Zanzibar na ndizi za mjane!

Hawa vibwengo watake wasitake Muungano hautavunjika ngoja tunasuburi muda sahihi ufike ndio watajua hawajui.
 
Kwelli ila kukitokea kutengana, basi Dar na pwani nzima ijiandae kupokea wakimbizi mana hawa jamaa hawatawezana wakibaki wenyewe. Ni kama Somalia
Hao machizi hatuwachii never never hata wafanyeje Muungano daima.
 
Wabongo mnapenda kupotosha. Zanzibar kuna karantini ya ndizi haziruhusiwi kuingizwa na hilo liko wazi. Mbona viazi mbatata, keroti, nyanya tungule, vitunguu maji, thomu, tangawizi, matango, matikiti ,mananasi kutoka bara yanaingia kila kukicha zanzibar.? Acheni upotoshaji.

Kwa kumalizia maji ya chupa ya kutoka bara yanaingia Zanzibar ila maji ya Zanzibar hayaruhusiwi kuingia bara. Bladibasket bol nyie
 
Kwelli ila kukitokea kutengana, basi Dar na pwani nzima ijiandae kupokea wakimbizi mana hawa jamaa hawatawezana wakibaki wenyewe. Ni kama Somalia
Tatizo sasa ni kwamba wanatuhusisha sisi kwenye matatizo yao; na mbaya zaidi wanatuona sisi kama majuha!
 
Eeh ngoja tusubiri mama yenu km atasema kitu
 
Sio ndizi tu, penye moshi jua kuna moto hata njiti ya kiberiti inaweza kulea moto mkubwa. Dawa au mpenyo ni katiba mpya itakayo tatua khero zote za muungano
Kwa kweli tunaona moshi wa ndizi za mjane unao kera.
 
Kuna watu hawajui kwamba Rais Mwinyi ni mtu mwenye roho mbaya sana, ila hakuwa na mamlaka ya moja kwa moja kugusa wananchi, na aliificha roho mbaya katika ukimya wake.

Ni mtu wa aina ya JPM
 
Ujinga huo kamhadithie mkweo kupe ninyi.
Hata bili za umeme hamlipi.
 
Muungano wa kimbuzi .nje ya nchi wazenj huwezi wasikia wakiita watanzania. Huu muungano uunganishwe na katiba mpya
 
Mbaya zaidi ndizi zake walienda kupewa wafungwa wale, hatukatai kafanya kosa kutokana Sheria za ovyo ovyo za hizi serikali mbili ila njia iliyotumika kutatua hili jambo ni ya kikatili mno.
 
wazanzibar ni watu wa hovyo kuwahi kuwaona, very hypocrite, kuna mmoja tulizinguana ferry ya znz na alinikuta kichwa changu kishapata moto, yaani tunavoishi nao huku wao kwao ni tofauti kabisa
 
Walio karibu na mama tunaomb number yake tumchangia mama huyo kurudisha mtaji wake wa ndizi..hatuwezi kukubali dhuruma kwa mam mjane
 
ZBC ifute kauli mbiu yao ya wema unaoendelea..waseme unafiki unaoendelea..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…