Crucifix
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 1,655
- 592
WAKRISTU KUWENI WAPOLE, MSILIPIZE KISASI KWA MAANA HAO NDUGU ZETU HAWAJUI WALITENDALO. LAKINI YESU ATASHINDA.
Sawa hatulipizi kisasi lakini hao wehu wanajua walitendalo, ati kuufuta ukristu. Ukristu haufutwi kwa kumuua padri mmoja, hata ulipue waumini waliojazana kanisani bado ukristu utaendelea kumea na kukomaa. Waislamu endeleeni na part II, II hadi M, dawa yenu tunaijua