Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza salaam
Unguja na Pemba ndiyo zao la nchi ya Zanzibar ila nitoe exclusion kwa Pemba sijawahi kufika ila unguja/Zanzibar imejawa kila aina ya uchafu licha kuwa watu wake asilimia 90 ni waislamu.
Mifumo ya maji taka ni mibovu hakuna streets chember au mifereji ya maji taka mfano maji ya kuoshea vyombo.
Utupaji wa Taka holela unaweza kukuta mtu anatoka ndani taka mkononi akaitupa nje bila kwenda kutupa sehemu maalumu
-hakuna maeneo ya kudumu ya utupaji taka
-magari ya ubebaji taka yanachelewa kuchukua taka.
-shekha wengi wanakula pesa za watu Mfano kuna sehemu inaitwa Mwanyanya niliishi pale zone D aisee yule shekha ni tapeli anapenda pesa kuliko chochote na licha ya kukusanya pesa alikuwa anawazurumu wabebaji taka mpk walishindwa kuja kuchukua taka licha ya kutokuwa kuchukua taka then akawa anakuja kukusanya pesa.
Nchi yenye waislamu wengi lakini kitendo viovu vya kuingilia watoto,ubakaji na udhalilishaji umeenea sana.
Serikali ifanye jitihada zaidi ya kushughulikia hizo changamoto la sivyo akiingia kipindupindu atapindua wengi.
NAWASILISHA.
Tume soma na tumeelewa hulitaka hao waisilamu wa unguja ndio wajenge mifumo ya majitaka ulitaka uchafu waupeleke wapi bora ungesema hivi waisilamu waunguja hawalipi kodiKwanza salaam
Unguja na Pemba ndiyo zao la nchi ya Zanzibar ila nitoe exclusion kwa Pemba sijawahi kufika ila unguja/Zanzibar imejawa kila aina ya uchafu licha kuwa watu wake asilimia 90 ni waislamu.
Mifumo ya maji taka ni mibovu hakuna streets chember au mifereji ya maji taka mfano maji ya kuoshea vyombo.
Utupaji wa Taka holela unaweza kukuta mtu anatoka ndani taka mkononi akaitupa nje bila kwenda kutupa sehemu maalumu
- Hakuna maeneo ya kudumu ya utupaji taka
- Magari ya ubebaji taka yanachelewa kuchukua taka.
- Shekha wengi wanakula pesa za watu Mfano kuna sehemu inaitwa Mwanyanya niliishi pale zone D aisee yule shekha ni tapeli anapenda pesa kuliko chochote na licha ya kukusanya pesa alikuwa anawazurumu wabebaji taka mpk walishindwa kuja kuchukua taka licha ya kutokuwa kuchukua taka then akawa anakuja kukusanya pesa.
Nchi yenye waislamu wengi lakini kitendo viovu vya kuingilia watoto, ubakaji na udhalilishaji umeenea sana.
Serikali ifanye jitihada zaidi ya kushughulikia hizo changamoto la sivyo akiingia kipindupindu atapindua wengi.
NAWASILISHA.
Dar inaogoza kwa uchafu he Wapemba wanatoa uchafu kwao wanaoleta dar [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Wapemba ni wachafu sana,hata migahawa yao full uchafu.
Kama umesomà critical think unaweza kujua nimetumia kanuni gani hapoThis is very sad! Sisi wanadamu katika maisha yetu ya kila siku tuna machaguo mengi (Many choices)ya nini tufanye na nini tusifanye, nini tuseme na nini tusiseme, nani tumseme vizuri na nani tumseme vibaya, na wakati mwingine tunajua wazi kabisa kwamba mtu fulani kwa ujumla ni mtu mzuri au mbaya lakini tunachagua (Making a choice) kusema tofauti na ukweli ... hili chaguo au machaguo tunayoyafanya kila siku katika maisha yetu. Swali ni kwamba kwanini tunafanya machaguo haya? Nini kinatusukuma kufanya maamuzi kama haya, sababu ni nyingi lakini mojawapo ni ujinga (ignorance = lack of knowledge or information)
Mleta mada, kwa makusudi kabisa, kwa sababu anazozijua mwenyewe AMECHAGUA kuainisha 'uchafu' wa watu wa Unguja, (Mfumo wa majitaka, utapeli wa viongozi wa vitongoji, ubakaji, kuwaingilia watoto,) na amekwenda mbali zaidi kwa kusema "Nchi yenye waislamu wengi lakini kitendo viovu vya kuingilia watoto,ubakaji na udhalilishaji umeenea sana". Uislamu unaingiaji hapa!!??? Hii inamaanisha nini? Kwamba ni sawa kwa nchi isiyo na waislamu wengi kuwa chafu? Au wasio wasio waislamu ni wasafi zaidi kuliko walio waislamu - NI UJINGA TU.
Hoja yangu ni kwamba SI HAKI, kutumia mfano wako wa kuishi Area D ya Mwanyanya kama kigezo cha kuhukumu kwamba eti watu wa Unguja ni wachafu na kwamba 'eti wengi ni waislamu. Ni sawa uende Uwanja wa Fisi Tandale au Machinjioni Vingunguti halafu useme watu wa Dar wachafu. SI HAKI kuutumia mfano wa kiongozi mmoja wa kitongoji na kisha kuhukumu kwamba watu wa Unguja ni matapeli.
Mleta mada, hivi unajua kiwango cha 'uchafu', 'utapeli', 'ubakaji' 'changamoto za majitaka', zilizo maeneo mengine ya nchi nje ya Unguja? Au leo umejisikia KUCHAGUA kuizungumzia Unguja.
Namna tunavyochagua nini cha kusema, nani wa kumsema inadhihirisha kiwango chetu cha ujinga (Ignorance) tulichonacho, tuendelee kuombeana tuondokane na ujinga na tupape maarifa na taarifa zaidi kuliko ujinga.
Dini kwao ni utamaduni na sio imaani ..namaanisha hawaiishi matakwa ya imani ila wanaishi na dini kama tamaduni tu.Nimesema uchafu wa matendo na uchafu wa mazingira hujaelewa nini?
... wastani wa watoto 394 wamebakwa kila mwezi katika maeneo mbalimbali ya Tanzania bara kuanzia mwezi Januari hadi Juni 2018.Kwanza salaam
Unguja na Pemba ndiyo zao la nchi ya Zanzibar ila nitoe exclusion kwa Pemba sijawahi kufika ila unguja/Zanzibar imejawa kila aina ya uchafu licha kuwa watu wake asilimia 90 ni waislamu.
Mifumo ya maji taka ni mibovu hakuna streets chember au mifereji ya maji taka mfano maji ya kuoshea vyombo.
Utupaji wa Taka holela unaweza kukuta mtu anatoka ndani taka mkononi akaitupa nje bila kwenda kutupa sehemu maalumu
- Hakuna maeneo ya kudumu ya utupaji taka
- Magari ya ubebaji taka yanachelewa kuchukua taka.
- Shekha wengi wanakula pesa za watu Mfano kuna sehemu inaitwa Mwanyanya niliishi pale zone D aisee yule shekha ni tapeli anapenda pesa kuliko chochote na licha ya kukusanya pesa alikuwa anawazurumu wabebaji taka mpk walishindwa kuja kuchukua taka licha ya kutokuwa kuchukua taka then akawa anakuja kukusanya pesa.
Nchi yenye waislamu wengi lakini kitendo viovu vya kuingilia watoto, ubakaji na udhalilishaji umeenea sana.
Serikali ifanye jitihada zaidi ya kushughulikia hizo changamoto la sivyo akiingia kipindupindu atapindua wengi.
NAWASILISHA.
Tafuta kesi za uzalilishaji zanzibar utapata navyosema,mwaka jana.... wastani wa watoto 394 wamebakwa kila mwezi katika maeneo mbalimbali ya Tanzania bara kuanzia mwezi Januari hadi Juni 2018.
Chanzo: Utafiti: Watoto 394 hubakwa kila mwezi Tanzania - BBC News Swahili
Jibu lako ni zuri sana kwa mwenye kufikiriDini kwao ni utamaduni na sio imaani ..namaanisha hawaiishi matakwa ya imani ila wanaishi na dini kama tamaduni tu.
Ulitaka waisilamu ndio watengeneze sehemu ya kutupa uchafu serikali kodi inayo kusanya serikali ya nn?mbona dar inaongoza kwa uchafu kazi kuwaandama waisilamuNa uislam unakazania usafi
Ukiwa Muislam lazima uwe nadhifu
Waisilamu wa unguja kama kichwa cha habari kinavio sema kweli ndio wachafu kuliko watu wote?nyiyi bila kuwa kwasema waisilamu amjisikii raha mbona dar uchafu kila kona amsemi sababu dar mpo nyiyi wakiristoSio kwamba ni Udini ila uislmu umekataza uchafu na maovu.
"Al islamu nadhif fata nadhwafu""
Kichwa cha habari kime wasema waisilamu,sasa kila mtu na ataje mkoa wake kijiji chake wilaya tulinganishe na pemba na unguja kwa usafiSasa kama tunapigana na chafu dini haina maana kuwepo kwenye mjadala huu. Labda kama watu W humu hujawajua vizur
Tutajie kwenu tupajueWachafu sana hawa watu..
Kweli kabisa kumbe hata mapadri wanao riwatwi watoto kumbe ni Wapemba hehe kumbe Wapemba wako kila idaraUchafu mwingine ulioshamiri kila mtaa ni Ushoga na Ulawiti kwa watoto vijana na wanawake...
Huyo ndio kafiri kazi yake kujifanya mwemaThis is very sad! Sisi wanadamu katika maisha yetu ya kila siku tuna machaguo mengi (Many choices)ya nini tufanye na nini tusifanye, nini tuseme na nini tusiseme, nani tumseme vizuri na nani tumseme vibaya, na wakati mwingine tunajua wazi kabisa kwamba mtu fulani kwa ujumla ni mtu mzuri au mbaya lakini tunachagua (Making a choice) kusema tofauti na ukweli ... hili chaguo au machaguo tunayoyafanya kila siku katika maisha yetu. Swali ni kwamba kwanini tunafanya machaguo haya? Nini kinatusukuma kufanya maamuzi kama haya, sababu ni nyingi lakini mojawapo ni ujinga (ignorance = lack of knowledge or information)
Mleta mada, kwa makusudi kabisa, kwa sababu anazozijua mwenyewe AMECHAGUA kuainisha 'uchafu' wa watu wa Unguja, (Mfumo wa majitaka, utapeli wa viongozi wa vitongoji, ubakaji, kuwaingilia watoto,) na amekwenda mbali zaidi kwa kusema "Nchi yenye waislamu wengi lakini kitendo viovu vya kuingilia watoto,ubakaji na udhalilishaji umeenea sana". Uislamu unaingiaji hapa!!??? Hii inamaanisha nini? Kwamba ni sawa kwa nchi isiyo na waislamu wengi kuwa chafu? Au wasio wasio waislamu ni wasafi zaidi kuliko walio waislamu - NI UJINGA TU.
Hoja yangu ni kwamba SI HAKI, kutumia mfano wako wa kuishi Area D ya Mwanyanya kama kigezo cha kuhukumu kwamba eti watu wa Unguja ni wachafu na kwamba 'eti wengi ni waislamu. Ni sawa uende Uwanja wa Fisi Tandale au Machinjioni Vingunguti halafu useme watu wa Dar wachafu. SI HAKI kuutumia mfano wa kiongozi mmoja wa kitongoji na kisha kuhukumu kwamba watu wa Unguja ni matapeli.
Mleta mada, hivi unajua kiwango cha 'uchafu', 'utapeli', 'ubakaji' 'changamoto za majitaka', zilizo maeneo mengine ya nchi nje ya Unguja? Au leo umejisikia KUCHAGUA kuizungumzia Unguja.
Namna tunavyochagua nini cha kusema, nani wa kumsema inadhihirisha kiwango chetu cha ujinga (Ignorance) tulichonacho, tuendelee kuombeana tuondokane na ujinga na tupape maarifa na taarifa zaidi kuliko ujinga.
Bora ungeandika viongozi wa zanzibar wameshindwa kudhibiti uchafu na masuala ya udhalilishaji Zanzibar. Maana kwa ulichozungumza udhibiti wa usafi na udhalilishaji wa wtt Serikali ndio inahusika kwa aslimia kubwa zaidi.Kama umesomà critical think unaweza kujua nimetumia kanuni gani hapo
"Generalization"
Sio kwamba hakuna wasafi ila kama umefanya research utaelewa kwa sample yangu niliyochukua imenionesha hivyo.
Do ila suala la dini japo wengi mmenukuu vibaya Hapana mimi pia ni muislamu tatizo kitendo vya ubakaji, udhalilishaji, unyanyasaji na ulawiti imenisukuma kuandika hivyo.
Zaidi nimefanya hivyo kuonyesha watu kwamba waislamu ni wema na wasafi kama ni muelewa ila ikilaza fuvu utaona kwamba nimeuponda uislamu.