Zanzibar: Padri auawa kwa kupigwa Risasi!

Zanzibar: Padri auawa kwa kupigwa Risasi!

Status
Not open for further replies.
Kwa nini haya mambo yanatokea kipindi hiki, amani inayohubiriwa na watawala na kuwa Tanzania ni kisiwa cha amani iko wapi! kama viongozi wa dini wanauawa kiholela hivyo na Serikali inakaa kimya, itakuwaje kwa waumini wa kawaida, je! mauaji na mashambulizi yanayotokea kila uchao ni matokeo ya chuki ya kidini kweli ama kuna ajenda imefichwa kwenye matukio hayo?
 
Wakristu tumuombe mungu ili damu ya padre huyu iwe mbegu au chachu ya kueneza ukristu huho huko Zanzibar.Kwa malezi tuliyolelelwa hatuhitaji kulipiza kisasi kwa kufanya vurugu ila kuomba mungu ili awaonyeshe ukweli.Katika hao watakuwepo akina Saulo wengi ambao Mungu aliwabadilisha kuwa Paulo.Mungu alitoa na mungu ametwaa jina lake lihimidiwe
 
Hakuna kitu nakichukia humu duniani kama Uislamu, hiyo ni dini ya kishetani ndo maana kuua hawaoni shida. Manina zenu!
 
hakuna haja ya kuchomoa panga alani mwake. wakati ukifika ukweli utajulikana na wa Mungu atakwenda kwa Mungu na wa shetani atakwenda motoni. Mungu hapiganiwi kwa mapanga bali kwa sala tu.
 
Ndugu yangu (ktk utaifa ) jichinjie nguruwe wako ujitafunie2 haya mambo huyawezi. Maisha matam lakini mafupi.
Utamu wa maisha unaujua,uliongezeka mkono wa tatu kwenye huo utam,.wewe ulieweza si ndo unaua,kipimio cha sis hatuwez kitajulikana
 
Wakirsto mnatumia dini au serikali? Sisi waislamu tukidhulumiwa tunamshtakia mungu, kwanini nyinyi mnaishitakia serikali?

Mkuu serkali ya Tanzania na ukristo chao ni kimoja. Yani sawa na kesi ya kahaba umpelekee shoga
 
tutashinda zaidi ya kushinda ila damu ya mchungaji na padri haitapotea bure
 
Jamani hata Yesu alipopigwa Kofi aliuliza .......kwa nini wanipiga..... binafsi nina uliza SERIKALI KWA NINI INAWAUA WAKRISTU? Ya padre aliepigwa risasi hatujapata majibu toka vyombo husika LEO hili tena. Vita vya msalaba sio dhambi wakristu wenzangu.Tujiweke tayari kujilinda kama serikali ITASHINDWA kutoa majibu na suluhisho.
 
What a sad day; Mungu atusaidie. Na bado atasimama JK na kutoa hotuba yake ya "jamani udini haufai, haijawahi kutokea katika historia yetu".. Maskini Kikwete..

A sad day indeed. Wakristu Visiwani masikini wanazidi kuonekana kama endangered specie sawa na Malbino katika maeneo mbalimbali nchini. With the Government's laisse faire approach to religious extremism, Christians may seek international intervention.
 
Ni kweli Slaa tachukua nchi ila hana roho ya pepo ya kunywa damu za watu kama nyie waislamu atawaongoza watanzaniana kuwafanya wawe wamoja tuu kama ndugu!

Iyo siku mtaingojaaaa na haita tokea.
 
Visasi ni juu ya mungu... Acha kutia petrol katika moto
 
Tumeona waislam wa nchi za uarabuni wanaoijua dini hata siku moja awafanyi ujinga huu hawa wa Zanzibar leo wanajiona wanajua sana dini?
 
kweli ni mbaya sana nafikiri inabidi tuishi nao zaidi ya akili zetu.
nafikiri wakristo tujitoe kwa mafungo japo kwa siku tatu kwa wiki tuone hatma ya nguvu hizi za giza zitaishia wapi? kwa vita kwa kweli hawatuwezi kwa kuwa sisi hatutapigana vita ya mwili tutapigana kiroho zaidi na mwisho wao hautakuwa mzuri na wataathirika vizazi vinne mbele.
kimwili tukiamua kutokula nyama na migahawa yao tayari wataathilika kwa kuwa waislamu wengi wanategemea biashara zisizotumia uwezo mkubwa wa kufikiri.
na kwa taarifa yao ndo kwanza wanachochea imani yetu kuwa imara na naamini wanaofanya hivyo iko siku watakuja kuomba toba ya dhati wakiwa wameokoka waulize wenzao walio vunja bucha za nguruwe.
zanzibar wategemee mzunguko wa fedha kubadilika kwa kuwa hata watalii wataanza kuogopa kwenda kwao achilia mbali wafanyakazi na wafanya biashara wakristo watakapo funga virago kurudi kwao kutafuta kazi zingine ikiwa wao ndio wapangaji wanao lipa kodi kubwa kwenye nyumba za kupanga.
tuweke mgomo kununua bidhaa kwenye maduka ya wape,ba
 
Ukristu unatakiwa kumsamehe mtu hata mara saba usabini.Cha msingi ni kusali na kuwaombea wenzetu waislamu ili wapate elimu japo ndogo kuwa wakitendacho hata huyo mungu wao wanaomuabudu hakiafiki.Maana kuna siku hata shetani atawaruka kuwa sikuwatuma.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom