Zanzibar: Padri auawa kwa kupigwa Risasi!

Zanzibar: Padri auawa kwa kupigwa Risasi!

Status
Not open for further replies.
1325855.jpg

RIP father Mushi. picha kutoka wavuti.com
 
Naona kila mtu ana jazba Tanzania tunapoelekea ni pabaya sana inabidi viongozi wa nchi wachukue hatua mapema.

Hebu nitajie kiongozi wa serikali yako anaeweza kuchukua hatua!
 
Naona kila mtu ana jazba Tanzania tunapoelekea ni pabaya sana inabidi viongozi wa nchi wachukue hatua mapema.

Haa haa hha kumbe na wewe unajua kuwa wamechelewa kuchukua hatua!!! interesting
 
Kila kitu kinachotokea kina sababu yake chini ya jua, ndio maana mwanadamu anashauriwa kuomba bila kukoma maana hata yale yanayoonekana kuwa yana majibu fulani katika fikra zetu, Huenda kwa Muumbaji wetu yana ujumbe fulani ambao unataka tukue na kuvuka katika hatua tuliyopo. Yona alipokimbia kwenda Ninawi kulitokea dhoruba ambaye ilitaka kuuwa watu na wao walianza kupunguza shehena katika merikebu laiti wangejua tatizo ni Yona basi wangelimaliza. Tz tuna mengi yanatukabili, je ni siasa, dini, utawala au Mungu ameruhusu upepo uvume ili tujikague
Maana yangu ilikuwa moja tu kwamba hakuna jipya chini ya mbingu linaloashiriwa na matukio ya mauaji, vurugu, maandamano, nk. Hayo yamekuwa yakitokea kila pembe ya dunia na yataendelea kutokea ikiwa ni matokeo ya mwanadamu kumuasi mungu na kumchagua shetani. Dunia yote iko utumwani katika nchi ya shinar inatumikishwa na shetani pamoja na maajenti wake ambao ni freemasons na serikali za wanadamu.

Badala ya mwanadamu kumtumikia mungu kwa kushabikia matendo mema ubongo wake umepindishwa anang'ang'ana na mapokeo ya kuchinja, mabomba ya gesi, katiba, vyama vya siasa, udini, ukabila, nk uelekeo ambako siko majibu ya matatizo yake yaliko. Utumwani utafanyishwa kazi chafu bila ujira wa maana, unakufa kwa maradhi, utafarakanishwa na wana wa tumbo lako mwenyewe na mke wa kifuani mwako, jasho lako litavunwa na kutafunwa na waliojiunga na maajenti wa shetani, na njia ya pekee ya kuokoa nafsi zenu ilikwishatangazwa ikisema tokeni kwake enyi watu wangu.

Ni saa ya pumba na mchele kuanza kujipambanua.
 
msione tupo kimya,ipo siku tutarevange tuuu nyie mambwisi!!!!
 
Ewe Ilunga tunaona matunda yako.
Nije nimuone mpumbavu yeyote anaandamana kisa Ilunga kakamatwa
 
wanasiasa dhaifu huwa ni watawala dhalimu kutokana na uduni wa fikra zao.

Sent from my blackberry 9700 using jamiiforums

hata yesu alikumbana na aina hii ya majaribu! Akajibu nenda zako shetani!! Binadamu tukakombolewa na hata sasa shetani anahaha, wole wenu nyie wafuasi wa shetani!!!
 
Tukio linasema kuwa alikuwa akielekea kwenda kusarisha misa ya leo akiwa njiani ikatokea gari ghafra lenye watu waliomfyatulia risasi na mauti yakamkuta.Sasa tusaidiane kujua kisa.

kisa cha nini, hujui wenziyo hiyo ni ibada,wakiua au kumchinja binadamu mtz mwenzao basi majina yao yanaandikwa mbinguni, unyama huu inabidi tuitafakari hii dini.
 
Mnajua nini nyie makafiri,amtutishi na lolote.sisi tunacho amini kinanguvu saanaa! Nyie semeni yote lakini laiti ndo nyie makafiri tungekua jengo moja waallai vile ningejilipua mnipe tiketi safi yakwenda kumuona Molla wangu
Halafu na wewe unajiita mwisiamu, imani yako iko tofauti sana na mtume muhammad maana aliishi na kula na wakristo, ya kwako kwa kukusaidia inaitwa blood mongers na kiongozi wake ndiye mwanzishilishi wa boko haram kule nigeria
 
tukisema Rais Kikwete Dhaifu mnabisha hili la pili kutokea ndani ya miezi miwili hii. Vilio vya wanyongea hawa ndivyo vitakavyo kuwa hukumu yake siku ya kiama. R.I.P Pd E. Mushi
 
jamani chonde chonde serikali,kama mnalichekea la udini mnasubiri hadi lifike kwenye ukabila,halafu mbona hatusikii fulani kakamatwa kunajambo tu hapa kama mnataka zanzibar waishi waislam tu si mseme jamani
 
Mungu ni mkubwa, na rehema zake ni za ajabu.

Huwezi kuamini, jana jioni tukiwa kwenye misa ya jumuiya yetu hapa Dar, Mchungaji wetu alisoma ujumbe kutoka UAMSHO wenye kujuta kukosa kumuua Padre Ambrose Mkenda, na ujumbe huo unahimiza Jihad kali dhidi ya WAKRISTO na UKRISTO kule Z'bar.

Kilichotokea leo na yatakaendelea kutokea ni sehemu ya maadhio ya Waislam dhidi ya WAKRISTO.

Bad enough, kuna waislam wametoka kozi huko Somalia (Al-Shabab) wapo hapa mjini kwaajili ya kuleta maafa ya WAKRISTO wakati wa sikukuu ya PASAKA.

Kanisa letu ni mojawapo ya targets za hao watu.


Asante kwa Mungu kuwa mpango huo uligundulika mapema kabisa na watu hao wapo chini ya ulinzi wa vyombo vya usalama.

Usikae na habari muhimu kama hizo hadi watu wauawe ndiyo ulete ndugu,mara upatapo jitahidi kuzitawanya kwa Wakrsito wenzio kwa haraka kadri inavyowezekana utaokoa wengi.
 
kisa cha nini, hujui wenziyo hiyo ni ibada,wakiua au kumchinja binadamu mtz mwenzao basi majina yao yanaandikwa mbinguni, unyama huu inabidi tuitafakari hii dini.

pole sana , wewe ndio unaanza leo? Wengi tulishaanza kukataa hata kula ibada yao chafu ya kuchinja!
 
Haa haa hha kumbe na wewe unajua kuwa wamechelewa kuchukua hatua!!! interesting

Unacheka nini siyo kila sehemu unaleta mambo ya ushabiki wa vyama haya mambo yanatokea siyo mazuri wewe unataka mimi nishangilie mauaji ya viongozi wa dini. Ili suala siyo la Chadema wala CCM linatuhusu wote kama Watanzania.
 
Tatizo umeshalitaja mbele ya swali lako au unataka upewe tatizo gani tena?
Tatizo ni kuwa waislamu hawatupendi na wana vita na chuki kubwa sana juu ya ukristo at the same time wakristo wanaendelea kulala usingizi fofofo wakizani hawa jamaa ni ndugu zetu.

JK na watu wa usalama wa Taifa, hatutaki vita sie. Kama ni madai yao ya kuchinja mifugo si waruhusiwe tu. Mimi nipo tayari kuwapelekea kitimoto wakanichinjie, na wakidai kichwa ni cha mchinjaji nacho nitawaachia. Hivi kama angeuliwa sheikh huko, si dunia nzima ingejua?. ACHENI HIZO NYIE!. Amani tuliyonayo si ya kuichezea hivi.
 
Lazima tuanze kuutazama uislam kulikoni hapa tz, tunaona mauaji yakifanywa na watu wa dini, kuna makumdi toka nje yanaeneza chuki mbaya.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom