Zanzibar: Padri auawa kwa kupigwa Risasi!

Zanzibar: Padri auawa kwa kupigwa Risasi!

Status
Not open for further replies.
Hivi kwani walishatangaza padre kauliwa na waislamu hivi mtu anaeamrisha watu wauawe alafu yy anajificha nyuma ya keyboard ndio shujaa ama. Ndugu mwananchi tafakari chukua hatua
 
Ka Padri kamoja tu mnatokwa na Povu namna hii ? Mbona enzi ya Mkapa, Waislamu waliuwawa kuanzia Mwembechai na Unguja kwa mamia na na mamia !

Lakini kwakuwa ninyi ni watu mmeshushwa kutoka mbinguni mlionani sawa na wala hamkukemea kuwa hayo ni mauaji na Kadinali Pengo akatoa tamko kuwa hao mamia ya Waislamu waliouwawaa walikuwa ni Wahuni tu

Leo kauliwa Mchungaji mmoja na Padri mmoja tu , mnapiga keleleee kuhusu Utawala wa CCM juu ya Kikwete kwani ule Utawala dhalimu wa Mkapa mliuona ni MTAKATIFU ?

Au ndio mkuki kwa Noah tu ?
 
padri Mushi wa zanzibar apigwa risasi kichwana na kufa alikuwa anaenda kufanya ibaada..
Itv breaking news.

Zanzibar imekuwa kama Misri sasa.Mungu atusaidie tuepukane na roho za kikatili namna hii.:amen::amen:RIP padri Mushi.
 
PoliCCM wako bize na intelijensia ya maandamano ya CDM, pumbavu kabisa, dawa ni kulifuta hilo jeshi tuanze upya kabisa nao wao ndio wezi na majambazi kabisa
 
Wewe huna uwezo wa kufikiri kabisa, ni kama boga lililoozea shambani.
Kuna mwenzako kama wewe atakuja humu kudai kuwa Padri alikuwa ana visa vya kuchukua wake za watu, Padri alikuwa na furushi la pesa za sadaka majambazi wakataka kumpora nk.

Vitisho vya kidini vianze kisha Padri anakwenda kuongoza ibada ghafla apigwe risasi, then vipeperushwi vya uchochezi wa kidini visambazwe mjini, watu waanze kushangilia na kupongeza, na wapotoshaji kama wewe mje mtandaoni haraka kupotosha nk. Halafu unajifanya hujui kitu hapa.
 
watanganyika musijaribu kupoteza malengo ya wazanzibar juu ya katiba mpya ya kudai nchi yao kwa kisingizio vya wakristu wanao pigwa risasi


kwa karibuni watu waliopigwa risasi ni wengi sana zanzibar bahamadi mfanya biashara maarufu alipigwa risasi, suleiman naye alipigwa risasi

kuna mgeni kutoka nchi za asia alipigwa risasi baada ya siku tatu tangu kutokea tukio la father ambrose kule mazizini

wakati wa ramadhani watu wawili walipigwa risasi na baadae kupigwa father ambrose


katiwa acid shekhe fathil sauraga na katekwa shekhe faridi

sasa haya matukio ni idadi kubwa ya waliofanyiwa ni waisilamu je tuseme wameyafanya wakristu

hapa ni kutafutwa nani anamiliki silaha na nani anafanya uhalifu huu ikiwa tukisema kwa kufurahisha nafsi zetu basi itakuwa tukitatuwa matatizo mazito ya jamii kwa wepesi kama serekali ya kimagamba

Umetumwa kutengeneza smoke screen eeh??
 
Ni kweli, nimeisikia hiyo kupitia Wapo. Poleni wakatoliki wote. Jamaa 'wanamtumikia' mungu wao! Halafu kuna wanafiki huwa wanasema eti dini hizi zinamwabudu Mungu mmoja...! Umfuate mtu anayemwabudu Mungu yuleyule akiwa eneo lake la kuabudu umuue na utegemee thawabu!!!
 
Kwahiyo ulitaka upewe wewe kazihiyo? Tumuache Rais wetu aongoze nchiyeto kwa amani.

Kwa maana hiyo unapendezwa na majibu hayo ya kila siku yasiyotoa tiba ya maswaibu haya? Kama nawe u mmoja wao basi hongereni mnaonekana kusadifisha vyema mipango yenu.
 
Nawaomba wakristo popote mlipo kuanzia leo chukueni hatua hizi. Hakuna kununua chochote kwenye duka la mwislam hakuna kupanda gari ya mwislam hakuna kununua kwenye genge la mwislam kila mmoja ajue kwamba uislamu ni ugaidi usimwamini mwislam popote utakapo kutana naye muone kama adui mkubwa wa ukristo na uwe tayari kwa wakati ukifika wa kuifia dini yako tukufu maana wakimaliza kuuwa viongozi wataanza na waumini hivyo tuungane kutokomeza ugaidi wa kiislamu popote pale na misikiti yao iliyojaza makopo machafu ya kunyea iteketezwe popote pale R.I.P mushi

Kweli ww unaakili za matope na ww ndio wa kwanza kupanda usafiri wa waislam kunywa nA kula vyakula vilivouzwa na waislam bt kwa akili yako mbovu unaleta ujinga wako
 
Kwanini tuna ulinda muungano kwa gharama kama hizi?
Je huu ndio udini aliokuwa akiuzungumzia JK?
Au ndo visa vya kutokuwepo kiipengele cha dini katika sensa?
Ila mimi nacho ona ni hatari inakuja mbele yetu. Viashiria ni vingi hasa ukikumbuka tukio la Kuchinja wanyama lilivyopelekea watu kuua. Haya mambo yasipokemewa damu itamwagika. Na hakuna vita mbaya duniani kama ile inayosababishwa na I mani za kidini.

Mkuu Mtali yote haya ni matunda ya kuulinda huu muungano usiokuwa na faida yoyote, na huu ndo udini aliouhubiri jk ili aingie ikulu sasa ndo umefikia hapa, kutokuwepo kipengele cha dini katika sensa sio sababu ya wao[WAISLAM] kutuua sisi wangetafuta njia mbadala ya kutatua mambo yao

Na damu tayari imishamwagika
 
Last edited by a moderator:
Humu JF tunaandika kama utani utani lakini hii chuki ya kidini iliopndwa itakuja kutumaliza! Nikiangaliaga mikanda ya vita ya ukabila rwanda, aah jamani haya mambo ni mabaya kabisa sio ya kushabikia! Jk lazima abadilike la sivyo nchi itaishia pabaya kwa kweli
 
Atakuja kikwete na viongozi mbalimbali kwenye maziko musiwe na wasiwasi
 
abdul 28

Uchambuzi wako ni wa kichovu sana wala hauna mashiko. Hujaona kama aliyeuwawa ni kiongozi wa dini ambayo waumini wake wanaipenda kama wewe unvyopienda dini yako(kama unayo)

Tumwombe Mungu mwenyezi atoe majibu ya waswali mengi juu ya mauaji haya ili yasizae umwagaji damu zaidi.

Mungu akupe neema yake Bw. abdu 28 akuongezee busara.
 
Polisi waende mbali zaidi, walianza na kumpiga risasi padre Kimaro, leo Padre Mushi kulikoni?

Ya... wameelekezwa vizuri kwenye dakika ya 14 - 20 kwenye hii video ya IGP wao...



Hongera Ustaadh Ilunga. Mafunzo yako yanafanya kazi...
 
Last edited by a moderator:
Ka Padri kamoja tu mnatokwa na Povu namna hii ? Mbona enzi ya Mkapa, Waislamu waliuwawa kuanzia Mwembechai na Unguja kwa mamia na na mamia !

Lakini kwakuwa ninyi ni watu mmeshushwa kutoka mbinguni mlionani sawa na wala hamkukemea kuwa hayo ni mauaji na Kadinali Pengo akatoa tamko kuwa hao mamia ya Waislamu waliouwawaa walikuwa ni Wahuni tu

Leo kauliwa Mchungaji mmoja na Padri mmoja tu , mnapiga keleleee kuhusu Utawala wa CCM juu ya Kikwete kwani ule Utawala dhalimu wa Mkapa mliuona ni MTAKATIFU ?

Au ndio mkuki kwa Noah tu ?

Wewe kwanza hiyo picha uliyojiwekea hapo haiendani na unacho zungumza kwa sasa. South waafrica wengi waliuawa lkn huyo mzee hakulipiza kisasi. Sasa wewe hiyo picha maana yake nini kwako?

Mkapa hakufuata m2 kwenye msikiti kumuua bali wale wauni. Matamshi yako yanafanya waislam wote waonekane maboya kama ndo mnavyo fikiri.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom