Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
Kwanza salaam
Unguja na Pemba ndiyo zao la nchi ya Zanzibar ila nitoe exclusion kwa Pemba sijawahi kufika ila unguja/Zanzibar imejawa kila aina ya uchafu licha kuwa watu wake asilimia 90 ni waislamu.
Mifumo ya maji taka ni mibovu hakuna streets chember au mifereji ya maji taka mfano maji ya kuoshea vyombo.
Utupaji wa Taka holela unaweza kukuta mtu anatoka ndani taka mkononi akaitupa nje bila kwenda kutupa sehemu maalumu
- Shekha wengi wanakula pesa za watu Mfano kuna sehemu inaitwa Mwanyanya niliishi pale zone D aisee yule shekha ni tapeli anapenda pesa kuliko chochote na licha ya kukusanya pesa alikuwa anawazurumu wabebaji taka mpk walishindwa kuja kuchukua taka licha ya kutokuwa kuchukua taka then akawa anakuja kukusanya pesa.
Nchi yenye waislamu wengi lakini kitendo viovu vya kuingilia watoto, ubakaji na udhalilishaji umeenea sana.
Serikali ifanye jitihada zaidi ya kushughulikia hizo changamoto la sivyo akiingia kipindupindu atapindua wengi.
NAWASILISHA.
Unguja na Pemba ndiyo zao la nchi ya Zanzibar ila nitoe exclusion kwa Pemba sijawahi kufika ila unguja/Zanzibar imejawa kila aina ya uchafu licha kuwa watu wake asilimia 90 ni waislamu.
Mifumo ya maji taka ni mibovu hakuna streets chember au mifereji ya maji taka mfano maji ya kuoshea vyombo.
Utupaji wa Taka holela unaweza kukuta mtu anatoka ndani taka mkononi akaitupa nje bila kwenda kutupa sehemu maalumu
- Hakuna maeneo ya kudumu ya utupaji taka
- Magari ya ubebaji taka yanachelewa kuchukua taka.
- Shekha wengi wanakula pesa za watu Mfano kuna sehemu inaitwa Mwanyanya niliishi pale zone D aisee yule shekha ni tapeli anapenda pesa kuliko chochote na licha ya kukusanya pesa alikuwa anawazurumu wabebaji taka mpk walishindwa kuja kuchukua taka licha ya kutokuwa kuchukua taka then akawa anakuja kukusanya pesa.
Nchi yenye waislamu wengi lakini kitendo viovu vya kuingilia watoto, ubakaji na udhalilishaji umeenea sana.
Serikali ifanye jitihada zaidi ya kushughulikia hizo changamoto la sivyo akiingia kipindupindu atapindua wengi.
NAWASILISHA.