewe huku wanajiachia bila bughudha yeyote.
Hawa vibwengo watake wasitake Muungano hautavunjika ngoja tunasuburi muda sahihi ufike ndio watajua hawajui.
 
Kwelli ila kukitokea kutengana, basi Dar na pwani nzima ijiandae kupokea wakimbizi mana hawa jamaa hawatawezana wakibaki wenyewe. Ni kama Somalia
Hao machizi hatuwachii never never hata wafanyeje Muungano daima.
 
Kama kuna habari inakera, kufedhesha na kutia hasira wiki hii ni jinsi serikali ya Zanzibar ilivyoshughulikia suala la ndizi za mjane aitwaye Veronica Mwanjala.

Kosa la Veronica ni kupeleka ndizi Zanzibar ili ajikimu kimaisha yeye na watoto wake. Kilichotokea pale bandarini ni maelezo yanayo ashiria hisia za kibaguzi dhidi ya watu wa Bara.

Tunaambiwa eti Veronica ndizi zake hazihitajiki soko la Zanzibar, mara zina vidudu, mara hazina vibali, na faini ya elf 50 juu!

Suala hili ni dogo lakini limeleta hisia za kibaguzi kutoka kwa wazanzibari, tena serikali, dhidi ya Watanzania bara.

Wote tunaelewa jinsi wazanzibari na wapemba wanavyovumiliwa kwa mengi hapa Bara na hawachukuliwi kama raia wa nje kama ipasavyo.

Mnaya zaidi serikali ya Zanziba na waziri wake wamemfanyia uharamia mama mjane!

Hili halikubaliki!

Mwenye namba ya Veronica Mwanjala atupatie ili JF tuanze mchango wa kurejesha mtaji wa huyu mama aliyedhulumiwa.
Wabongo mnapenda kupotosha. Zanzibar kuna karantini ya ndizi haziruhusiwi kuingizwa na hilo liko wazi. Mbona viazi mbatata, keroti, nyanya tungule, vitunguu maji, thomu, tangawizi, matango, matikiti ,mananasi kutoka bara yanaingia kila kukicha zanzibar.? Acheni upotoshaji.

Kwa kumalizia maji ya chupa ya kutoka bara yanaingia Zanzibar ila maji ya Zanzibar hayaruhusiwi kuingia bara. Bladibasket bol nyie
 
Kwelli ila kukitokea kutengana, basi Dar na pwani nzima ijiandae kupokea wakimbizi mana hawa jamaa hawatawezana wakibaki wenyewe. Ni kama Somalia
Tatizo sasa ni kwamba wanatuhusisha sisi kwenye matatizo yao; na mbaya zaidi wanatuona sisi kama majuha!
 
Eeh ngoja tusubiri mama yenu km atasema kitu
 
Kuna watu hawajui kwamba Rais Mwinyi ni mtu mwenye roho mbaya sana, ila hakuwa na mamlaka ya moja kwa moja kugusa wananchi, na aliificha roho mbaya katika ukimya wake.

Ni mtu wa aina ya JPM
 
Wabongo mnapenda kupotosha. Zanzibar kuna karantini ya ndizi haziruhusiwi kuingizwa na hilo liko wazi. Mbona viazi mbatata, keroti, nyanya tungule, vitunguu maji, thomu, tangawizi, matango, matikiti ,mananasi kutoka bara yanaingia kila kukicha zanzibar.? Acheni upotoshaji.

Kwa kumalizia maji ya chupa ya kutoka bara yanaingia Zanzibar ila maji ya Zanzibar hayaruhusiwi kuingia bara. Bladibasket bol nyie
Ujinga huo kamhadithie mkweo kupe ninyi.
Hata bili za umeme hamlipi.
 
Muungano wa kimbuzi .nje ya nchi wazenj huwezi wasikia wakiita watanzania. Huu muungano uunganishwe na katiba mpya
 
Kama kuna habari inakera, kufedhesha na kutia hasira wiki hii ni jinsi serikali ya Zanzibar ilivyoshughulikia suala la ndizi za mjane aitwaye Veronica Mwanjala.

Kosa la Veronica ni kupeleka ndizi Zanzibar ili ajikimu kimaisha yeye na watoto wake. Kilichotokea pale bandarini ni maelezo yanayo ashiria hisia za kibaguzi dhidi ya watu wa Bara.

Tunaambiwa eti Veronica ndizi zake hazihitajiki soko la Zanzibar, mara zina vidudu, mara hazina vibali, na faini ya elf 50 juu!

Suala hili ni dogo lakini limeleta hisia za kibaguzi kutoka kwa wazanzibari, tena serikali, dhidi ya Watanzania bara.

Wote tunaelewa jinsi wazanzibari na wapemba wanavyovumiliwa kwa mengi hapa Bara na hawachukuliwi kama raia wa nje kama ipasavyo.

Mnaya zaidi serikali ya Zanziba na waziri wake wamemfanyia uharamia mama mjane!

Hili halikubaliki!

Mwenye namba ya Veronica Mwanjala atupatie ili JF tuanze mchango wa kurejesha mtaji wa huyu mama aliyedhulumiwa.
Mbaya zaidi ndizi zake walienda kupewa wafungwa wale, hatukatai kafanya kosa kutokana Sheria za ovyo ovyo za hizi serikali mbili ila njia iliyotumika kutatua hili jambo ni ya kikatili mno.
 
wazanzibar ni watu wa hovyo kuwahi kuwaona, very hypocrite, kuna mmoja tulizinguana ferry ya znz na alinikuta kichwa changu kishapata moto, yaani tunavoishi nao huku wao kwao ni tofauti kabisa
 
Wewe unaliita hili jambo "swala dogo."

Mimi silioni kuwa swala dogo hata kidogo, ni swala kubwa sana katika uhai wa nchi yetu ya Muungano.

Kiufupi ni kwamba matendo haya yanayofanywa huko Zanzibar, ni mkakati maalum wa kuchochea hisia toka Tanganyika, ili wenye lengo lao la kuuvunja Muungano lifanikiwe.

Huu ni mkakati maalum kwa wenye lengo lao.

Naunga mkono uhitaji wa Simu ya huyo mama, achangiwe.
Walio karibu na mama tunaomb number yake tumchangia mama huyo kurudisha mtaji wake wa ndizi..hatuwezi kukubali dhuruma kwa mam mjane
 
ZBC ifute kauli mbiu yao ya wema unaoendelea..waseme unafiki unaoendelea..
 
Back
Top Bottom