Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
padri Mushi wa zanzibar apigwa risasi kichwana na kufa alikuwa anaenda kufanya ibaada..
Itv breaking news.
"JK ni chaguo la Mungu" Askofu Kilaini.
watanganyika musijaribu kupoteza malengo ya wazanzibar juu ya katiba mpya ya kudai nchi yao kwa kisingizio vya wakristu wanao pigwa risasi
kwa karibuni watu waliopigwa risasi ni wengi sana zanzibar bahamadi mfanya biashara maarufu alipigwa risasi, suleiman naye alipigwa risasi
kuna mgeni kutoka nchi za asia alipigwa risasi baada ya siku tatu tangu kutokea tukio la father ambrose kule mazizini
wakati wa ramadhani watu wawili walipigwa risasi na baadae kupigwa father ambrose
katiwa acid shekhe fathil sauraga na katekwa shekhe faridi
sasa haya matukio ni idadi kubwa ya waliofanyiwa ni waisilamu je tuseme wameyafanya wakristu
hapa ni kutafutwa nani anamiliki silaha na nani anafanya uhalifu huu ikiwa tukisema kwa kufurahisha nafsi zetu basi itakuwa tukitatuwa matatizo mazito ya jamii kwa wepesi kama serekali ya kimagamba
Kwahiyo ulitaka upewe wewe kazihiyo? Tumuache Rais wetu aongoze nchiyeto kwa amani.
Wanaosema JK ni mdini wana IQ ndogo'
Nawaomba wakristo popote mlipo kuanzia leo chukueni hatua hizi. Hakuna kununua chochote kwenye duka la mwislam hakuna kupanda gari ya mwislam hakuna kununua kwenye genge la mwislam kila mmoja ajue kwamba uislamu ni ugaidi usimwamini mwislam popote utakapo kutana naye muone kama adui mkubwa wa ukristo na uwe tayari kwa wakati ukifika wa kuifia dini yako tukufu maana wakimaliza kuuwa viongozi wataanza na waumini hivyo tuungane kutokomeza ugaidi wa kiislamu popote pale na misikiti yao iliyojaza makopo machafu ya kunyea iteketezwe popote pale R.I.P mushi
Kwanini tuna ulinda muungano kwa gharama kama hizi?
Je huu ndio udini aliokuwa akiuzungumzia JK?
Au ndo visa vya kutokuwepo kiipengele cha dini katika sensa?
Ila mimi nacho ona ni hatari inakuja mbele yetu. Viashiria ni vingi hasa ukikumbuka tukio la Kuchinja wanyama lilivyopelekea watu kuua. Haya mambo yasipokemewa damu itamwagika. Na hakuna vita mbaya duniani kama ile inayosababishwa na I mani za kidini.
Polisi waende mbali zaidi, walianza na kumpiga risasi padre Kimaro, leo Padre Mushi kulikoni?
Ka Padri kamoja tu mnatokwa na Povu namna hii ? Mbona enzi ya Mkapa, Waislamu waliuwawa kuanzia Mwembechai na Unguja kwa mamia na na mamia !
Lakini kwakuwa ninyi ni watu mmeshushwa kutoka mbinguni mlionani sawa na wala hamkukemea kuwa hayo ni mauaji na Kadinali Pengo akatoa tamko kuwa hao mamia ya Waislamu waliouwawaa walikuwa ni Wahuni tu
Leo kauliwa Mchungaji mmoja na Padri mmoja tu , mnapiga keleleee kuhusu Utawala wa CCM juu ya Kikwete kwani ule Utawala dhalimu wa Mkapa mliuona ni MTAKATIFU ?
Au ndio mkuki kwa Noah tu ?