Zanzibar: Padri auawa kwa kupigwa Risasi!

Zanzibar: Padri auawa kwa kupigwa Risasi!

Status
Not open for further replies.
Jamani kwa staili hii vita vinanukia,jaman viongoz mtajuta tena mtajibu kwa haya yanayotokea then mnayafumbia macho!
R.I.P Padre
 
kama ilivyo huku bara TANGANYIKA SI ENEO SALAMA KWA WAISLAM,KILA SIKU MASHUSHUSHU WANATUSUMBUA MISIKITINI,WENGINE WAKRISTO WANAJIFANYA KUJA KUSWALI ILI KUTUSKIZA TUNAZUNGUMZA NIN?

Najaribu kukuchorea picha naona jitu lililovaa kipedo,mindemvu kama jini maimuna,jazba kilo hamsini kifuani,unanukia pafyumu za kuita majini,sandles kubwa kama boat zina bonge la sori eti mnakimbia uchafu wa vumbi wakati unaushetani rohoni na moyoni.Tumechoshwa na roho zenu mbaya na ipo siku mtaisoma.
 
Hakuna uhusiano na ujambazi kweli? Mi nikiona jina la wakina mushi imani yangu hupotea kabisa

kaka hapo hakuna ujambazi. mapadre hawaendi na fedha kanisani. hawa wauaji wa ukristo zanzibar. na nia yao ni kushinikiza viongozi wa uamsho waachiwe waendelee kuvunja amani. hata hivyo ukristo hautashindwa kamwe. kwani waislamu wanatumia silaha za moto, wakristo wanatumia Elimu thabiti kushinda vita.
 
Huyo Allah wao anawadanganya...sisi tuna Mungu wao wana Allah na Muhamad..
Hakika hawatamshinda Yesu aliye hai.
 
Shehe alitoa agizo maaskofu na mapadre wauwawe bado anapeta mitaani, huku polisi wa Mwema wako bize kuwatafuta waliomtukana Makinda.

Unategemea Nchi inayoongozwa na MRISHO, chini ya makamu wake BILAL, IGP SAIDI, Mkurugenzi wa usalama wa Taifa RASHID na kanda maalum SELEMANI ,na jaji mkuu OTHMAN na rais wa Zanzbar MOHAMED na makamu wake HAMAD wamchukulie hatua sheikh...!??? ingekuwa hivyo Ilunga asingekuwa mtaani leo. For what happens today credits goes directly to JK and his gang. big up my moslem presidemt and co. we see your achievements
 
kama ilivyo huku bara TANGANYIKA SI ENEO SALAMA KWA WAISLAM,KILA SIKU MASHUSHUSHU WANATUSUMBUA MISIKITINI,WENGINE WAKRISTO WANAJIFANYA KUJA KUSWALI ILI KUTUSKIZA TUNAZUNGUMZA NIN?
Kwa kuwa umejisikia kusema hivyo ni sawa ni mtizamo wako lakini sina hakika kama unaaandika kwa dhamira sahihi na nafsi yako inasimamia ukweli,matukio ya kuwabagua wakristo huko ZNZ hayajaanza leo,matukio ya kuwabagua watanzania bara kule ZNZ hayajaanza leo,matukio ya kuchoma makanisa hata huku bara hayajaanza leo,mauaji ya wakristo huko ZNZ yenye sura ya udini hayajaanza leo na kama wewe ni mkazi wa ZNZ utakuwa unajua wazi jinsi maisha yanavyobadilika kipindi cha mfungo mtukufo wa Ramadhan huko znz hata asie mkristo ni lazime aishi kama muislam.Yote hayo wakristo wameyavumilia wameendelea kutambua kuwa waislam ni binadamu,waislam ni watanzani,waislam ni ndugu zentu,waislamu ni jirani zetu,marafiki zetu lakini kwa haya yanayoendelea,inasikitisha sana na yanazidi kuleta mashaka makubwa.wewe mkuu kama unaona ni sawa mauji haya,poa endelea kuwaza na kuamini hivyo,kiukweli imenisikitisha sana na ulimwengu utasikitika hasa kwa wapenda amani.lakini kwa hesabu za haraka tayari wameua viongozi wa dini za kikristo kwa muda wa wiki moja.hilo la maafisa usalama kuja misikitini si la wakristo,lakini ni sehemu ya kazi yao hata makanisani huwa wanakuja.
CCM HOYEEE!!
 
Habari. Zilizotolewa punde na Itv kuwa padri wa kanisa katoliki Zanzibar auawa kwa kupigwa risasi akielekea kwenye ibada. Tunaelekea wapi watanzania, suala hili linahitaji kujadiliwa kwa kina sana kuliko kutanguliza udini au Imani zetu zaidi. Inasikitisha sana
 
RAHA YA MILELE UMPE EE BWANA na MWANGA WA MILELE UMWANGAZIE APUMZIKE KWA AMANI AMINA
 
namfahamu padre EVARIST Mushi ni ndugu na mimi jamani, mzaliwa wa uru mawella, Mungu awe nawe
 
almost two hrs baada ya tukio hilo, hakuna hata afisa yeyote wa polisi au serikali kafika katika eneo la tukio au hospitali kwa ajili ya uchunguzi zaidi. Hapo maswali mengi yananijia kichwani......
 
Mungu wangu

Habari hz pia zimeripotiwa na WAPO Radio ni habari za kusikitisha sana sana!!!!
Lakini ninavyowafahamu Wazanzibar kwa ujumla wao ni watu wa roho mbaya na chuki. Kitendo hiki wanapokifanya kwa Mkristo, mbara tena Padri kwao ni faraja sana.
Wabara wamekuwa wakifanyiwa vitendo vibaya eg kuchomewa maduka (maduka zaidi ya 50 yalitiwa moto), kuchomwa baa, kuchomwa makanisa, vitendo vya personal attack kwa wabara ni vingi, sasa wameanza kuua! Padri wakwanza walimkosakosa huyu wa leo wamemuua!!
Nataka kusema Wazanzibar wamejipanga kuliko watu wengi hasa wabara tunavyofikiri, lkn kwa kukaa kwangu zenj, kampain za chuki zidi ya wakristo na wabara zimekuwa imepigwa kwa muda mrefu na kwa wazi wazi ikiongozwa na kikundi cha uamsho. Hadi leo kila kona ya zanzibar utakuta watu wanasikiliza CD za kampain zidi ya wakrito na wabara openly!
Kwa mauaji kama si jambo la ajabu kwa jinsi wazenj walivyo, hisipokuwa ni ajabu kuona serikali ya zenj, ccm na cuf kuonekana wanapinga mauaji au kusikitika kwa namna yeyote!!!

Watanzania bara tukae tukijua ipo chuki kubwa ktk mioyo ya wazenj zidi ya wabara, chuki hii imeenea kwa wazanzibar wote na wafadhili wake ni wapemba, wapemba hawa hawa waliojaa huku kwetu nasisi tukikimbilia madukani mwao!
 
Amepigwa risasi wakati anaenda kusalisha misa, je? ni majambazi?, majambazi watake nini kwa padri ambae anaenda kanisani hapa pesa hana, Je, ni uhalifu wa kawaida?, uhalifu wa kawaida kwa padri anaeenda kusali ili iwe nini?, Sasa basi nini?, NAJUA UNAJUA NI NINI.

u mean hakuna padre alowah kuuawa na majambazi katika nchi hii?
 
Mungu ampe pumziko la amani,na wahusika watafutwe na kukamatwa na kupelekwa mbele ya sheria

Ulishawahi kuona haki inatendeka kwa vifo vya mapadri Zanzibar?Serikali yenye kuachia choko za udini hiyo ni serikali iliyofikia ukomo wa utawala.
 
Kuomba kura kwa udini ambao haukuwepo hizi ndo output zake sasa, janga la kitaifa JK
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom