Zanzibar: Padri auawa kwa kupigwa Risasi!

Zanzibar: Padri auawa kwa kupigwa Risasi!

Status
Not open for further replies.
Those people who involved to shot, and killed Padre Mushi. This morning
are well-known in Zanzibar. And all people knew them, including the Govt
of Zanzibar. So here we want to see the immediately arrest without delaying,
for the responsible of the killing.

sijui hasira, nime note makosa 9 ya lugha. Tumia lugha mama kupunguza Milugo
 
Mungu amlaze mahala pema peponi, Amen!
Huu udini anaolea rais dhaifu madhara yake ni mabaya sana, tunahitaji kumwomba Mungu sana.
 
Dah kweli waislamu mnakera mbaya! Mungu awarehemu

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
mashetani hao dhidi ya mwenyezi mungu. Dini ya mungu haipiganiwi kwa mitutu. Hawajiamini na majini yao
 
halafu nyie muslim popote pale,mnaofanya hivi vitu,msifikiri kukaa kwetu kimya wakristo ni wajinga!tunajua mnatafuta pa kuanzia,bt mungu wetu atawaadhibu vibaya!
Yaani mna roho mbaya km nn!!ss hapo mmepata faida gani!(ama kweli ufunuo wa yohana unatimia)hakika huyu ni mpinga kristo!!


Kumbe wamesema ni waislamu ndiyo waliomuua? Au ni nafsi yako tu ndiyo inakutuma kuandika ukipendacho?
 
Sheria ndio inasema hivyo kwamba mtu wa kawaida haruhusiwi kumiliki silaha lakini wapo waliokuwa nazo silaha na ndio maana wanafanyia uhalifu baadhi yao maana matukio kama hayo ni mengi sana siku hizi kama mnakumbuka wakati wa Ramadhani watu wawili walipigwa risasi na baada ya kupigwa Fathe Ambrose pia kuna mgeni mmoja kutoka Asia alipigwa risasi kama siku tatu tu baada ya tukio la Father na alipigwa kule Mazizini ni matukio ya kusikitisha
 
RIP Fr.Mushi,huku sasa tuendako kunatisha,mkuu wa kaya na watu wake wamekaa kimya dhidi ya mambo kama haya yanaligusa taifa zima...watanzania wanateketea bila hatia kwa kuwa tu ni wakristo na hakifanyiki chochote watu wako busy tu wanadiscuss gesi.Mtazamo wangu waweza kuwa si sahihi ila picha ninayoiona mbeleni si shwari,wafuasi wa hawa tunaowaondoa duniani wataishiwa uvumilivu muda si mrefu na kitakachotokea hapo ni machafuko,Mungu tuepushe na hili ila bila serikali yetu kufanya kazi yake halikwepeki
 
Mungu ni mkubwa, na rehema zake ni za ajabu.

Huwezi kuamini, jana jioni tukiwa kwenye misa ya jumuiya yetu hapa Dar, Mchungaji wetu alisoma ujumbe kutoka UAMSHO wenye kujuta kukosa kumuua Padre Ambrose Mkenda, na ujumbe huo unahimiza Jihad kali dhidi ya WAKRISTO na UKRISTO kule Z'bar.

Kilichotokea leo na yatakaendelea kutokea ni sehemu ya maadhio ya Waislam dhidi ya WAKRISTO.

Bad enough, kuna waislam wametoka kozi huko Somalia (Al-Shabab) wapo hapa mjini kwaajili ya kuleta maafa ya WAKRISTO wakati wa sikukuu ya PASAKA.

Kanisa letu ni mojawapo ya targets za hao watu.


Asante kwa Mungu kuwa mpango huo uligundulika mapema kabisa na watu hao wapo chini ya ulinzi wa vyombo vya usalama.

U see!!?
Na hapa mtaani kwetu ni shida!,wameona kuna kanisa nao wamekuja kufanya madrasa hapo2 na purposely!hivi y jamani?mbona sisi tunawapenda sana nyie mna nn km sio mashetani/mapepo!!
 
Hili suala sio la dini ni suala la uhalifu kwa sababu waliopigwa akina Ba Hamadi na wale kina Suleiman walipigwa jee tuseme wamepigwa na wakristo? Nadhani tusende katika suala la dini tuite ni uhalifu tu kwa sababu uhalifu hauna dini na uhalifu hautazami sura wala kabisa, watu wenye kufanya uhalifu ndio wenye kutuletea matatizo kwa hivyo ni shida tunayo kwa sasa
 
Raha ya Milele umpe Ee Bwana na mwanga wamilele umwangazi mtumishi wako Padre Mushi apumzike kwaamani Amina.
 
Very sad indeed!
Nakwenda kanisani sasa hivi walau nikamwombee; na kuiombea Tz isitawaliwe na shetani.
 
Myaonapo haya, changamkeni na muutafute kwa bidii utakatifu maana Mwana wa Adamu yuaja upesi. Katika zama zile wanafunzi walipokaa Yerusalemi bila kupeleka injili mpaka miisho ya dunia, Mungu aliruhusu kanisa liteseke ili wakimbie kwenda mahali mbali mbali tukaupata Ukristo tulio nao kwa sasa. Tukaribiapo mwisho wa historia ya dunia Wakristo wa leo wanahitaji kuhubiri kwa nguvu zaidi maana teknologia inaruhusu. Watu wana kiu na neno la Mungu ili watoke Babeli na wakristo wamekaa, wakila na kunywa kwa furaha, Mungu hawezi kuruhusu, na ataruhusu mengi zaidi ya haya yatokee ili imani ifuliwe. Alifanya kwa mitume hawezi kuacha kwa kanisa la mwisho maana limeasi amri ya kupeleka injili kwa watu.
 
Zanzibar ni nchi ya kiislam, waacheni na ustaarabu wao..! Unawaza kujenga msikiti pale Vatican?
 
Yesu aliwaambia wafuasi wake.
Tena, wakati unakuja kila ataewaua nyinyi atadhani anamuhudumia Mungu, watawatendeeni mambo haya kwa sababu hawanijui mimi wala hawamjui Baba. Basi nawaambieni mambo haya ili saa yake ilkifika mkumbuke kwamba niliwaambieni (YOHANA 16:1-4)

Ndugu zamgu wakristo, maneno hayo juu Yesu aliwataadharisha wanafunzi wake, hivyo msione ajabu kwa maana shetani yuko kazini.
HERI YAKE PADRE MUSHI AMEKUFA KWA SABABU YA JINA LA YESU. HUU NDIYO MWANZO WA UKOMBOZI

WAKRISTU KUWENI WAPOLE, MSILIPIZE KISASI KWA MAANA HAO NDUGU ZETU HAWAJUI WALITENDALO. LAKINI YESU ATASHINDA.

AMENI, APUMZIKE KWA AMANI

 
CCM damu hii inayomwagika i juu yenu na itawalilia milele yote!!!

Nakubaliana na wewe. Hii ni damu inayomwagika kwa sababu ya uzembe wa ccm na hasa kikwekwe. Kwa sababu ya uongozi mbovu chama kimekosa nguvu ya kukemea maovu kama haya yanayotokana na chuki za kidini. Kwa hali tuliyonayo sasa watanganyika, ni bora chama kingine kishike madaraka na siyo hiki chama cha mafisadi.
 
Enough is enough na liwalo na liwe,hawana sababu yoyote ya kutunyanyasa na kutuonea kiasi hichi,haiwezekani kila siku wakristu wawe watu wa kuomboleza kwa ajili ya wahuni wanaotumia mwavuli wa dini,Viongozi wetu naomba mtuongoze vyema katika hili na tuseme sasa imetosha

Coment yako imejaa malalako tu. Umenifanya niangue kicheko wakati tupo kwenye maombolezo ya paroko.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom