Zanzibar: Padri auawa kwa kupigwa Risasi!

Zanzibar: Padri auawa kwa kupigwa Risasi!

Status
Not open for further replies.
kama ni uvumilivu wa wakristu umefika hatua umekuwa ni mwiba kwao, serikali haijali ipo usingizini, mi nadhani tuwaombe viongozi wa dini zote za wakristo kuandaa maandamano kuishinikiza serikali kuhakikisha usalama na heshima ya wakristo!!!!
this is too much
 
Hivi wakristo wanajihadi na wakipigana jihadi hiyo wanalipwa nin???? Nauliza tu.
Najua biblia inafundisha"akupigae shavu la kulia mgeuzie na la kushoto"
 
Kuna mtu yeyote anamfaham Shekh yeyote kutoka Zanzibar anaehudum huku Tz Bara?!

Nahitaji kwenda kumsalimia tu, mana sis sote ni ndugu na tunapendana sana.!!!!

R.I.P Padre Mushi, tuliobaki hai tutakutetea kwa njia yeyote wakat ukifika, mana serikal yako imeshindwa..!

Unaweza kwenda kumsalimia Shekhe wewe?
 
Tatizo umeshalitaja mbele ya swali lako au unataka upewe tatizo gani tena?
Tatizo ni kuwa waislamu hawatupendi na wana vita na chuki kubwa sana juu ya ukristo at the same time wakristo wanaendelea kulala usingizi fofofo wakizani hawa jamaa ni ndugu zetu.

Tusiwe na Mtazamo wa Ubaguzi wa Kidini, Kinachotokea Zanzbar kwa mtazamo wangu kinaratibiwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzbar na hii inajidhihirisha tukiangalia safu nzima ya voingozi wa juu wa serikali hiyo wote ni waislam na matamko yao mengi yanalinda waislam na sheria zao tuchukulie mfano wakati wa mfungo wa Ramadhan walipiga marufuku migahawa na mahoteli kuuza chakula mchana hii ni dhahili ilionyesha mwelekeo wa serikali hiyo.
Hawa wazanzbar wanahitaji sana wajitenge ili waendelee na serikali yao yenye misingi ya uislam sisi Bara hususani CCM ndo wanawalazimisha na vurugu hizi na mauaji lengo lao ni hilo ili wajitenge. Kwa hiyo ndugu yangu sisi huku bara hatuna chuki yeyote cha muhimu tuendeleze mshikamano wetu lakini tupige kelele ili Muungano uvunjike na wao wabaki na linchi lao na sisi tubaki na Tanganyika yetu.
 
Wakristu tumuombe mungu ili damu ya padre huyu iwe mbegu au chachu ya kueneza ukristu huho huko Zanzibar.Kwa malezi tuliyolelelwa hatuhitaji kulipiza kisasi kwa kufanya vurugu ila kuomba mungu ili awaonyeshe ukweli.Katika hao watakuwepo akina Saulo wengi ambao Mungu aliwabadilisha kuwa Paulo.Mungu alitoa na mungu ametwaa jina lake lihimidiwe

kwa kueneza ukiristo z'bar sahau mtaendelea hivyo hivyo kuleta wakiristo kutoka tanganyika kujaza makanisa yenu
 
Babu na bibi zetu walikuwa na imani zao. Waliishi nazo karne kwa karne mpaka tulipoletewa dini hizi za kuja. Kuna matatizo gani kwenye imani zao kiasi cha sisi kuzisahau kabisa?

Kuna dini nyingi sana hapa duniani zikitumia njia mbalimbali kuabudu. Dini zote hizi zinaabudu MUNGU. Nchi za Asia zinaongoza kwa kuendelea kuabudu imani zao za asili na kutokubali kuacha imani zao hizo kufuata imani za kuja. Wanaishi vizuri tu na Mungu anawabariki kwa kuwa mataifa ambayo yako njiani kuongoza dunia nzima kwenye kila nyanja ya maisha – Uchumi, Ulinzi, Sayansi, n.k.

Jambo la kusikitisha kwetu ni kwamba vijana wetu hawakupewa hata nafasi ya kuchungulia imani zetu zilikuwaje ili waweze kufanya tathmini na kuona kama wanahitaji kukumbatia dini hizi za kuja au warudi kwenye mizizi ya mababu na bibi zao. Historia yote ya dini hizi za mababu zetu imefutika na hakuna hata juhudi ya kuikusanya na kuihifadhi angalau kama historia ili vijana wetu waweze kuipitia na kufanya maamuzi yao. Hata mashuleni kwetu hakuna hata mitaala inayowafundisha vijana wetu imani zetu. Kwa nini tuone haya kuamini kwenye vitu ambavyo mababu na mabibi zetu waliviamini?

Sasa tunaburutwa na dini hizi za kuja na kwa kweli ninapopitia thread hii najisikia vibaya sana kiasi nashindwa kuzuia machozi kutirika jinsi ambavyo tumeanza kuchukiana na kunyoosheana vidole kwa dini hizi za kuja ambazo zililetwa kwetu si kwa ajili ya kusambaza dini zao bali kama chombo chao cha kuweza kutupotezea lengo ili watuibie na kutunyanyasa na kutufanya watumwa.

Naona humu watu wanaapizana kwamba wao kuanzia sasa ni maadui!!!! Tumefika hapa kweli ndugu zangu Watanzania? Wote tutakaokubali kufa kwa ajili ya kuzitetea dini hizi za kuja tutaishia motoni.
Tuanze sasa juhudi za kujitambua kwa kurejea na kupitia imani za Wazee wetu na kuacha kuburuzwa na imani hizi za kuja kwani Wazee wetu (R.I.P) nao walikuwa wakimwamini Mungu kama wengine.
Wanahistoria wa Tanzania tafadhali tutendeeni haki kwa kutafuta habari za dini za mababu na mabibi zetu ili tuweze kuzihifadhi na kuzitumia. Mimi nitakuwa mtu wa kwanza kuzitumia.

Mwisho nawaomba Watanzania wenzangu tuepuke kuburuzwa na hisia za dini hizi za kuja kiasi cha kufika kuchukiana na kuuana wenyewe kwa wenyewe. Tuelewe kwamba Taifa letu ni masikini mno kuweza kupoteza Watanzania wenzetu wanaohitajika kwa ajili ya ujenzi wa taifa letu kwa kuuwana wenyewe kwa wenyewe kama vile sisi ni MATAAHIRA.

Tutumie nguvu zetu kutafuta suluhu ya matatizo yetu kama Taifa ili tuweze kuwa na Taifa lenye neema.

MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU IBARIKI AFRICA

You have nailed it.
 
Naomba muangalie hii amri ya kuua na wala tusiendelee kushangaa lakini hapa hakuna hata sheikh mmoja aliyeuawawa

 
Last edited by a moderator:
Hapana.Unakosea Ndugu.Nadhani Si Sahihi Ukisema Waislamu Wanawachukia Wakristu.I Think This Is Just A Cover Of 'something fishy' That You And I Might Not Be Aware Of.Kwanini Tusiliangalie Kwa Kina Hili Suala Na Tulinganishe Na Vuguvugu La Wanzanzibari Kutaka Uhuru Wao Kutoka Muungano Wa Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania??Sidhani Ni Sahihi Kuendelea Kusema Kina Fulani Wanawachukia Kina Fulani...Tuwe Taifa Kwanza....Lenye Misingi Ya Heshima Kwa Haki Za Binadamu Ndipo Dini Itafata.

Una maanisha Wakristo au kanisa ndio walio peleka Muungano na ndio wanao hulinda?

I thought ni wa Unguja kwa kuogopa kutawaliwa na Wapemba na waarabu wakaamua kuikabizi nchi kwa Nyerere au CCM.
 
Wakristo ni mang'ombe tu nawashauri Waislamu waendelee kuuwa mapadri na wachungaji mpaka mtakapopata akili na kujuwa hii ni war against crusaders inayoratibiwa kwa umahili na Mkwele.

Mang'ombe tena Mkuu. Duh hii kali!!!
 
ewe shetani wa kiislam odoa majini yako na mtume wenu, kazi ya kuua wana wa mungu aliehai siku moja mtaitolea hesabu mbele za haki.

ooh,pole sana naona umesha lewa tayari. sikushangai kwa uwezo wako wa kufikiria kipombe pombe. Jumapili njema
 
Hawa waislam wameamua sasa. Naamin hawataiweza vita na Wakristo. Huo ndio ukweli, kwamba pale Wakristo watakapoambiwa wafunguke, hata maofisini patakuwa hapatoshi.

Nawasihi wakristo wa hii Nchi wakapigane vita ya kiroho, ili kulisuru Taifa. Hakuna sababu ya kushindana na hawa wajinga. Hawana kazi na wanachoona ni kuwapiga wakristo wasiokuwa na hatia. Naamini waislam wakiamua kujitenga.

leo, ndo kwanza umaskini wataufungulia milango!! Mungu atuepushe na hili pepo lililojificha kwenye dini ya hawa wenzetu.

Ni matumaini yangu kuwa, Watanzania wanaipenda Nchi yao na hayo Waislam wanayotaka hayatatokea! Waende Somali wakajiunge na Al-shabab ili waweze kutimiza haja zao.

Una uhakika na unacho kinena?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom