Zanzibar: Rais Magufuli amshangaa Dk. Shein kusaini makaratasi ya mtu aliyekataa mkono wake

Zanzibar: Rais Magufuli amshangaa Dk. Shein kusaini makaratasi ya mtu aliyekataa mkono wake

Huyu ana nia mbaya na kuwachonganisha Wazanzibar tu, kauli zake zote ni za ovyo kwa wazanzibar sio za kuunganisha ni za kuwagawa ili aendelee kuwatawala.

Sikutegemea maneno kama yale toka kwa kiongozi wa nchi anayeamini utawala wa sheria! Hizi ni dalili za visasi, na zisipewe nafasi katika utendaji wa kazi za serekali.

Kupeana mikono kunahusiana nini na kazi za serekali, …kama si maswala binafsi?
 


Nimesikiliza hotuba ya Rais ya JPM akimshangaa Rais wa Zanzibar kuwa anasaini makaratasi ya mtu aliyekataa kumpa mkono siku ya mazishi ya Jumbe, na kusema kwake isingekuwa rahisi hivyo.

Nimejiuliza maswali mengi sana lakini mojawapo likawa ni Je stahiki za Maalim Seif ni za hisani ya rais aliyeko madarakani au ni matakwa ya kisheria/kikatiba?

Na je kama ni matakwa ya kikatiba; JPM anamanisha kwamba Shein avunje katiba kwa kutosaini stahiki hizo? Ama kweli safari ndo imeanza.


Siku ukijua moral law ndiyo utajua Magufuli alimaanisha nini au nikuongezee mwajiri wako ukimtukana wakati huo huo anatakiwa asaini hundi yako akikataa utamshitaki kakataa kwa sababu gani???
 
Sikutegemea maneno kama yale toka kwa kiongozi wa nchi anayeamini utawala wa sheria! Hizi ni dalili za visasi, na zisipewe nafasi katika utendaji wa kazi za serekali.

Kupeana mikono kunahusiana nini na kazi za serekali, …kama si maswala binafsi?
UKIJUA MORAL LAW UTAJUA MAGUFULI ALIMAANISHA NINI.
 
Back
Top Bottom