Mkiliman
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 983
- 345
Mungu ni mkubwa, na rehema zake ni za ajabu.
Huwezi kuamini, jana jioni tukiwa kwenye misa ya jumuiya yetu hapa Dar, Mchungaji wetu alisoma ujumbe kutoka UAMSHO wenye kujuta kukosa kumuua Padre Ambrose Mkenda, na ujumbe huo unahimiza Jihad kali dhidi ya WAKRISTO na UKRISTO kule Z'bar.
Kilichotokea leo na yatakaendelea kutokea ni sehemu ya maadhio ya Waislam dhidi ya WAKRISTO.
Bad enough, kuna waislam wametoka kozi huko Somalia (Al-Shabab) wapo hapa mjini kwaajili ya kuleta maafa ya WAKRISTO wakati wa sikukuu ya PASAKA.
Kanisa letu ni mojawapo ya targets za hao watu.
Asante kwa Mungu kuwa mpango huo uligundulika mapema kabisa na watu hao wapo chini ya ulinzi wa vyombo vya usalama.
Huwezi kuamini, jana jioni tukiwa kwenye misa ya jumuiya yetu hapa Dar, Mchungaji wetu alisoma ujumbe kutoka UAMSHO wenye kujuta kukosa kumuua Padre Ambrose Mkenda, na ujumbe huo unahimiza Jihad kali dhidi ya WAKRISTO na UKRISTO kule Z'bar.
Kilichotokea leo na yatakaendelea kutokea ni sehemu ya maadhio ya Waislam dhidi ya WAKRISTO.
Bad enough, kuna waislam wametoka kozi huko Somalia (Al-Shabab) wapo hapa mjini kwaajili ya kuleta maafa ya WAKRISTO wakati wa sikukuu ya PASAKA.
Kanisa letu ni mojawapo ya targets za hao watu.
Asante kwa Mungu kuwa mpango huo uligundulika mapema kabisa na watu hao wapo chini ya ulinzi wa vyombo vya usalama.
